wataje tu mpaka waishe wote. na majambazi ya ajira hayoKwakweli nchi hii inasikitisha sana. Vijana wetu wanalia hawana ajira huku baadhi ya nafasi za ajira wanapewa wageni kutoka nje tena kinachosikitisha zaidi unakuta kazi wanazofanya hata watanzania wanaweza kuzifanya. Tena utakuta hao wageni hata vibali vya kufanya kazi hapa nchini hawana.
Tazama, mimi ni mwajiriwa kwenye kampuni ya Cocacola Kwanza ( Mikocheni ). Hapa kwetu Secretary wa mkurugenzi ( MD ) ni raia wa Somalia.
Operation manager ( Oloto ) ni Mkenya
Warehouse manager ( Otaigo ) ni Mkenya
Country Salle's and marketing ( Nalacka ) ni muhindi
Logistic manager ( Pankaj ) ni muhindi
Hapa kwetu yupo fundi gereji mzungu hata kiswahili tu hajui. ( Hivi nchi hii haina mafundi gereji bingwa hadi waje hawa wazungu?? )
Ndugu zangu, hawa niliowataja hapa juu ni wachache mno. Ukweli ni kwamba kuna wageni wengi sana hapa Cocacola. Mishahara wanayolipwa ndo balaa sasa. Kuna watu hapa Cocacola kwanza wanafahamika kama experts. Hawa ndo usiseme kabisa. Kwanza inasemekana wanalipwa kwa dollar. Tazama, hawa watu kila ijumaa wanapewa laki 6 kila mmoja ( pesa ya kutumia weak end). Nyumba, gari, mafuta, chakila matibabu nk wanalipiwa na kampuni. Na kwa kweli kazi wanazofanya hata hawa vijana wetu wa kitanzania wanaweza kabisa kuzifanya.
Juzi maafisa wa uhamiaji walifika hapa kazini. Lakini wageni wote walishtuana na kutoweka na wengine magari yao waliyaterekeza. Mwishowe maafisa hao wa uhamiaji wakaishia kuwakama vijana wadogo wadogo ambapo mmoja tunamfahamu ni mkenya. Ila wale vigogo walitoweka karibu wote. Sasa hivi hawa watu wanakuja kazini kwa kunusa tu yaani kwa kuchungulia.
Maafisa wa uhamiaji hebu njooni tena hapa Cocacola Kwanza ltd (mikocheni ) mje mfanye msako wa kina. Kuna wageni kibao hapa. Njooni jamani. Tena muanze na Oloto , Otaigo na Pankaj maana hawa watu wanajiona wadogo zake mungu mbele ya wazawa.
( Nchi hii itaendelea kweli kama tukiwazarau wazawa na kuwajari wageni? )
Hata kama ni kampuni binafsi...wanatakiwa kuwa na uhalali wa kuishi na kufanya kazi Tanzania...There is a slight line btn Patriotism and Racismhapa ni nini hasa..wivu wa watu kulipwa laki sita ya chakula au?
hio ni kampuni binafsi arif
Hata kama ni kampuni binafsi...wanatakiwa kuwa na uhalali wa kuishi na kufanya kazi Tanzania...There is a slight line btn Patriotism and Racism
Wazungu tu ndio wanatudanganya kuwa tusiwe wabaguzi,eti ubaguzi ni makosa,wakati wao Ubaguzi kwao ndio alama ya uzalendo...Ili waje Afrika na kuiba vizuri wanasema "uzalendo" ni "ubaguzi" na ila sisi tukienda kwao wanatubagua waziwazi na kuturushia ndizi...hakuna mzungu anayependa muafrika zaidi ya mzungu mwenzake.....
hapa ni nini hasa..wivu wa watu kulipwa laki sita ya chakula au?
hio ni kampuni binafsi arif
Acha ujinga wewe?? Ni mtu wa wapi wewe? Hivi unaelewa haya maswala ya ajira kweli au unakurupuka tu... bila shaka wewe ni debe tupu..hapa ni nini hasa..wivu wa watu kulipwa laki sita ya chakula au?
hio ni kampuni binafsi arif
Uhamoaji ni watu wa hovyo sana. Sijui hata wanafanyaje kazo zao.. yaani hii tanzania inachekesha sana.Halafu huu utaratibu wa uhamiaji wa kufanya kazi kwa kuvamia eneo husika ndio nashangaa sana.
Yaani maafisa uhamiaji wakivamia eneo wakiwa wanatafuta wahamiaji haramu au wasio na vibali kwa bahati ukawa umeenda chooni mkapishana nao basi ndio umesalimika hivyo.
Nashindwa kuelewa kwa nini wasifanye kazi zao professionally.
Acha ujinga wewe , una akili kweli au we ni chizi.?? Unaelewa haya maswala ya ajira?Baada ya hii na wazaramo watawageukia wachaga hapo Dar...
jitumeni acheni ku panic bila sababu...ninyi competence zero unategemea nani akuajiri...kwa taarifa yako Coca-Cola kwanza ni Ya mengi...hadi kufikia kuajiri wageni ninyi ni incompetent. ...Acha ujinga wewe?? Ni mtu wa wapi wewe? Hivi unaelewa haya maswala ya ajira kweli au unakurupuka tu... bila shaka wewe ni debe tupu..
kweli wewe maskiniyaani hapo ndio upeo wa akili yako ulipoishia? au kwa kuwa mtoa uzi hamshei mama? kwa taarifa yako kila dhuluma moja kwa mtanzania ni hasara kwa taifa zima we poyoyo; na bahati yako hapa siwezi kukuzaba vibao
Huelewi kitu unachoongea ndugu yangu. Ila bila shaka ww utakuwa ni kijana mmoja hvi mpuuzi sana , ambaye bado unanyonya kwa wazazi..jitumeni acheni ku panic bila sababu...ninyi competence zero unategemea nani akuajiri...kwa taarifa yako Coca-Cola kwanza ni Ya mengi...hadi kufikia kuajiri wageni ninyi ni incompetent. ...
malizia but Jeuri vikabaila uchwara kama nyie ni wa kuchapwa makofi na kuwapigeni persona-non-grata in 24hrskweli wewe maskini