Mohamed R
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 2,232
- 426
......Haa ha ha ha ha Stop talking shit unadhani wazee wangu ni kama wako wanaolima tumbaku kule urambo? wanaomuabudu 6 hata wakilambwa vibao wanasema asante mh. usilete kejeli za kiboya kwa mtu usie mjua kung.uru wewe.
Umenifurahisha sana kungu.ru ulivyojibu. Haaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaah.
Nilimjibu vile kwani analeta mzaha katika masuala ambayo hayahitaji mzaha. Hilo ongezeko kwa utitiri wa kodi na kupanda kwa gharama za maisha haitoshi kwa chochote halafu anaongelea mambo mengine?.
Pamoja tutalijenga taifa letu.