UHALISIA: Kilichomtokea Dr. Ulimboka mwanzo-mwisho...

Mkuu huyo "unayemfikiria" ndo yupi na ndo huyo aliyekwenda naye?

Maana inanishangaza sana kwanini hao "TISS" hawakuwa na wasiwasi na huyo aliyemsindikiza ilhali ni shahidi wa wazi kabisa?

Je muda huyo rafiki yake alioripoti tukio hilo ni saa ngapi na maelezo yake yanasemaje?

Hili jambo linachanganya kidogo...ila uzoefu unaonyesha si kila mtu mliyenaye kwenye group akawa yuko kwenye upande mliosimamia. So time will reveal more...
 
Hili jambo linachanganya kidogo...ila uzoefu unaonyesha si kila mtu mliyenaye kwenye group akawa yuko kwenye upande mliosimamia. So time will reveal more...
Ni kweli, nasubiri maelezo zaidi, otherwise storry bado ni kinda fuzzy.
 
Hili jambo linachanganya kidogo...ila uzoefu unaonyesha si kila mtu mliyenaye kwenye group akawa yuko kwenye upande mliosimamia. So time will reveal more...

halafu nahitaj kujua kuhusu deo,,,mbona yupo kimya,amehojiwa???????
 
Kuna kitu sielewi hapa uyo rafiki yake alokua nawe kwanini hakwenda kutoa report polisi wakati anaona mwezie anachukuliwa.....nayeye alikuaje akubali kwenda kukutana nawatu asowajua kwenye maeneo tata tena usiku?kunakitu hakiko sawa hapa


Hata mimi nimejiuliza hilo swali sikupata majibu. Katika hali ya sasa mtu akuite club humjui.Hata angejitambulisha anatoka uvunguni kwa rais nisingeenda. Ningemwambia tukutane polisi au sehemu ya kazi. Imagne siku tatu Ulimboka anasumbuliwa na simu kuwa nataka tuonane na mtu asiye mjua, hakuwa na akili ya hata kushtuka na kutengeneza azingira ya kuripoti hata kwa madr wenzake wakaandaa mtego? Kwa nini alikaa nalo kimya?

Pia aliipokosa amani eneo la tukio na kumtilia mashaka mtu aliyekuwa anaongea nae kwa nini hakuchukua hatua za kuondoka? Na mbona hajatuambia waliongea nini na huyo aliyemwita.
Mpaka anatekwa na kuburuzwa hapo leaders hakukuwa na watu waliokuwa wameona hilo tukio? Na aliyemsindikiza jee? alitokomea wapi wakati ndo alikuwa shuhuda wa kwanza wa tukio? Kwa nini hakutoa taarifa popote?

Ni mtazamo wangu tu.
Pole DR ULIMBOKA, pengine kwa hili haki itatendeka na wahusika wataaibika.
 
Hata mimi nimejiuliza hilo swali sikupata majibu. Katika hali ya sasa mtu akuite club humjui.Hata angejitambulisha anatoka uvunguni kwa rais nisingeenda. Ningemwambia tukutane polisi au sehemu ya kazi. Imagne siku tatu Ulimboka anasumbuliwa na simu kuwa nataka tuonane na mtu asiye mjua, hakuwa na akili ya hata kushtuka na kutengeneza azingira ya kuripoti hata kwa madr wenzake wakaandaa mtego? Kwa nini alikaa nalo kimya?

Pia aliipokosa amani eneo la tukio na kumtilia mashaka mtu aliyekuwa anaongea nae kwa nini hakuchukua hatua za kuondoka? Na mbona hajatuambia waliongea nini na huyo aliyemwita.
Mpaka anatekwa na kuburuzwa hapo leaders hakukuwa na watu waliokuwa wameona hilo tukio? Na aliyemsindikiza jee? alitokomea wapi wakati ndo alikuwa shuhuda wa kwanza wa tukio? Kwa nini hakutoa taarifa popote?

Ni mtazamo wangu tu.
Pole DR ULIMBOKA, pengine kwa hili haki itatendeka na wahusika wataaibika.
Kuna aliyesema alitoa taarifa, cha muhimu ni kujuwa muda na maelezo yake, ama aliogopa kwenda polisi?Je alienda wapi?

Kuna mchangiaji (sweke34)alisema huyo aliyekuwa naye alitoa taarifa kwa baadhi ya watu...Madaktari na wanaharakati, then polisi.
 
Hii ni sehemu ya hotuba ya kila mwisho wa mwezi ya kikwete kuhusu Suala la Dkt. Steven Ulimboka

...ndugu Wananchi;
Kabla ya kumaliza hotuba yangu, napenda kuungana na Watanzania
wenzangu wote kuelezea masikitiko yangu makubwa na kuhuzunishwa kwangu
na kitendo cha kinyama alichofanyiwa Dkt. Steven Ulimboka usiku wa
tarehe 26 Juni, 2012. Kitendo hicho ni kinyume kabisa na mila na
desturi zetu. Watanzania hatujayazoea mambo hayo. Nimeelekeza vyombo
vyetu vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi wa kina ili ukweli
ujulikane. Nimesema kuwa ningependa ukweli huo ujulikane mapema ili
tuondoe wingu baya la kutiliana shaka na kulaumiana kunakoendelea hivi
sasa.

Natambua kuwa Serikali nayo inatajwa katika orodha ya wanaotiliwa
shaka. Mimi nimeshangazwa sana na hisia hizo kwani siioni sababu ya
Serikali kufanya hivyo. Dkt. Ulimboka alikuwa mmoja wa kiungo muhimu
katika mazungumzo baina ya Serikali na Madkatari. Ni kweli kwamba yeye
si mtumishi wa Serikali, hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano
haya. Kulikuwa na rai ya kutaka asiwepo, lakini nilisema wamuache
maadam Madaktari wanamuamini kuwa anaweza kuwasemea vizuri zaidi
kuliko wao wenyewe walioajiriwa na Serikali.

Ndugu Wananchi;
Kama nilivyoeleza, mazungumzo yalienda vizuri na mafanikio makubwa
yamepatikana. Yapo maeneo machache na hasa eneo la mshahara ambalo
hatukuweza kukubaliana. Hapo tulipofikia si pabaya na tulikubaliana
sote kurudi kwenye mkondo wa Sheria kusaidiwa. Kwa nini Serikali
imdhuru Dkt. Ulimboka? Na, kuhusu mgomo, Mahakama Kuu imekwishatoa
amri ya kusitisha mgomo. Anayekaidi amri ya Mahakama ananunua ugomvi
na mhimili huo wa dola ambao wenyewe una mamlaka ya kumtia adabu mtu
huyo. Hivi baada ya kufika hapo Serikali iwe na ugomvi na Dkt. Steven
Ulimboka kwa sababu ipi na jambo lipi hata iamue kumdhuru? Kama kuna
mtu wa Serikali kafanya, itakuwa kwa sababu zake binafsi na siyo za
Serikali au kwa kutumwa na Serikali.

Ndugu Wananchi;
Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa mkono wa pole kwa Dkt.
Steven Ulimboka na kumuombea apone haraka ili aungane na familia yake
na Watanzania wenzake katika ujenzi wa taifa. Kwa namna ya pekee
namshukuru na kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo wake wa huruma na
upendo na kwa hatua alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.

Naomba kumaliza kwa kuwasihi madaktari kuacha mgomo na kurejea kazini.
Watanzania wenzenu wanateseka na kupoteza maisha. Muwe na moyo wa
huruma na upendo na msaada kwa wagonjwa kama kiapo chenu
kinavyowataka.


Mungu Ibariki Afrika!
Mungu Ibariki Tanzania!
Asanteni kwa Kunisikiliza.
 
Always my comments on this type of incidents is go back to history and do your homework, as you only live once na kila nafsi itaonja mauti, Ulimboka siku yake ilikua bado na Mungu kaamua kutenda muujiza ili tujue yaliyotendeka sirini, wala sihitaji kuwalaani as hiyo laana iko juu yao na vizazi vyao kama mnabisha muulize Ghadafi

handsome,,,,thanx much,,,,
 
Hii ni sehemu ya hotuba ya kila mwisho wa mwezi ya kikwete kuhusu Suala la Dkt. Steven Ulimboka

...ndugu Wananchi;
Kabla ya kumaliza hotuba yangu, napenda kuungana na Watanzania
wenzangu wote kuelezea masikitiko yangu makubwa na kuhuzunishwa kwangu
na kitendo cha kinyama alichofanyiwa Dkt. Steven Ulimboka usiku wa
tarehe 26 Juni, 2012. Kitendo hicho ni kinyume kabisa na mila na
desturi zetu. Watanzania hatujayazoea mambo hayo. Nimeelekeza vyombo
vyetu vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi wa kina ili ukweli
ujulikane. Nimesema kuwa ningependa ukweli huo ujulikane mapema ili
tuondoe wingu baya la kutiliana shaka na kulaumiana kunakoendelea hivi
sasa.

Natambua kuwa Serikali nayo inatajwa katika orodha ya wanaotiliwa
shaka. Mimi nimeshangazwa sana na hisia hizo kwani siioni sababu ya
Serikali kufanya hivyo.
Dkt. Ulimboka alikuwa mmoja wa kiungo muhimu
katika mazungumzo baina ya Serikali na Madkatari. Ni kweli kwamba yeye
si mtumishi wa Serikali, hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano
haya. Kulikuwa na rai ya kutaka asiwepo, lakini nilisema wamuache
maadam Madaktari wanamuamini kuwa anaweza kuwasemea vizuri zaidi
kuliko wao wenyewe walioajiriwa na Serikali.

Ndugu Wananchi;
Kama nilivyoeleza, mazungumzo yalienda vizuri na mafanikio makubwa
yamepatikana. Yapo maeneo machache na hasa eneo la mshahara ambalo
hatukuweza kukubaliana. Hapo tulipofikia si pabaya na tulikubaliana
sote kurudi kwenye mkondo wa Sheria kusaidiwa. Kwa nini Serikali
imdhuru Dkt. Ulimboka? Na, kuhusu mgomo, Mahakama Kuu imekwishatoa
amri ya kusitisha mgomo. Anayekaidi amri ya Mahakama ananunua ugomvi
na mhimili huo wa dola ambao wenyewe una mamlaka ya kumtia adabu mtu
huyo. Hivi baada ya kufika hapo Serikali iwe na ugomvi na Dkt. Steven
Ulimboka kwa sababu ipi na jambo lipi hata iamue kumdhuru? Kama kuna
mtu wa Serikali kafanya, itakuwa kwa sababu zake binafsi na siyo za
Serikali au kwa kutumwa na Serikali.

Ndugu Wananchi;
Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa mkono wa pole kwa Dkt.
Steven Ulimboka na kumuombea apone haraka ili aungane na familia yake
na Watanzania wenzake katika ujenzi wa taifa. Kwa namna ya pekee
namshukuru na kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo wake wa huruma na
upendo na kwa hatua alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.

Naomba kumaliza kwa kuwasihi madaktari kuacha mgomo na kurejea kazini.
Watanzania wenzenu wanateseka na kupoteza maisha. Muwe na moyo wa
huruma na upendo na msaada kwa wagonjwa kama kiapo chenu
kinavyowataka.


Mungu Ibariki Afrika!
Mungu Ibariki Tanzania!
Asanteni kwa Kunisikiliza.

maelezo ya Ulimboka ndo yanayofanya ihusishwe serikali Dr Kikwete
 
Kuna aliyesema alitoa taarifa, cha muhimu ni kujuwa muda na maelezo yake, ama aliogopa kwenda polisi?Je alienda wapi?

Kuna mchangiaji (sweke34)alisema huyo aliyekuwa naye alitoa taarifa kwa baadhi ya watu...Madaktari na wanaharakati, then polisi./QUOTE]

Waliopewa taarifa walchukua hatua gani baada ya kupata taarifa?
 

LUKOLO, usikataze watu kuhusisha TISS katika mateso aliyofanyiwa Dr. Ulimboka...!


1. Maelezo aliyotoa Dr. Ulimboka, nikuwa; anakumbuka maeneo ya victoria kabla ya kupelekwa kuteswa kwenye hiyo nyumba, na baada ya kuteswa anakumbuka kuyapita maeneo ya mwenge. Hivyo, eneo alilopelekwa kulingana na maelezo yake ni kati ya victoria na mwenge lenye nyumba nzuri, na ambapo eneo hilo baada ya risasi kufyatuliwa hakuna polisi aliyeweza kulisogela. Lukolo, wewe unadhani patakuwa ni wapi?

2. Information alizotakiwa azitoe, jambazi wala kibaka hawezi zihitaji. Hata aliyepoteza ndugu yake fuatia mgomo wa madaktari, hawezi hitaji hizo infor...! Likolo, nani atazihitaji?

3. Ushiriki wa TBC katika ku'ikava hii habari nao unatia mashaka.....!


UDHAIFU

Intelijensia makini, zisingetumia njia ya ukilza ya kumtocha mtu ili kupata information, mbona kuna suvilience nyingi tu za kumchunguza mtu kupitia simu, ku'plot agent 24/7 kila ulimboka anapoenda ili kujua kilichotakikana kutoka kwake? Agent wengi wa Tiss now days ni (kamlete), kupeana bila kuangalia uwezo ndiyo ina result na unnecessaary tocha na kuacha trace behind ya nani kafanya nini....!


Kibanga msese
No! Sijakataa kwamba TISS wamehusika, kuna dalili nyingi sana kwamba wamehusika, lakini nilikuwa najaribu kumshinikiza jamaa atutajie hiyo nyumba ni ipi na hao TISS waliomtesa ni akina nani, kwakuwa jamaa anaonekana anafahamu kila kitu. Sasa nashangaa ni kwanini anashindwa kuwataja ilihali hapa anatumia jina la bandia?
 
Kwakua walitaka kumuua na hawakumuua,,,,je walohusika wanaweza kuuliwa(kama ni wana system?????)kuficha usshahid
 
Hao sijui TISS, either walikuwa hawana nia ya kumuua, ama ni wajinga kabisa.

Sidhani kama "professional killers" wanafanya makosa kama haya...Yani huyo mwenzake si ni "obvious witness"?

Siwezi kushangazwa na matendo haya kwasababu ndo yamekuwa yakiwapandisha vyeo maofisa, wa kulaumiwa ni ccm tuu.

jmushi1, the guys are suckers!!

Huyo mwenzake ni Dr Deo. Dr Ulimboka alimchukua makusudi alipoamua kuwa anakwenda kumfuata jamaa liyekuwa anamtafuta kwa takriban wiki. Na Dr Deo usiku huo huo baada ya Mwenzake kuchukuliwa mbele yake na 1. Watu wenye bunduki wamevalia kijeshi... 2. Dr Deo kuachwa na huyo Jamaa mwingine .. 3. Dr Deo kaona kabisa gari Escudo nyeusi isiyo na namba ikimchukua na kuondoka 4. Dr Deo baaday ya mwenzake kuburuzwa na kuchukuliwa jambo la kwanza Alipiga simu kwa watu wa haki za binaadamu. 5 Na walikutana nao haswa Hellen Bisimba baada ya muda mfupi. 6. Usiku huo huo Hellen Bisimba na Dr Deo walikwenda vituo vingi vya Polisi kutoa taarifa na kuambiwa wajiondokee warudi asbuhi. 7. Asubuhi Dr Deo ndio wa kwanz akupigiwa simu na mtu aliye mkuta Dr Ully akiwa hajiwezi kwani Dr Ully aliweza kukumbuka namba ya Dr deo na kumpa huyo mpita njia. Dr Deo akawapigia Wanaharakati NB Hellen Kijo Bisimba(Utamuona kwenye picha zote za tukio la subuhi hadi Muhimbili).

1. So Mkuu ni Kweli Dr Deo is the "Obvious witness" ...

2. Kumbuka Dr Deo aliachwa ameduwaa akiwa pamoja na huyo jamaa aliyewaita na kuwa delay pale hadi Escudo ikafika!! Huyo Jamma Muite "The Fool X" anafahamika kabisa!!
 
Last edited by a moderator:
jmushi1, the guys are suckers!!

Huyo mwenzake ni Dr Deo. Dr Ulimboka alimchukua makusudi alipoamua kuwa anakwenda kumfuata jamaa liyekuwa anamtafuta kwa takriban wiki. Na Dr Deo usiku huo huo baada ya Mwenzake kuchukuliwa mbele yake na 1. Watu wenye bunduki wamevalia kijeshi... 2. Dr Deo kuachwa na huyo Jamaa mwingine .. 3. Dr Deo kaona kabisa gari Escudo nyeusi isiyo na namba ikimchukua na kuondoka 4. Dr Deo baaday ya mwenzake kuburuzwa na kuchukuliwa jambo la kwanza Alipiga simu kwa watu wa haki za binaadamu. 5 Na walikutana nao haswa Hellen Bisimba baada ya muda mfupi. 6. Usiku huo huo Hellen Bisimba na Dr Deo walikwenda vituo vingi vya Polisi kutoa taarifa na kuambiwa wajiondokee warudi asbuhi. 7. Asubuhi Dr Deo ndio wa kwanz akupigiwa simu na mtu aliye mkuta Dr Ully akiwa hajiwezi kwani Dr Ully aliweza kukumbuka namba ya Dr deo na kumpa huyo mpita njia. Dr Deo akawapigia Wanaharakati NB Hellen Kijo Bisimba(Utamuona kwenye picha zote za tukio la subuhi hadi Muhimbili).

1. So Mkuu ni Kweli Dr Deo is the "Obvious witness" ...

2. Kumbuka Dr Deo aliachwa ameduwaa akiwa pamoja na huyo jamaa aliyewaita na kuwa delay pale hadi Escudo ikafika!! Huyo Jamma Muite "The Fool X" anafahamika kabisa!!
Thanks mkuu, but still "dumbfounded" on "The Fool X"
 
Hii kweli ni hatari, ila najua wanaharakati wa kudai hakai hawataka kata tamaa!. ILA WANAJAMVI MIMI BADO SIJAPATA JIBU, HAYA YOOTE YANAELEZWA VIZURI KABISA, LAKINI DR. ULIMBOKA HASEMI WALIKUWA WANAZUNGUMZA NINI NA MTU WA KWANZA KABLA HAWAJAJA HAWA WATANO WALIOMBEBA NA KUMPIGA VIBAYA! KUNA KITU HAPA, NA YEYE ATUAMBIE NI MAZUNGUMZO GANI ALIKUWA ANAONGEA NA YULE JAMAA PAMOJA NA DR. MWENZAKE, "WAKATI TUKIWA KATIKA MAONGEZI YA KWAIDA" NI YEPI HAYO?. NAHISI ALIFIKIRI KUNA MLUNGULA ATAKULA PALE. ANYWAY, POLE SANA DR. NA GET WLL SOON!

Manyi, nakubaliana nawe. Ila huyo jamaa waliyekua naye si anajulikana ukifuatilia simu yake kwenye mtandao husika? ajitokeze atueleze kisa cha kung'ang'ania maongezi na dr. Uli hadi hao jamaa wakamkuta! wenye utaalam na fursa ya ku-track hiyo namba wafanye hivyo au mwenye simu atueleze exactly walicho kuwa wanaongea sii mpaka akamatwe ndio ajitokeze.
Na doc akirudi atatueleza maana kama watesi wake waliibuka ghafla aliwezaje kugundua gari haina namba?
 
jamani kutolewa meno kwa kutumia koleo si mchezo

Alafu kumbuka Serekali imefikia hapo kama Namna Na Njia pekee ya kutatua matatizo ya Wananchi wake kwa sababu ni dhaifu na huo ndio uwezo pekee iliyobakiza! KUUA ili kufikia MALENGO ... Kuua is laike kula Nyama ya Mtu ..Oce you start no end to it!!

Waalimu wakigoma ...watakamatwa wawili pelake mwabe pande ... Ongeza dose ya drill ..ngoa macho, meno yote kata miguu ... Then lengo litafikiwa ... Mainjinia na Wabunge vocal ..ongeza dose and do as usualli ...mabwe pande sasa ndio Ikulu au Bungeni kwa Idd Amini alianzaje ... Hadi tunakuwa na Syria in TZ
 
Hapa tusichanganye na siasa. Wabunge wa upinzani sio swala lao peke yao ni la watu wote hata wasio na chama hata wasiojua siasa. Tukianza kuwapa wapinzani tutakuwa tunadhani Dr. Uli anazungmzia Afya kama mtaji wa siasa. Utakuwa upotoshaji pasipo na sababu.
 
Back
Top Bottom