Ugonjwa wangu ni lips za wanawake

Ugonjwa wangu ni lips za wanawake

TECH WIZ

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
1,675
Reaction score
555
Kama kuna vitu ambavyo huwa vinanitia wazimu kuhusiana na wanawake basi si vingine bali ni lips za wanawake.Sio siri ninapoongea na mwanamke mwenye lips zenye mvuto huwa naingiwa na tamaa ya kama kutaka kumkisi hivi yaani!Ugonjwa wa sex-lip wee acha tu.Kingine ni pale mwanamke anapokaa vibaya kiasi cha kuona kisichotakiwa kuonekana,Sio siri hapo lazima damu zianze kukimbia kwa spidi ya ajabu kiasi cha mapigo ya moyo nayo kuongezeka.Hapo nitapiga jicho mpaka demu ajishtukie.Nouma kweli...!!!???
 
wee watokee tuu hasa wale waliovaa kimitego ndicho wanachotaka
 
Hivi leave za secondary zimeanza? mbona tummevamiwa?
hii thread kama ya 3 hivi of this nature...

^^
Anaeleza udhaifu wake,,chezea kizazi cha leo weye!! Mi napendaga jicho lako!
^^
 
Hivi leave za secondary zimeanza? mbona tummevamiwa?
hii thread kama ya 3 hivi of this nature...

wapoteee tu, mwezi wa julai waja kwa kasi wataondoka tu mwali.
 
Kila mtu ana ugonjwa wake ktk mapenzi maana nashangaa wachangiaji waliotangulia wanaanza kumsakama mleta hoja.
Mimi ugonjwa wangu mwanamke awe amefungasha mzigo kiasi fulani asiwe kimbau mbau, awe na chuchu zilizosimama halafu awe na genye za kutosha yaani ukigusa tu anakuwa tayari kwa majambo na hata wakati mwingine awe mhamasishaji wa mechi.
 
Kama kuna vitu ambavyo huwa vinanitia wazimu kuhusiana na wanawake basi si vingine bali ni lips za wanawake.Sio siri ninapoongea na mwanamke mwenye lips zenye mvuto huwa naingiwa na tamaa ya kama kutaka kumkisi hivi yaani!Ugonjwa wa sex-lip wee acha tu.Kingine ni pale mwanamke anapokaa vibaya kiasi cha kuona kisichotakiwa kuonekana,Sio siri hapo lazima damu zianze kukimbia kwa spidi ya ajabu kiasi cha mapigo ya moyo nayo kuongezeka.Hapo nitapiga jicho mpaka demu ajishtukie.Nouma kweli...!!!???

Mkuu wengeweka limitation kwenye huu uzi. Vp ndugu zko? dada yko je?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hivi leave za secondary zimeanza? mbona tummevamiwa?
hii thread kama ya 3 hivi of this nature...

Samahani naomba kuuliza. Eti we ni mwali wa kimakonde?
 
Kama kuna vitu ambavyo huwa vinanitia wazimu kuhusiana na wanawake basi si vingine bali ni lips za wanawake.Sio siri ninapoongea na mwanamke mwenye lips zenye mvuto huwa naingiwa na tamaa ya kama kutaka kumkisi hivi yaani!Ugonjwa wa sex-lip wee acha tu.Kingine ni pale mwanamke anapokaa vibaya kiasi cha kuona kisichotakiwa kuonekana,Sio siri hapo lazima damu zianze kukimbia kwa spidi ya ajabu kiasi cha mapigo ya moyo nayo kuongezeka.Hapo nitapiga jicho mpaka demu ajishtukie.Nouma kweli...!!!???

mkuu hayo matamanio yako ya Lips yana Limitation? namaanisha mpaka kwa ndugu zako hali akama hiyo inakutokea??
 
Mwali YES YES VIJANA WAPO LIKIZO KWA SASA,WALIOBAHATIKA WAPO JKT
 
Last edited by a moderator:
Weka e mail hapa nikutumie picha yangu uwe unakesha nayo hadi unamliza.by the way hiyo ni hali ya kawaida katika balehe
 
Weka e mail hapa nikutumie picha yangu uwe unakesha nayo hadi unamliza.by the way hiyo ni hali ya kawaida katika balehe

Hiyo haihusiani na mambo ya umri wala nini,Ni vitu tu watu wa jinsia tofauti vinavyotupa wazima wakati wa kufanya mapenzi.Labda suala la kuwa wazi kuhusu hisia zako ni jambo geni kwa Wabongo wengi lakini naamini taratibu tu tutabadilika.Kuficha hisia zako kwa mwenza wako ni moja ya sababu kwanini mahusiano mengi kati ya Wanawake na Wanaume hayadumu.Tubadilike!
 
Kama kuna vitu ambavyo huwa vinanitia wazimu kuhusiana na wanawake basi si vingine bali ni lips za wanawake.Sio siri ninapoongea na mwanamke mwenye lips zenye mvuto huwa naingiwa na tamaa ya kama kutaka kumkisi hivi yaani!Ugonjwa wa sex-lip wee acha tu.Kingine ni pale mwanamke anapokaa vibaya kiasi cha kuona kisichotakiwa kuonekana,Sio siri hapo lazima damu zianze kukimbia kwa spidi ya ajabu kiasi cha mapigo ya moyo nayo kuongezeka.Hapo nitapiga jicho mpaka demu ajishtukie.Nouma kweli...!!!???

kwanini unachungulia dada zako?????????? itakuwa maeneo unayokaa wanapenda kukaa uchi.
 
Back
Top Bottom