Uhaba wa walimu nchini .

diaz

Member
Jan 3, 2013
80
9
Kwanza nianze kwa ku-Declare my interest. Mimi nimemaliza Mwenge University College of Education 2012, Bed (sc). Nimebahatika kupata hizi ajira mpya za serikali.

Rejea hicho kichwa cha habari hapo juu. Mwaka wetu tume-graduate wanachuo 647. But cha kushangaza waliopangiwa vituo vya kazi ni only 91. Swali linakuja hivi.................!

Je, ina maana nchi yetu imejitoshereza na mahitaji ya walimu..? Ina maana mwaka huu serikali yetu haitalalamika tena kuhusu uhaba wa walimu....?

Let us assume 200 out of 647 walikuwa wametokea makazini, then take 447 minus 91 = 356. it means walimu 356 wamechinjiwa baharini.

Hiyo situation cjui kwa vyuo vingine but kwa chuo cha Mwenge hali ndiyo hii.
 
Only in tanzania!!kaka serikali haina noti ndo maana hata izi post zimeshelewa sana.na kwa hali inavyoendelea itafika wakati walimu wa arts hawataajiriwa tena!
 
Me naugulia hapa baada ya kukosa ajira wanadai wanavyuo wote waliosoma Bachelor of education hakuna ajira zaidi kwasababu tunatakiwa kufundisha vyuoni na nafasi hizo zimejaa Inabidi tuombe upya ajira tuandike barua wizarani. Kaazi kweli kweli
 
Mimi nilikuwa silijui hili, Nilijua Walimu wote huajiliwa pindi wamalizapo Vyiuo kumbe kuna wanao achwa? Wakuu nilipenda kujua kwa nchi nzima walimu wa Degree na Diploma wanao graduate ni wangapi kwani? means katika vyuo vyote Tanzania nzaima,

Tunako elekea sasa hakuna Kozi yenye unafuu tena, make ualimu ndo kozi pekee iliyo kuwa mtu ana uhakika wa ajila kwa 100% ila sasa naona inaanza kuwa tofauti
 
Kwanza nianze kwa ku-Declare my interest. Mimi nimemaliza Mwenge University College of Education 2012, Bed (sc). Nimebahatika kupata hizi ajira mpya za serikali.

Rejea hicho kichwa cha habari hapo juu. Mwaka wetu tume-graduate wanachuo 647. But cha kushangaza waliopangiwa vituo vya kazi ni only 91. Swali linakuja hivi.................!

Je, ina maana nchi yetu imejitoshereza na mahitaji ya walimu..? Ina maana mwaka huu serikali yetu haitalalamika tena kuhusu uhaba wa walimu....?

Let us assume 200 out of 647 walikuwa wametokea makazini, then take 447 minus 91 = 356. it means walimu 356 wamechinjiwa baharini.

Hiyo situation cjui kwa vyuo vingine but kwa chuo cha Mwenge hali ndiyo hii.

mkuu hachana na hilo pia hili la mtu anakaa arusha anatupwa karagwe au mwanza arusha nashindwa kuelewa kigezo cha hii serikali kupanga vitu namna hii haisee
 
Wengi wa mwenge ni in service kaka fanya uchunguzi hasa mwaka wenu
 
Wengi wa mwenge ni in service kaka fanya uchunguzi hasa mwaka wenu

Is it possible walimu 556 wote wawe inservice? siyo kweli bhana, mbona kuna vijana wengi niliokuwa nawajua wametokea form six nao pia wamezikosa hizi ajira mpya?
 
SUA inservice karibu wote wamepata ajira mpya.serikal yetu inafanya mambo ovyo ovyo sana!na hili la maeneo nashindwa kuwaelewa eg masasi kwenda sumbawanga,tabora kwenda songea.kazi ipo!!!
 
Back
Top Bottom