Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,386
- 2,213
....Bwana mdogo acha dharau sisi.mizi wewe.
ukweli ndio huo.
Walimu ni makuwadi wa ccm huko vijijini.
2015 say NO to CCM.
....Bwana mdogo acha dharau sisi.mizi wewe.
Wadau,Nimetoka benk kuchukua mshahara,nyongeza mpya ya mshahara kwa waalimu wa digiri ngazi ya tgts D1 kwa take home imeongezeka sh 42400/
JIONEE MWENYEWE MAZINGAOMBWE YA JK NA SERIKALI YAKE.
Kazi yenu ni kulalamika..walimu ndio chaka la kuvuna kura la CCM. Komeni, mnavuna mlichopanda. Sisi wengine tunaendelea kutesa na mishahara yetu minono.
mkuu, kwa kiwango hicho kama hutaongeza nyumba ndogo nyingine utaishi vizuri. maana kama sikosei hiyo 42400 ni nyongeza ya kile ulichokuwa unapata awali. hongera sana. ila kumbuka kuwakumbuka wazazi wako japo fedha tu ya kusagia, sabuni na mafuta ya taa
mhh! watoto wetu sijuhi kama watapona na zero make duh!..
mzaha mzaha mkuu na kama si wewe basi mtoto wako na kama si mtoto wako basi mdogo wako na kama si mdogo wako bado ndugu yako na kama si ndugu yako basi mwana jamii wako lakini lazima likuguse hata kwa umbali.kejeli hizi hizi ndizo zinazo endelea kushusha elimu tanzania hii sababu hata mambo ya msingi kwa maendeleo uya taifa mnaingiza UCCM na UCHADEMA.Bosi wenu hapo kinondoni {Dr Slaa} amewaongezea kiasi gani cha posho per post kutoka kiwango cha sasa cha tsh 300 per post?
Wazazi wake jamaa walipewa juzi mshiko wa kutosha bado hata hawajamaliza. Labda kuanzia miezi mitatu ijayo.
Si unajua uchaguzi ni shamba zuri sana hasa chama fulani kikihisi kimebanwa mbavu, Kinasaidia sana na wazee wengi wanaomba kiendelee kubanwa kwani kimeongeza uwezeshaji toka t-shirt na fedha za sabuni moja hadi .........