UHALISIA: Kilichomtokea Dr. Ulimboka mwanzo-mwisho...


LUKOLO, usikataze watu kuhusisha TISS katika mateso aliyofanyiwa Dr. Ulimboka...!


1. Maelezo aliyotoa Dr. Ulimboka, nikuwa; anakumbuka maeneo ya victoria kabla ya kupelekwa kuteswa kwenye hiyo nyumba, na baada ya kuteswa anakumbuka kuyapita maeneo ya mwenge. Hivyo, eneo alilopelekwa kulingana na maelezo yake ni kati ya victoria na mwenge lenye nyumba nzuri, na ambapo eneo hilo baada ya risasi kufyatuliwa hakuna polisi aliyeweza kulisogela. Lukolo, wewe unadhani patakuwa ni wapi?

2. Information alizotakiwa azitoe, jambazi wala kibaka hawezi zihitaji. Hata aliyepoteza ndugu yake fuatia mgomo wa madaktari, hawezi hitaji hizo infor...! Likolo, nani atazihitaji?

3. Ushiriki wa TBC katika ku'ikava hii habari nao unatia mashaka.....!


UDHAIFU

Intelijensia makini, zisingetumia njia ya ukilza ya kumtocha mtu ili kupata information, mbona kuna suvilience nyingi tu za kumchunguza mtu kupitia simu, ku'plot agent 24/7 kila ulimboka anapoenda ili kujua kilichotakikana kutoka kwake? Agent wengi wa Tiss now days ni (kamlete), kupeana bila kuangalia uwezo ndiyo ina result na unnecessaary tocha na kuacha trace behind ya nani kafanya nini....!


Kibanga msese
 
Haya ni baadhi ya machache katika mengi ambayo hamyafahamu!! Hii ndiyo nchi ya Wadanganyika bwana kwa ulimwengu huu wa temnolojia mnasubiri Scotland yard au FBI wawape ukweli kuhusu Dr Steven Ulimboka Tume ya Kova kwa ajili ya maslahi ya nani!!!????
 
Hii "Movie" haijaunga vizuri hapo kwenye "daktari mwenzake" ambaye alienda naye kwenye appointment.

Je ni wakati gani aliachana naye?
 
Kweli udhaifu wa JK ni tatizo kubwa sana. Dr Slaa alisema kuichagua ccm ni maafa, hv JK kwanini anaamini mgomo wa ma dr unasababishwa na maadui zake? Kwani usalama na majeshi wanamsaidiaje mwenyekiti wa chama cha mapinduzi?

Kumbe wenyewe ndio mliichagua CCM umekiri Chadema hawakuibiwa kura...
 
soma vizuri pale walipotokea jamaa wenye bunduki...
Ebu wewe pasome vizuri, nimekuwekea hapo chini, then nieleze "walipotokea hao wenye bunduki", huyo "dokta mwenzake aliyeenda naye" kwenye miadi, alienda wapi?
Ghafla walitokea watu kama
watano na kusema kuwa
hawana tatizo na mtu yeyote
katika eneo hilo isipokuwa mimi.
Wakati sijakaa sawa,
waliniburuza hadi barabara ya
lami kwa kuwa eneo hilo lilikuwa
karibu na barabara."
 
At the beggining I thought this was just a conspiracy theory but now I have realised,this was really a conspiracy,the government now has a lot to explain,NO Doubt the government had its hand on dr.ulimboka

Even I, Imean so did I
 
Tunalo sana. Wewe subiri kidogoo!

NI kweli kwa sababu si rahisi watu binafsi wahusike kwa swala kama hili. sasa hii ni hatari. natamani habari hii ingewafikia watanzania wengi iwezekanavo kwa kiwango hiki ambacho tumekipata sisi. miundo mbinu yetu sijui!
 
Tutafika, safari ni hatua.Ameanza dk.Ulimboka watafuata wengine lakini nchi ya asali na maziwa kanani tutafika.
 
Mungu?
waliomtendea Dk.Ulimboka unyama huu hakika laana hiyo itawaandama maisha yao yote na vizazi vyao vyote.[/QUOTE]

unajua mateso haya yanakaribia yale ya Yesu Kristo. Basi ikiwa damu ya Yesu ilimwagika kumkomboa mwanadamu tukio la Ulimboka litawa ni kuikomboa sekta ya fya, madaktari na wafanyakazi wote dhidi ya uovu.
 
Hata wabunge wa upinzani naona ni wanafiki tu katika suala hili la mgomo wa madakatari...kwanini wasigome kuingia bungeni kushinikiza Serikali kutatua tatizo la mgomo wa madaktari upesi.

Kama ni suala la maslahi hilo ni jepesi na sioni kwa nini Serikali inasuasua kulitatua... Lakini suala la maboresho, hilo ni suala la mipango...lahitaji muda kwani hata kama ni ununuzi wa vifaa ama upanuzi na uboreshaji wa majengo hauwezi kufanyika kwa muda mchache...na ni suala linalogusa maendeleo ya Sekta ya utabibu Tanzania nzima, hususani vijijini. Niliangalia documentary moja, katika kituo kimoja cha TV hapa nchini, kuna hospitali/despensari moja kijijini ambayo inategemewa na watu wengi, hususan akina mama, haina umeme, wagonjwa huitajika kwenda na mafuta ya taa ili wapatiwe huduma nyakati za usiku. Hakuna pia maji na hakuna dawa. Ni gharika kupata huduma katika dispensari ile.

Sasa kama ni tatizo la maboresho ya miundo mbinu...sijui katika kile kikao cha muafaka na Pinda walipeana ultimatum ama vipi? Sikumbuki kama nilipata kusikia ama kusoma mahali popote kuwa walipeana muda fulani kuhakikisha masuala haya ya miundo mbinu ama yaananza kushughulikiwa , ama yawe yamefikiwa katika kiwango ambacho madaktari watakuwa wamekubaliana nacho! Na hii ni katika hospitali zote, za rufaa, za mikoa na wilaya, za kata na za vijijini.

Hapa ndipo ninapopata taabu ya kuelewa maana ya vikao vya muafaka; vikao hivi vinapaswa viwe na 'critical path' . Kuwe na mtiririko wa matukio, kuanzia hapa tulipo hadi kule tunakotaka kwenda; na nani anahusika na katika suala lipi na anapaswa alitekeleze ndani ya muda gani.

Vinginevyo vitakuwa kama vikao vya migahawani ambavyo mwisho wa siku watu hukung'uta miguu, na kuamka kesho yake kuwa kama ilivyokuwa jana yake! Hatua tisa mbele, na kumi nyuma!

Na makubaliano haya yawe ya kimaandishi, na mintaarafu kwa kuwa ni masuala ya kitaifa basi nasi wananchi yapaswa tuelezwe maendeleo yake...ili tuweze kuhoji.


Vinginevyo watu watabaki kuwa na kizungumkuti na kufikiri kuwa mgomo wa madaktari umechochewa na haja ya madaktari kudai maslahi bora pekee; kumbe nia yao ...ambayo kwa wananchi wengi iko nyuma ya pazia ni kudai maslahi na hali bora ya sekta nzima ya afya hapa Tanzania. Hatuhitaji mama Kijo Bisimba, ama mama Ananilea Nkya kufafanua haja hii nyeti na muhimu (huduma bora, vifaa bora, hali bora) siku ya kumsafirisha Dr. Ulimboka kwenda nje kwa matibabu. Mungu Ibariki Tanzania!

Na hii ndiyo inayotafutwa na serikali legelege ya ccm. Watasema madaktari wanashinikizwa na upinzani ili nchi isitawalike! Mark my words Mkuu!
 
Safi sana. Si umalizie basi, nani akampokea Muhimbili, wapi akalazwa, daktari gani alimshughulikia, mpaka anasafirishwa kakutwa na matatizo yepi kiafya? mbona umekatiza senema ya bure?
 
Ebu wewe pasome vizuri, nimekuwekea hapo chini, then nieleze "walipotokea hao wenye bunduki", huyo "dokta mwenzake aliyeenda naye" kwenye miadi, alienda wapi?
ah sorry...mimi nimeisoma ile version ndefu...huyo dr mwenzake ndiye alianza kutoa taarifa kwa madaktari /wanaharakati na hatimaye vituo vya polisi...story nilisoma mimi(na maelezo binafsi ya dr ulimboka) inasema walipotokea wale jamaa wenye bunduki waliwaambia kwamba wenyewe wanamuhitaji dr ulimbaka ila wengine wako free ndiyo wakaanza kumburuta na kumuingiza kwenye gari...
 
Yaani JK hajui haya yote ni madhala ya kutoa ahadi hewa kwa watanzania.Yeye amegawa uongozi kwa rafiki zake alikuwa
anategemea nini,upandacho ndicho utakacho vuna.Hizo ni salam tu
 
Huyo jamaa aliyekuwa na Ulimboka wakati anakamatwa ni vizuri nae akafunguka na story yake..ni shuhuda muhimu sana
 
jamani kwann mmemtaja huyu Abdallah, tena majina yake yote.. consider him dead mpaka saivi, nadhani mwawajua hawa watu, imagine mwankyembe ametaka kuuawa ingawa report keshaisoma bungeni..

muwe unakumbuka hivi vitu jama

Katajwa hadi kwenye hotuba ya Kikwete isije kuwa wanamlia timing..........lakini wataua wangapi?
 
Hivi uyo kibaraka wa ikulu aliempigia cmu hajakamatwa?

Hawezi kukamatwa. Huyo jasusi aliweza kuonana na Dr.Ulimoboka na kufanya naye mazungumzo kwa kupitia kwa nani? mtoto wa boss? Nani amkate nani sasa? Hii kitu imekaa vibaya kwa reputation ya baadhi ya watu
 
Back
Top Bottom