UHAKIKA: Mishara Mipya kwa waalimu

UHAKIKA: Mishara Mipya kwa waalimu

next time msiwe mnakimbilia kusomea fani ambazo tokea uhuru hadi leo kilio chake hakijawahi kushighurikiwa..ualimu kibongobongo ni fani inayodharaulika sana kias saiv mnapitwa ata na mafelia ya form 4 yanayoenda kwenye majeshi! Dah poleni ila niwashauri wadogo wetu wasikimbilie kwenye ualimu japo ajira zake zipo njenje lakini umasikini wake ni wakudumu...ningependekeza serikali ianzishe bank maalum kwa ajiri ya kutoa mikopo yenye zero interest kwa walimu ili waweze kujenga na kumiliki Vitz nk
 
Hakika nimenyanyasika sana, kwenye hilo ongezeka unalosema kumbuka kuna increment ya kila mwaka kama sikosei ni 14000: ila novemba sio mbali na februar mwakan tujipange kuangalia matokeo
 
Bosi wenu hapo kinondoni {Dr Slaa} amewaongezea kiasi gani cha posho per post kutoka kiwango cha sasa cha tsh 300 per post?



hahaha! hivi chadema ndio inakodigi macosta na bodaboda kupeleka wananchi mikutanoni??
 
Acheni ufala ninyi serikali inawaongezeni mshahara wa bure halfu mnapiga mikelele tu. Cheki watoto wanavyofeli kazi hamfanyi ila mnataka malipo makubwa. Nendeni wanakoweza kuwalipa mishahara mikubwa basi mkachukue.

ague with reason bro, matusi yanini, afu co walimu wote wamefeli mjomba, wengne wanapass marks nzuri kuliko hata za pengne za kwako.
cha msingi tuungane kutetea haki za kila kada hapa tz ili taaluma ya mtu iheshimiwe
 
Walimu mtulie chapeni kazi kwa moyo wen wote! si mh.rais aliwaahidi mapesa kibao?adui wa walimu si serikali ni cham chao dhaifu cwt.mkiwalisha watoto wet sumu serikali si ipo itastandadise!

unapostandardize wakati mwanao hana kitu kichwani inasaidia nn taifa,ndio wale wa kupasua kichwa badala ya mguu. Endeleeni kuwadharau walimu tu
 
ndugu zangu, mimi pia ni mwl., ukiona kazi unaomba bila kupeleka cv hata kama umeisomea jua kuna tatizo,
makanjanja kibao huko huko kwenye ualimu, mwingine katimiza ndoto zake kwa kupata ualimu tutegemee nini?
nashauri kama mtu unaweza pata dili lingine wewe sepa watatokea wengine ambaowatakubaliana na mshahara husika coz
serikali inasema ina stock ya walimu so kuwapeleka inavyotaka inaweza. THINK TWICE, acha kulalamika chukua hatua!
 
Ndoika nyie Walimu ndo mnasimama kura,na nyie ndo mnawaweka CCM madarakani,kifuoi nyie ndo manatuyeyusha saaaaaana tu
Hivi kama tunadharauliwa walimu kwa kiwango hicho, tunaiweka serikali ya ccm madarakani ya nini??? Tubadilike!!
 
Mkuu usifanye hvyo,wanafunzi hawana makosa tafuta namna nyingine ya kuleta mgogoro na muajiri wako bila kuathiri wanafunzi make hyo dhambi itakurudia tu.

Ipi? Kama kuandamana, nani apigwe mabomu, ang'olewe kucha na meno bila ganzi? Kama majadiliano, miaka nenda rudi ya majadiliano imeleta tija gani toka kwa serikali hii "sikivu"? Huko huko darasani ndio kuzuri!
 
Pole sana mwl huo ni mshahara bado posho za big results mbona wanafunzi watafahuru tuu mwaka huu.
 
Mijitu haina shukran hii, unataka mapato yote ya nchi upewe ww peke yako??????????????
 
next time msiwe mnakimbilia kusomea fani ambazo tokea uhuru hadi leo kilio chake hakijawahi kushighurikiwa..ualimu kibongobongo ni fani inayodharaulika sana kias saiv mnapitwa ata na mafelia ya form 4 yanayoenda kwenye majeshi! Dah poleni ila niwashauri wadogo wetu wasikimbilie kwenye ualimu japo ajira zake zipo njenje lakini umasikini wake ni wakudumu...ningependekeza serikali ianzishe bank maalum kwa ajiri ya kutoa mikopo yenye zero interest kwa walimu ili waweze kujenga na kumiliki Vitz nk

..Ushauri wako haujakaa vyema watu wakikimbia kusoma ualimu mtoto wako atafundishwa na askari?
 
Japo kua walimu mishahara ni midogo ninacho waomba chonde chonde msijiingize kwenye biashara ya madawa ya kulevya tu.
 
Back
Top Bottom