Uhaba wa ajira walimu wa Arts toka Serikali

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
1,467
1,669
habari wakuu nimeona vijana wengi waliosomea ualimu wa masomo ya sanaa wakilalamika kwa serikali kuwabagua na kuajiri walimu wa sayansi peke yake, kwa kweli nimewaonea huruma sasa swali tufanyeje? serikali inasema ina Extra ya walimu7000 wa Arts uku mtaani kuna vijana wengi walioitimu ualimu kwa masomo hayo umesubiri hatima yao pia vyuoni kuna rundo la vijana wengi wanaosomea masomo hayo. sasa tufanyeje serikali isitishe udahili wa masomo hayo au iajiri atakama ina walimu waziada au iwasomeshe afu wajitafutie Ajira, karibu tujadiri
 
Mimi nina kitu kidogo naomba warekebishe..jinsi ya kuyapa majina mafile yao..hili la walimu wa sekondari limeandikwa..'list of uploading-sekondari'...hii naona haijakaa sawa, ni kitu kidogo lakini muhimu sana hasa kwa ajili ya reference...
 
Kila mwaka kuna upepo wake... itafika kipindi walimu wa french watatafutwa kama dhahabu... Maisha hayakariliki wala hayana formular...... Leo mwanao unamshinikiza asome sayans... Kisa hizi ajira 266 za walimu... Unajua mpaka amalize mambo yatakuwa yameshabadilika.... Ile Koz ya petrollium na ges uliyokuwa marketable ipo wapi saiz???? Life is dynamic... Tusikalili maisha wakuuu
 
Kila mwaka kuna upepo wake... itafika kipindi walimu wa french watatafutwa kama dhahabu... Maisha hayakariliki wala hayana formular...... Leo mwanao unamshinikiza asome sayans... Kisa hizi ajira 266 za walimu... Unajua mpaka amalize mambo yatakuwa yameshabadilika.... Ile Koz ya petrollium na ges uliyokuwa marketable ipo wapi saiz???? Life is dynamic... Tusikalili maisha wakuuu

Petroleum na gesi ilikua marketable lini wakati products zake ndio zimeingia juzi tu mtaani.Watu hadi sehemu za kufanyia field wanakosa unasema iko marketable

Badili mfano wako
 
Kila mwaka kuna upepo wake... itafika kipindi walimu wa french watatafutwa kama dhahabu... Maisha hayakariliki wala hayana formular...... Leo mwanao unamshinikiza asome sayans... Kisa hizi ajira 266 za walimu... Unajua mpaka amalize mambo yatakuwa yameshabadilika.... Ile Koz ya petrollium na ges uliyokuwa marketable ipo wapi saiz???? Life is dynamic... Tusikalili maisha wakuuu
ila mkuu sayansi haijawahi mnyima mtu ajira milele tangu tanzania imepata uhuru walimu wa sayansi,engineers,doctors,pilots,architectures woooote wanafaidika na ajira ukichafukwa saaana unafunga turubali sehemu piga benchi zako sita au saba unaandika tu kwa nnje hapo "tuition ya masomo ya science o-level na advance" halafu kaaa pembeni kunywa chai tartiiibu uone hao nyuki watakavyo jaa mtu anaishi kwa tuotion tu mkuu mfano MGOTE,ALLY ABDALAH,KIHOMBO,MODDY,NGAIZA KUBALINI KUWA SCIENCE NI GOLD na inakulipa to the end immagine MTU MWENYE CERTIFICATE YA ELECTRICAL ANALIPWA LAKI NNE HADI TANO asa huyo ni mwenzako kweli SHIDA WATU WANAPINGANA NA HALI HALISI SCIENCE WILL ALWAYS BE SCIENCE arts waaachieni watt wakike wasome
 
Uhaba wa walim wa Arts bado upo. Nenda kila wilaya katafute hao walim wa ziada kama utawaona.hawataki tuu kuajili
Usipingane na ukweli, walimu wa arts wako wengi hata huko wilayani unaposema. Mdogo wangu alichaguliwa form one shule ina walimu wa arts wote mpaka wanapokezana vipindi ila masomo kama maths, biology na physics tangu ameanza form one mpaka anaimaliza hakuwai kuyasoma ikabidi tumuhamishe shule.
 
Ni tz tu ndo nafasi za walimu wa arts hazipo huku wanafunzi wa shule za msingi wanaongoza kufeli kingereza...hao wa cheti hawawezi kufundisha kiinglish hata mfanyeje ila kwa kuwa watz sote tunaongoza kuombeana mabaya twendelee kuchekana!!
unataka wa degree wafundishe shule za msingi
 
Kila mwaka kuna upepo wake... itafika kipindi walimu wa french watatafutwa kama dhahabu... Maisha hayakariliki wala hayana formular...... Leo mwanao unamshinikiza asome sayans... Kisa hizi ajira 266 za walimu... Unajua mpaka amalize mambo yatakuwa yameshabadilika.... Ile Koz ya petrollium na ges uliyokuwa marketable ipo wapi saiz???? Life is dynamic... Tusikalili maisha wakuuu
 
Back
Top Bottom