Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,183
Hizo Bima zenu mmekata kampuni gani? Msitegemee hiyo system kufanya kazi.
TIRA ni wazembe sana,hiyo system ilitengenezwa ili kupunguza fraud lakini mpaka sasa haiwezi kufanya kazi.
Jambo la msingi ni kukata bima kwenye makampuni yanayojulikana.
Kama yepi Mkuu, maana ukifika kwenye ofisi zao unaona wana vibali vya serikali kuoperate insurance agency business. Nitajuaje kuwa hii no ofisi ya bima fake na ile pale ni original