Uhalisia wa maisha tunayopitia Afrika Kusini

steve_shemej

JF-Expert Member
Nov 26, 2015
1,092
1,433
Leo nataka niwape elimu kidogo kuhusu afrika kusini na maisha yake

Kwa kipindi kirefu mmekuwa mkisikia kuhusu mauaji hususani ya watanzania na mkawa hamuelewi mkawa mnatuhumu kuwa wazawa wanaua wageni hawawataki ipo hivi

Wabongo wengi wa kati ya umri wa miaka 19 mpk 37 wengi huku hawana ajira wengi wanakaba hiyo ipo wazi sasa wakienda kukaba ikatokea wakauawa kwa risasi au visu ndiyo mnapata taarifa kuwa wameuawa mnawatuhumu wazawa ukweli ni kwamba wameuawa wakiwa wanaiba 75% ya vifo chanzo ni hicho msidanganywe huwa tunawafichia tu siri

Wazawa wanatupenda sana wabongo huku tunaitwa bongomani au wajomba wanatupenda mno

USHAJIULIZA KWANINI TUNAPENDWA?

Tunapendwa kwakuwa wabongo huku wengi hatuajiliwi hivyo hatuchukui ajira zao ndiyomaana hutokuja kusikia vurigu dhid ya wabongo

Pia kuna hili jambo endapo unandugu anaishi huku alafu kaoa mwanamke wa huku nakuomba muombee sanaaa mungu amsimamie

Maana afrika kusini ni nchi ambayo mwanamke anasikilizwa kuliko mwanaume endapo utampiga mwanamke au mwanao wa kumzaa au utamcheka shoga unakabiliwa na kifungo kisichopungua miaka 3 jela

Huku mtoto hapigwi nyumbani hata shuleni, huku mwanamke hapigwi huku shoga anachukuliwa kma kilema

Huku 50% ya wanawake wanavuta bangi 70% wanavuta sigara mtoto wa kike miaka 10 anavuta sigara baba hutakiwi kumpiga

Huku mwanamke anampiga mwanaume mwanaume ukirudishia unaenda jela

Huku kuoa hasa hii miji ya warangirangi kuoa hutoi hata barua unajitambulisha unachukua mke

Huku mwanamke ndiyo kiongozi wa familia

Huku mtoto mmoja ukizaa analipwa rand 500 kilamwez ukizaa zaidj pesa zaidi ukipata virusi vya ukimwi unalipwa kila mwezi

MWISHO WA YOTE
huku kazi zipj nyiiiingi ila hupati kazi bila kuwa na kitambulisho cha uraia kwakifupi kazi zipo ila sio kwa wageni labda ujiajiri
 
Huyu jamaa anaishi songea alafu analeta thread za sauzi africa eti kaishi sauzi Toka 2003 dah ukiwa muongo uwe na memory kijana
Screenshot_20230704-083447.jpg
 
Tangu 2003
Leo nataka niwape elimu kidogo kuhusu afrika kusini na maisha yake

Kwa kipindi kirefu mmekuwa mkisikia kuhusu mauaji hususani ya watanzania na mkawa hamuelewi mkawa mnatuhumu kuwa wazawa wanaua wageni hawawataki ipo hivi

Wabongo wengi wa kati ya umri wa miaka 19 mpk 37 wengi huku hawana ajira wengi wanakaba hiyo ipo wazi sasa wakienda kukaba ikatokea wakauawa kwa risasi au visu ndiyo mnapata taarifa kuwa wameuawa mnawatuhumu wazawa ukweli ni kwamba wameuawa wakiwa wanaiba 75% ya vifo chanzo ni hicho msidanganywe huwa tunawafichia tu siri

Wazawa wanatupenda sana wabongo huku tunaitwa bongomani au wajomba wanatupenda mno

USHAJIULIZA KWANINI TUNAPENDWA?

Tunapendwa kwakuwa wabongo huku wengi hatuajiliwi hivyo hatuchukui ajira zao ndiyomaana hutokuja kusikia vurigu dhid ya wabongo

Pia kuna hili jambo endapo unandugu anaishi huku alafu kaoa mwanamke wa huku nakuomba muombee sanaaa mungu amsimamie

Maana afrika kusini ni nchi ambayo mwanamke anasikilizwa kuliko mwanaume endapo utampiga mwanamke au mwanao wa kumzaa au utamcheka shoga unakabiliwa na kifungo kisichopungua miaka 3 jela

Huku mtoto hapigwi nyumbani hata shuleni, huku mwanamke hapigwi huku shoga anachukuliwa kma kilema

Huku 50% ya wanawake wanavuta bangi 70% wanavuta sigara mtoto wa kike miaka 10 anavuta sigara baba hutakiwi kumpiga

Huku mwanamke anampiga mwanaume mwanaume ukirudishia unaenda jela

Huku kuoa hasa hii miji ya warangirangi kuoa hutoi hata barua unajitambulisha unachukua mke

Huku mwanamke ndiyo kiongozi wa familia

Huku mtoto mmoja ukizaa analipwa rand 500 kilamwez ukizaa zaidj pesa zaidi ukipata virusi vya ukimwi unalipwa kila mwezi

MWISHO WA YOTE
huku kazi zipj nyiiiingi ila hupati kazi bila kuwa na kitambulisho cha uraia kwakifupi kazi zipo ila sio kwa wageni labda ujiajiri
nataka kuja huko mkuu
 
Back
Top Bottom