Tusikimbilie tu maslahi, Walimu tushirikiane kuisaidia Serikali kuhahakikisha mtoto wa kike anapata elimu itakayomsaidia katika maisha yake

Mayombya Jr

Member
Oct 24, 2022
25
30
Habari,

Nimesoma bandiko la Thadei Ole Mushi kuhusu "Mshahara wa Mwalimu unavyotafunwa CWT" la Dec 2022.

Lakini pia nimepitia uzi wa Mpwayungu Village kuhusu Tuungane kwa pamoja kuwasemea walimu, hakika nimetafakari kwa kina jambo fulani.

Sekta hii ya ualimu ni sekta nyeti sana nchini, lakini walimu wetu hawajitambui kwakweli, walimu wamekuwa ni chanzo cha kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike katika jamii yetu.

Naomba mniwie radhi ili mimi nimsaidie Mwl Mpwayungu Village, kuwasemea na kuonyesha upande wao wa pili ulivyo katika jamii, pengine serikali hawajui haya.

Kuna shida kubwa sana kwa walimu hasa katika upande wa maslahi hatukatai hilo, bali pia kuna shida ya hawa walimu kushiriki katika tabia chafu inayorudisha nyuma maendeleo yetu, na hii utokana na maslahi madogo ambayo hayakidhi mahitaji ya mwalimu kwa mwezi.

Kuna mtu alileta uzi humu jamvini, kuhusu 80% ya wanawake na waschana ni omba omba, ni kweli sikatai hilo lakini kuomba omba kwao, sisi wanaume tusiyojitambua wakiwemo walimu ndiyo tumewatengenezea.

Tumekuwa mstari wa mbele kuwaharibia jinsia ya kike future yao, hatutaki kusaidia serikali kuhakikisha mtoto wa kike anapata Elimu itakayomsaidia katika maisha yake ya baadaye.

Baadala yake tunawabebesha mimba tunawaharibia maisha yao alafu tunakuja humu jamvini kuwasimanga, mfano, viongozi wanao husishwa na kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike kupata Elimu, kule Kata ya Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita tunaomba wachunguzwe jamii tumechoka, tunaomba kujua serikali imechukua hatua kule Ikunguigazi.

Tumechoka na vitendo vya rushwa vinavyo rudisha nyuma maendeleo yetu, kama viongozi waliotajwa wamehusika kwa namna moja ama nyingine kupindisha sheria usichukue mkondo wake ili haki isipatikane kule Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita wawajibishwe.

Tunaanda taifa la aina gani, taifa la omba omba, wakati sheria zipo ila rushwa inaonekana ina nguvu kuliko sheria zenyewe, hii haikubaliki katika jamii na taifa kwa ujumla.

Mwl Mpwayungu village, tunawapenda na tunaheshimu kazi yenu kubwa mnayoifanya walimu katika jamii, nitaleta mada humu hapa kuomba serikali iingilie kati kuokoa mtoto wa kike, kutoka kwenye mikono na walimu na watu wasio wema.

Haiwezekani binti abebeshwe mimba na mwalimu wake, amfiche mwaka mzima alafu amtelekeze na mtoto, alafu atumie pesa zake kuzuia hatua isichukuliwe dhidi yake, niombe serikali hizi siri/uovu zinapo ibuliwa katika jamii wawe wepesi kufuatilia na kuchukua hatua.
 
Habari,

Nimesoma bandiko la Thadei Ole Mushi kuhusu "Mshahara wa Mwalimu unavyotafunwa CWT" la Dec 2022.

Lakini pia nimepitia uzi wa Mpwayungu Village kuhusu Tuungane kwa pamoja kuwasemea walimu, hakika nimetafakari kwa kina jambo fulani.

Sekta hii ya ualimu ni sekta nyeti sana nchini, lakini walimu wetu hawajitambui kwakweli, walimu wamekuwa ni chanzo cha kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike katika jamii yetu.

Naomba mniwie radhi ili mimi nimsaidie Mwl Mpwayungu Village, kuwasemea na kuonyesha upande wao wa pili ulivyo katika jamii, pengine serikali hawajui haya.

Kuna shida kubwa sana kwa walimu hasa katika upande wa maslahi hatukatai hilo, bali pia kuna shida ya hawa walimu kushiriki katika tabia chafu inayorudisha nyuma maendeleo yetu, na hii utokana na maslahi madogo ambayo hayakidhi mahitaji ya mwalimu kwa mwezi.

Kuna mtu alileta uzi humu jamvini, kuhusu 80% ya wanawake na waschana ni omba omba, ni kweli sikatai hilo lakini kuomba omba kwao, sisi wanaume tusiyojitambua wakiwemo walimu ndiyo tumewatengenezea.

Tumekuwa mstari wa mbele kuwaharibia jinsia ya kike future yao, hatutaki kusaidia serikali kuhakikisha mtoto wa kike anapata Elimu itakayomsaidia katika maisha yake ya baadaye.

Baadala yake tunawabebesha mimba tunawaharibia maisha yao alafu tunakuja humu jamvini kuwasimanga, mfano, viongozi wanao husishwa na kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike kupata Elimu, kule Kata ya Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita tunaomba wachunguzwe jamii tumechoka, tunaomba kujua serikali imechukua hatua kule Ikunguigazi.

Tumechoka na vitendo vya rushwa vinavyo rudisha nyuma maendeleo yetu, kama viongozi waliotajwa wamehusika kwa namna moja ama nyingine kupindisha sheria usichukue mkondo wake ili haki isipatikane kule Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita wawajibishwe.

Tunaanda taifa la aina gani, taifa la omba omba, wakati sheria zipo ila rushwa inaonekana ina nguvu kuliko sheria zenyewe, hii haikubaliki katika jamii na taifa kwa ujumla.

Mwl Mpwayungu village, tunawapenda na tunaheshimu kazi yenu kubwa mnayoifanya walimu katika jamii, nitaleta mada humu hapa kuomba serikali iingilie kati kuokoa mtoto wa kike, kutoka kwenye mikono na walimu na watu wasio wema.

Haiwezekani binti abebeshwe mimba na mwalimu wake, amfiche mwaka mzima alafu amtelekeze na mtoto, alafu atumie pesa zake kuzuia hatua isichukuliwe dhidi yake, niombe serikali hizi siri/uovu zinapo ibuliwa katika jamii wawe wepesi kufuatilia na kuchukua hatua.
We mlee mtoto wako vizuri akae mbali na bakora za wanaume . We unadhani Mimi kwa mshahara wa laki tano unanitosha kufanya Kazi mbili kumlea mtoto wako wa kike na kumfundisha ebu tueni serious na Maisha . No body is there for ur resposibility
 
We mlee mtoto wako vizuri akae mbali na bakora za wanaume . We unadhani Mimi kwa mshahara wa laki tano unanitosha kufanya Kazi mbili kumlea mtoto wako wa kike na kumfundisha ebu tueni serious na Maisha . No body is there for ur resposibility
Ndio mpambane ili serikali iwawekee posho pia kama TA iliokwepo zamani ili muweze kupata pia ya kuonga malaya kuliko kuishia kuwabebesha mimba watoto wetu
 
Habari,

Nimesoma bandiko la Thadei Ole Mushi kuhusu "Mshahara wa Mwalimu unavyotafunwa CWT" la Dec 2022.

Lakini pia nimepitia uzi wa Mpwayungu Village kuhusu Tuungane kwa pamoja kuwasemea walimu, hakika nimetafakari kwa kina jambo fulani.

Sekta hii ya ualimu ni sekta nyeti sana nchini, lakini walimu wetu hawajitambui kwakweli, walimu wamekuwa ni chanzo cha kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike katika jamii yetu.

Naomba mniwie radhi ili mimi nimsaidie Mwl Mpwayungu Village, kuwasemea na kuonyesha upande wao wa pili ulivyo katika jamii, pengine serikali hawajui haya.

Kuna shida kubwa sana kwa walimu hasa katika upande wa maslahi hatukatai hilo, bali pia kuna shida ya hawa walimu kushiriki katika tabia chafu inayorudisha nyuma maendeleo yetu, na hii utokana na maslahi madogo ambayo hayakidhi mahitaji ya mwalimu kwa mwezi.

Kuna mtu alileta uzi humu jamvini, kuhusu 80% ya wanawake na waschana ni omba omba, ni kweli sikatai hilo lakini kuomba omba kwao, sisi wanaume tusiyojitambua wakiwemo walimu ndiyo tumewatengenezea.

Tumekuwa mstari wa mbele kuwaharibia jinsia ya kike future yao, hatutaki kusaidia serikali kuhakikisha mtoto wa kike anapata Elimu itakayomsaidia katika maisha yake ya baadaye.

Baadala yake tunawabebesha mimba tunawaharibia maisha yao alafu tunakuja humu jamvini kuwasimanga, mfano, viongozi wanao husishwa na kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike kupata Elimu, kule Kata ya Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita tunaomba wachunguzwe jamii tumechoka, tunaomba kujua serikali imechukua hatua kule Ikunguigazi.

Tumechoka na vitendo vya rushwa vinavyo rudisha nyuma maendeleo yetu, kama viongozi waliotajwa wamehusika kwa namna moja ama nyingine kupindisha sheria usichukue mkondo wake ili haki isipatikane kule Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita wawajibishwe.

Tunaanda taifa la aina gani, taifa la omba omba, wakati sheria zipo ila rushwa inaonekana ina nguvu kuliko sheria zenyewe, hii haikubaliki katika jamii na taifa kwa ujumla.

Mwl Mpwayungu village, tunawapenda na tunaheshimu kazi yenu kubwa mnayoifanya walimu katika jamii, nitaleta mada humu hapa kuomba serikali iingilie kati kuokoa mtoto wa kike, kutoka kwenye mikono na walimu na watu wasio wema.

Haiwezekani binti abebeshwe mimba na mwalimu wake, amfiche mwaka mzima alafu amtelekeze na mtoto, alafu atumie pesa zake kuzuia hatua isichukuliwe dhidi yake, niombe serikali hizi siri/uovu zinapo ibuliwa katika jamii wawe wepesi kufuatilia na kuchukua hatua.
Nilichokielewa kutoka Kwa huyu jamaa ni kuwa; kwanza anawatuhumu walimu wote kuwa wanawapa mimba wanafunzi haijalishi hao walimu Kuna wa kike na WA kiume,wote wameamua kushirikiana kumkwaza huyu jamaa kwa tabia zao za kuwapa mimba watoto wa kike shuleni.

Pili,walimu ndo sababu ya mtoto wa kike kukosa elimu. Kwa mtazamo wake anaomba serikali ichukue hatua.

Tatu, nadhani hata yeye hajui ametumia kilevi gani kabla hajaandika hapo juu na aliporudia kusoma Kwa mara ya pili juu ya kile alichokiandika hakuelewa kabisa. Je,huyu ni nani??? 😁😁
 
Nilichokielewa kutoka Kwa huyu jamaa ni kuwa; kwanza anawatuhumu walimu wote kuwa wanawapa mimba wanafunzi haijalishi hao walimu Kuna wa kike na WA kiume,wote wameamua kushirikiana kumkwaza huyu jamaa kwa tabia zao za kuwapa mimba watoto wa kike shuleni.

Pili,walimu ndo sababu ya mtoto wa kike kukosa elimu. Kwa mtazamo wake anaomba serikali ichukue hatua.

Tatu, nadhani hata yeye hajui ametumia kilevi gani kabla hajaandika hapo juu na aliporudia kusoma Kwa mara ya pili juu ya kile alichokiandika hakuelewa kabisa. Je,huyu ni nani??? 😁😁
Wewe ndio ujamuelewa mleta mada, ameongelea malalamiko ya walimu kuhusu maslahi, ndio akazungumzia shida na tabia zao chafu.

Mfano kule Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita kuna mwalimu mkuu ambaye amembebesha mimba mwanafunzi na kesi kuishia kwa WEO.

Yeye ameonyesha kutokubaliana na madai yao, wakati hawawajibiki ipasavyo na wanachangia kudidimiza jamii kimaendeleo.
 
Habari,

Nimesoma bandiko la Thadei Ole Mushi kuhusu "Mshahara wa Mwalimu unavyotafunwa CWT" la Dec 2022.

Lakini pia nimepitia uzi wa Mpwayungu Village kuhusu Tuungane kwa pamoja kuwasemea walimu, hakika nimetafakari kwa kina jambo fulani.

Sekta hii ya ualimu ni sekta nyeti sana nchini, lakini walimu wetu hawajitambui kwakweli, walimu wamekuwa ni chanzo cha kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike katika jamii yetu.

Naomba mniwie radhi ili mimi nimsaidie Mwl Mpwayungu Village, kuwasemea na kuonyesha upande wao wa pili ulivyo katika jamii, pengine serikali hawajui haya.

Kuna shida kubwa sana kwa walimu hasa katika upande wa maslahi hatukatai hilo, bali pia kuna shida ya hawa walimu kushiriki katika tabia chafu inayorudisha nyuma maendeleo yetu, na hii utokana na maslahi madogo ambayo hayakidhi mahitaji ya mwalimu kwa mwezi.

Kuna mtu alileta uzi humu jamvini, kuhusu 80% ya wanawake na waschana ni omba omba, ni kweli sikatai hilo lakini kuomba omba kwao, sisi wanaume tusiyojitambua wakiwemo walimu ndiyo tumewatengenezea.

Tumekuwa mstari wa mbele kuwaharibia jinsia ya kike future yao, hatutaki kusaidia serikali kuhakikisha mtoto wa kike anapata Elimu itakayomsaidia katika maisha yake ya baadaye.

Baadala yake tunawabebesha mimba tunawaharibia maisha yao alafu tunakuja humu jamvini kuwasimanga, mfano, viongozi wanao husishwa na kurudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike kupata Elimu, kule Kata ya Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita tunaomba wachunguzwe jamii tumechoka, tunaomba kujua serikali imechukua hatua kule Ikunguigazi.

Tumechoka na vitendo vya rushwa vinavyo rudisha nyuma maendeleo yetu, kama viongozi waliotajwa wamehusika kwa namna moja ama nyingine kupindisha sheria usichukue mkondo wake ili haki isipatikane kule Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita wawajibishwe.

Tunaanda taifa la aina gani, taifa la omba omba, wakati sheria zipo ila rushwa inaonekana ina nguvu kuliko sheria zenyewe, hii haikubaliki katika jamii na taifa kwa ujumla.

Mwl Mpwayungu village, tunawapenda na tunaheshimu kazi yenu kubwa mnayoifanya walimu katika jamii, nitaleta mada humu hapa kuomba serikali iingilie kati kuokoa mtoto wa kike, kutoka kwenye mikono na walimu na watu wasio wema.

Haiwezekani binti abebeshwe mimba na mwalimu wake, amfiche mwaka mzima alafu amtelekeze na mtoto, alafu atumie pesa zake kuzuia hatua isichukuliwe dhidi yake, niombe serikali hizi siri/uovu zinapo ibuliwa katika jamii wawe wepesi kufuatilia na kuchukua hatua.
Mimi sio mwalimu, kama Kuna mwalimu anahusika na mimba ya mwanafunzi sheria Zipo wazi hata hivyo hivi vitendo vinachochewa na ccm kuruhusu watoto wenye ujauzito kurudi shule
 
Haya ndo matendo mazuri ambayo serikali yetu ya CCM inayataka, na itakuwa ngumu kwao kufuatilia hili suala make wote CCM ni wachafu

Hapo WEO alifanya kitu kinacho itwa PLEA BARGAIN ndo kinacho pendwa na viongozi wa CCM bt jiulize pesa hizo za PLEA BARGAIN zimeenda wapi? Ili zikafanye maendeleo.
 
Mbona unakazanatu na walimu kwani huwaoni wazazi wanaowanunulia vimini, wanaopewa hela wanyamaze na kupelekewa zawadi na watoto wao bila kuhoji?
Mwalim apunguziwe mzigo wa lawama maana mtoto pia akivuta bangi au asipooga na hata akilala nje ya nyumbani mwalimu ndio anaambiwa na wazazi amuonye mtoto wakati amelala na kuamkia huko kwao.
 
Huyu mzazi kakurupuka. Utafiti imefanywa na taasisi mbalimbali umebaini maeneo yafuatayo ndiyo yanaongoza kuwarubuni watoto wa kike na hivyo kupelekea kupata mimba.

1. Vijiwe vya bodaboda.
2. Baa na vilabu vya pombe
3. Stendi za daladala.
4. Ndugu wa karibu wa kiume (wajomba, baba wadogo, wapwa, binamu , mahouse boy, n.k).

Walimu wala hawamo kwenye orodha ya makundi tishio.

Ushauri; wazazi msikwepe jukumu lenu muhimu la kuwalea vema watoto wenu. Kuitendo cha mtoto wa kike kuingiliwa kimwili mpk kupata mimba lkn akakaa kimya maana yake mtoto mwenyewe ana upotofu wa maadili.

© Sexless kungwi la kitaa
 
Sasa hapo walimu wanahusikaje na mtoto wa kike,yaani mwalimu mmoja ndo umegeneralize,inamaana wote wanaowabebesha mimba ni walimu,kiukweli huna hoja nenda kajifikirie upya
Ilitakiwa umripoti mwalimu aliyefanya kitendo hicho na sio ulete uzi kuwahusu walimu,suala la rushwa lipo kila sehemu
 
Nilichokielewa kutoka Kwa huyu jamaa ni kuwa; kwanza anawatuhumu walimu wote kuwa wanawapa mimba wanafunzi haijalishi hao walimu Kuna wa kike na WA kiume,wote wameamua kushirikiana kumkwaza huyu jamaa kwa tabia zao za kuwapa mimba watoto wa kike shuleni.

Pili,walimu ndo sababu ya mtoto wa kike kukosa elimu. Kwa mtazamo wake anaomba serikali ichukue hatua.

Tatu, nadhani hata yeye hajui ametumia kilevi gani kabla hajaandika hapo juu na aliporudia kusoma Kwa mara ya pili juu ya kile alichokiandika hakuelewa kabisa. Je,huyu ni nani???
Ni mtoto wa kike aliyekosa elimu
 
Back
Top Bottom