UHAKIKA: Mishara Mipya kwa waalimu

UHAKIKA: Mishara Mipya kwa waalimu

Wadau,Nimetoka benk kuchukua mshahara,nyongeza mpya ya mshahara kwa waalimu wa digiri ngazi ya tgts D1 kwa take home imeongezeka sh 42400/
JIONEE MWENYEWE MAZINGAOMBWE YA JK NA SERIKALI YAKE.

Mkuu ndo serikali uliyoichagua!! Ila usijali wewe Fundisha Kadiri Ulipavyo (FUKU)!
 
Mkuu ebu angali vizuri unaweza kuwa hujaongezewa mshahara kabisa. Tuki assume minmum wage imebakia kuwa same, halafu PAYE imeshuka kutoka 18 hadi kumi na Tatu 5% utakua na increase in net income by 5%

Kama kima cha chini kimeongezwa kwa 6.1% ina maana kiasi kilichoongezeka hakina kodi yeyote so net effect ya msharahara is equal to increase in minimum wage increament.

Total effect effect 11.1% kwa maana nyingine mshahara umeongezeka kwa serikali kuongeza expenditu ya 6.1% (increase in min wage)

Hiyo hesabu imekaa vizuri lakini tabu ni kwamba walimu walio wengi hesabu kwaoni MAJANGA
 
Hela ya mwigulu ya kumlipa mwampamba kwa mzunguko wa siku 4 kuichamba chadema
 
Wakati mnaendelea kufurahia salio ongezeko, jiandaeni kukamuliwa kwenye kodi ya simu card na nyinginezo ambazo zitaongezwa mda si mrefu.
Halafu, umeshajiuliza hilo ongezeko lenu la salio mlilopata linatoka kwenye chanzo kipi cha pato? Au bakuli la omba omba?
Wamejipanga vizuri ili wakija kuwaomba kura '15 msije kuwanyima.
Naona kama wanaziba shimo la panya kwa kipande cha samaki.

Nimeiona yangu ka yako,ila bosi wetu hataki masihara extra duty laki4 kila mwezi uhakika.Sasa wafundishe wanafunzi kuichukia serikali na CCM



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
CCM Bye bye,kuanzia leo maticha wote dk 20 mwaga sumu ya kuichukia ccm,dk 20 haki ya watoto kwa somo husika.MAANA sikio la kufa halisikii dawa.Asanteni kwa kunielewa wenzangu. Yaani nimeishiwa pozi kiunyongeeeee.
 
Effect nzuri na itakayomgusa kila raia ni kufelisha watoto ili wazazi, hasa wa huko vijijini, ambao ndiyo mtaji mkuu wa ccm, waamke kutoka usingizini na kuleta mabadiliko mwaka 2015. Walimu oyeeee!!!
 
ccm bye bye,kuanzia leo maticha wote dk 20 mwaga sumu ya kuichukia ccm,dk 20 haki ya watoto kwa somo husika.maana sikio la kufa halisikii dawa.asanteni kwa kunielewa wenzangu. Yaani nimeishiwa pozi kiunyongeeeee.

.......ccm majanga matupu.
 
Effect nzuri na itakayomgusa
kila raia ni kufelisha watoto ili wazazi, hasa wa huko vijijini, ambao
ndiyo mtaji mkuu wa ccm, waamke kutoka usingizini na kuleta mabadiliko
mwaka 2015. Walimu oyeeee!!!

nimeipenda comment yako kaka
 
Walimu wafundishe badala ya kuleta siasa
Mkuu usifanye hvyo,wanafunzi hawana makosa tafuta namna nyingine ya kuleta mgogoro na muajiri wako bila kuathiri wanafunzi make hyo dhambi itakurudia tu.
 
vipi na malimbikizo yenu ya mishahara , kupandishwa daraja, matibabu, gharama za usafiri, nyumba n.k serikali ilisha clear , kama ilivyo kwenye Mpango wa big result now, " serikali kuhakikisha imelipa madai yote ya walimu ifikapo july 2013 " :smile-big:.
 
Acheni ufala ninyi serikali inawaongezeni mshahara wa bure halfu mnapiga mikelele tu. Cheki watoto wanavyofeli kazi hamfanyi ila mnataka malipo makubwa. Nendeni wanakoweza kuwalipa mishahara mikubwa basi mkachukue.
 
vipi na malimbikizo yenu ya mishahara , kupandishwa daraja, matibabu, gharama za usafiri, nyumba n.k serikali ilisha clear , kama ilivyo kwenye Mpango wa big result now, " serikali kuhakikisha imelipa madai yote ya walimu ifikapo july 2013 " :smile-big:.

.......Akupigae Ngumi ya sikio nawe mpige ngumi ya jicho akikuuliza unajiskiaje na wewe muulize unaonaje? "BIG RESULTS NOW.....2015".
 
Acheni ufala ninyi serikali inawaongezeni mshahara wa bure halfu mnapiga mikelele tu. Cheki watoto wanavyofeli kazi hamfanyi ila mnataka malipo makubwa. Nendeni wanakoweza kuwalipa mishahara mikubwa basi mkachukue.

.....We lazima utakua bwabwa tu,kule dole watu kama nyie twawapaka inna na kuwaimbia chei chei.
 
Walimu wa Tanzania hasa vijijini wanadanganywa na CCM na kukubali.Mshahara wako wa mwezi ni posho ya Mbunge kwa siku 2!
 
Back
Top Bottom