Hahaaaaa aise sasa si wanasema wangoni ni wasauzi lakini, kwahiyo alimaanisha songeaHuyu jamaa anaishi songea alafu analeta thread za sauzi africa eti kaishi sauzi Toka 2003 dah ukiwa muongo uwe na memory kijana View attachment 2677999
Dah..!! JF kiboko kwa kumbukumbu na members wa JF hawapoi na wala hawaboi kwa kufukunyua makaburi..!! Alijisemea marehemu Ruge, kwamba hapa duniani OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA. Ona sasa wa kunyumba steve_shemej anavyodhalilikaHuyu jamaa anaishi songea alafu analeta thread za sauzi africa eti kaishi sauzi Toka 2003 dah ukiwa muongo uwe na memory kijana View attachment 2677999
Inshort kazinguaDah..!! JF koboko kwa kumbukumbu na members wa JF hawapoi na wala hawaboi kwa kufukunyua makaburi..!! Alijisemea marehemu Ruge, kwamba hapa duniani OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA. Ona sasa wa kunyumba steve_shemej anavyodhalilika
Kakimbia uzi wake.... mazimaHahaaaaa aise sasa si wanasema wangoni ni wasauzi lakini, kwahiyo alimaanisha songea
Ameenda kumuuliza aliyempa uzi
Mkuu yani unatetea haya mambo bila aibu? Na wewe una marinda kweli?Sasa aandamane ili iwaje, yeye yanamhusu nini!?
Aisee umebutua vibaya mno.Sipendagii uongo/kamba
Wasongea wametokea Sauzi.Au sauzi kuna Jimbo linaitwa SONGEA
Kijana kazinguaAisee umebutua vibaya mno.
Wasongea wametokea Sauzi.
So ukiwa Songea ,upo Sauzi
Kilema wa kiungo gani?Huku ushoga ruksa na wanamchukulia kama kilema
dah!Na wewe umeridhia tu wala hupingi na kuandamana. Basi itakuwa na Wewe rinda lina mushkel.
JF my favourite place to beDah..!! JF kiboko kwa kumbukumbu na members wa JF hawapoi na wala hawaboi kwa kufukunyua makaburi..!! Alijisemea marehemu Ruge, kwamba hapa duniani OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA. Ona sasa wa kunyumba steve_shemej anavyodhalilika
Inshort kazingua
Wasongea wametokea Sauzi.
So ukiwa Songea ,upo Sauzi
Wabongo bana! Wewe ulitaka ujumbe ukufikiaje kuhusu hao mashoga? Au ulitaka aongelee vyoote ila kuhusu ishu ya mashoga amute?? Kwanza unaanzaje kuandamana ugenini wakati kwenu hujawahi fanya hivyo?Na wewe umeridhia tu wala hupingi na kuandamana. Basi itakuwa na Wewe rinda lina mushkel.
Hamna baana na wewe ni wale wale marindayana mushkel.Wabongo bana! Wewe ulitaka ujumbe ukufikiaje kuhusu hao mashoga? Au ulitaka aongelee vyoote ila kuhusu ishu ya mashoga amute?? Kwanza unaanzaje kuandamana ugenini wakati kwenu hujawahi fanya hivyo?
Mkuu Hivi Kasusura ni mwenyeji wa songea?Wasongea wametokea Sauzi.
So ukiwa Songea ,upo Sauzi