Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Nimejaribu kuperuzi kundi lao wanajiita mabaharia kila siku wanapost misiba ya wabongo wenzao waishio Afrika Kusini lakini ajabu sura zote zimebend yani midomo imekauka sura mbovu Zina upere kama kashata.
Wengi wao inaonekana wahuni hawaishi documentary wapo tu wanaishi kwa kuibia
Wabongo rudini home unless kila siku mtakufa huko Kwa kupigwa risasi na makaburu, wazuru na Afrikaans shida yenu mnajifanya watoto kwa mjini kuliko wazawa mkifika huko mnaanza ujuaji mnataka kula kimasikhara wake za watu, muda wote mnataka kufinya watoto wa kizuru mnasahau mlikotoka
Wengi wao inaonekana wahuni hawaishi documentary wapo tu wanaishi kwa kuibia
Wabongo rudini home unless kila siku mtakufa huko Kwa kupigwa risasi na makaburu, wazuru na Afrikaans shida yenu mnajifanya watoto kwa mjini kuliko wazawa mkifika huko mnaanza ujuaji mnataka kula kimasikhara wake za watu, muda wote mnataka kufinya watoto wa kizuru mnasahau mlikotoka