Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,506
- 2,900
Hii kitu ilinitesa sana enzi hzo nikiwa morogoro😅😅
Watu tulikosa ata confidence ya kusimamisha minazi
Watu tulikosa ata confidence ya kusimamisha minazi
Pumbu erosion yenyewe inawasha haivumiliki hata ukiwa katikati ya wazazi utaweka mkono ukwangue pumbe na unuse ule unga hapo kidogo itatuliaMimi ilikuwa inatoka magamba na kuja kama ngozi mpya enzi hizo , mwanzo nikiogopa ila nikazoea nikawa nachuna tu mpaka ikapona bila dawa yeyote
Oya kwani Kuna ulazima wa kunusa ?😆Pumbu erosion yenyewe inawasha haivumiliki hata ukiwa katikati ya wazazi utaweka mkono ukwangue pumbe na unuse ule unga hapo kidogo itatulia
Nakumbuka mapumbu yalikuwa yanatoa unga mweupe nikiwa natembea.Haya maradhi yalitutesa mno kipindi tunasoma secondary
Hadi Leo sijui ulitokana na Nini?
Huo muwasho wake hata kaswende na U T I Sugu hazifiku hata nusu 😃
😂😀😅Nakumbuka mapumbu yalikuwa yanatoa unga mweupe nikiwa natembea.
Kipindi fulani kulikuwa na mashindano ya mpira wa miguu pale shuleni kwetu, isivyobahati mistari inayoonesha mpaka wa uwanja haionekani basi Mimi niliombwa nitembee juu ya mpaka wa uwanja ili ule unga mweupe utokao mapumbuni mwangu uanguke na kufanya mpaka kuonekana.
Kweli nilifanya kama nilivyoamriwa.
😂 Hahaha 🤣 Sijawahi kucheka kindezi kama leo tokea mwaka huu uanze .Nakumbuka mapumbu yalikuwa yanatoa unga mweupe nikiwa natembea.
Kipindi fulani kulikuwa na mashindano ya mpira wa miguu pale shuleni kwetu, isivyobahati mistari inayoonesha mpaka wa uwanja haionekani basi Mimi niliombwa nitembee juu ya mpaka wa uwanja ili ule unga mweupe utokao mapumbuni mwangu uanguke na kufanya mpaka kuonekana.
Kweli nilifanya kama nilivyoamriwa.
Hii ni fact.😂 Hahaha 🤣 Sijawahi kucheka kindezi kama leo tokea mwaka huu uanze .
All in all hii ni chai Jombi
Bange mbaya sana 😄Hii ni fact.
Mengi yamenikuta maishani ndiyo maana niko ngangari 😂.
Haya maisha we yaone hivi.Bange mbaya sana 😄
😂😂😂😂😂Basi bwana p.e ilinikamata nikapewa dawa flani ya maji ya kijani imeandikwa dawa ya mba. Nikaweka kunako p..mb. Wee p..mb nilihisi zinang'oka.. nilivaa shuka na kuweka miguu juu nipgwe na upepo... Kumbuka sana lugoba sekondari
😂😂😂😂😂😃😀😅Kunusa muhimu sana
Usiponusa utawashwa hadi ulie
Sana mkuu.Pumbu erosion imekupa ujasiri kama aliyetahiriwa bila ganzi😅
AiseeeePumbu erosion yenyewe inawasha haivumiliki hata ukiwa katikati ya wazazi utaweka mkono ukwangue pumbe na unuse ule unga hapo kidogo itatulia
HahahahahaaaaaJina lake linachekesha sana aliyetunga sijui aliwaza nini ?