Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 175
Kwa siku kadhaa sasa mitandaoni kumekuwa na habari kuwa wenzetu wa usalama barabarani wanataraji kuanza uhakiki wa bima za magari, nimeona kuna link pia imewekwa ili kujua kama bima ni halali au la.
Kwa wenye taarifa tunaomba watueleweshe vizuri, au wenzetu wanaofanya kazi kwenye vyombo vya habari muwaalike hawa waheshimiwa walielezee ili tujue kinachotakiwa.
Mfano, nimejaribu kuingiza namba za gari hiyo link ikasema gari halina bima. Nimeshindwa kuelewa kuwa je si halali, kampuni nilikata bima haitambuliki auni nini!
Na je bima halali zinapatikana wapi, na je wakikuta si halali wanataraji kufanya nini!
Nawakilisha!
Kwa wenye taarifa tunaomba watueleweshe vizuri, au wenzetu wanaofanya kazi kwenye vyombo vya habari muwaalike hawa waheshimiwa walielezee ili tujue kinachotakiwa.
Mfano, nimejaribu kuingiza namba za gari hiyo link ikasema gari halina bima. Nimeshindwa kuelewa kuwa je si halali, kampuni nilikata bima haitambuliki auni nini!
Na je bima halali zinapatikana wapi, na je wakikuta si halali wanataraji kufanya nini!
Nawakilisha!