Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Hawa ZIC wababaishaji sana. Wamebaki jina tu. Wana uswahili sana kwenye malipo.
ZIC na NIC n mtu na mdogo wake,ni wababaishaji sana.
Hawa ZIC wababaishaji sana. Wamebaki jina tu. Wana uswahili sana kwenye malipo.
Kwani aris wana zaidi ya kampuni moja?Basi cheki na Kampuni ya bima. Walikukatia IPI?
Inawezekana mtandao haujakamilika.Mimi nimekata UAP na bado gari yangu haisomi kwenye hiyo database yao
Itachukua muda bima zote kuingia kwenye data base. Kama umekata bima kwenye kampuni inayoeleweka huna sababu ya kuwa na wasiwasi.Kwani aris wana zaidi ya kampuni moja?
Nilikata pale seacliff
Ngoja nikifika home nicheki documents
Though nilipowapigia walidai tira ndio bado na hiyo kitu itaanza tar 30....
OkeItachukua muda bima zote kuingia kwenye data base. Kama umekata bima kwenye kampuni inayoeleweka huna sababu ya kuwa na wasiwasi.
Hawa ZIC wababaishaji sana. Wamebaki jina tu. Wana uswahili sana kwenye malipo.
Ari's in broker si Kampuni ya bima. Wao wanakupa bima kwa kampuni flani au utakayotaka.Kwani aris wana zaidi ya kampuni moja?
Nilikata pale seacliff
Ngoja nikifika home nicheki documents
Though nilipowapigia walidai tira ndio bado na hiyo kitu itaanza tar 30....
Mkuu tangu zamani usipokuwa na bima ni kosa. System inayowekwa itawasaidia kukamata wanaoweka bima feki. Zamani ukiweka stocker walikuwa hawawezi ku verify on spot.Kwani wameshasema wakikuta huna bima watachukua hatua gani?
KumbeewAri's in broker si Kampuni ya bima. Wao wanakupa bima kwa kampuni flani au utakayotaka.
Wanapendwa kwa sababu wanashughulikia madai ya wateja wao kwa wakati. Na Kampuni za bima wako makini sana kulipa madai ya wateja wa Aris ili wasikose biashara.
Katika vitu ambavyo sifanyi navyo mchezo ni bima. Nishaumizwa na ndugu yangu, nimetuma hela akate bima comprehensive akakata third party, mbaya zaidi feki! Nilikuja kugundua ajali ilipotokea, minibus na iliua mtu mmoja! Kuanzia siku hio situmi mtu naenda mwenyewe tena sasa hivi kampuni za bima wenyewe wanakufuata ofisini, bima ikikaribia kwisha unapata notification.
Kuna broker wangu aliniambia hii kitu. Yaani nikikata kwake ikitokea issue watashughulikia haraka kwasababu yeye anawapelekea wateja wengi, ila mimi wanaweza kunisumbua kwasababu ni individual tu.Ari's in broker si Kampuni ya bima. Wao wanakupa bima kwa kampuni flani au utakayotaka.
Wanapendwa kwa sababu wanashughulikia madai ya wateja wao kwa wakati. Na Kampuni za bima wako makini sana kulipa madai ya wateja wa Aris ili wasikose biashara.
Yap, ila KWA sababu wewe mbongo kama Mimi huwa hatusomi wala kuuliza kuhusu policy zetu.Kumbeew
Ni kweli kabisa.Kuna broker wangu aliniambia hii kitu. Yaani nikikata kwake ikitokea issue watashughulikia haraka kwasababu yeye anawapelekea wateja wengi, ila mimi wanaweza kunisumbua kwasababu ni individual tu.
HahahahaYap, ila KWA sababu wewe mbongo kama Mimi huwa hatusomi wala kuuliza kuhusu policy zetu.
Kwa mfano unafahamu kuwa kwenye malipo ya madai unakatwa 5% ya malipo?
Kuna baadhi ya kampuni policy zao zinalipa limit ya 10 milioni ikiwa utasababisha uharibu (third party) na kama uharibifu ni zaidi ya hapo kinachobaki unalipa wewe!!
Kuna policy ukipata loss na dereva ana leseni iliyo chini ya miezi sita unapigwa 15% deduction kwenye malipo yako!
Kuna mmoja alikuwa na comprehensive insurance, akaibiwa vifaa vya gari. Alienda kuclaim bima baada ya wiki moja tena baada ya kuambiwa bima hiyo ina-cover wizi pia!! Alikuwa anajua ni ajali tu!!Hahahaha
Wabongo tuna shida na maandishi....matatizo yakitokea si kwa kulalamika sasa wakati tulisaini wenyewe
Kuna mmoja alikuwa na comprehensive insurance, akaibiwa vifaa vya gari. Alienda kuclaim bima baada ya wiki moja tena baada ya kuambiwa bima hiyo ina-cover wizi pia!! Alikuwa anajua ni ajali tu!!Hahahaha
Wabongo tuna shida na maandishi....matatizo yakitokea si kwa kulalamika sasa wakati tulisaini wenyewe
Huyo katisha ni zaidi ya uzembeKuna mmoja alikuwa na comprehensive insurance, akaibiwa vifaa vya gari. Alienda kuclaim bima baada ya wiki moja tena baada ya kuambiwa bima hiyo ina-cover wizi pia!! Alikuwa anajua ni ajali tu!!
Naomba unieleweshe vizuri mkuu..Aris ni broker Mkubwa sana wa Bima, hawawezi kucheza na hilo.
Umekata kwenye ofisi zao Sea cliff? Unaweza pia kuuliza kampuni yako ya Bima kama cover note number IPO kwenye system yao
Yeah wamehama...Yap nilikatia sescliff kabla hawajahama (nasikia wamehama)