kamuone daktariMimi ni mwanaume tumbo langu linaniuma upande wa kusho kwa chini na kende la kushoto linauma na kuvima.
Huo ni ugonjwa wa ngiri nenda kamuone Daktari usipo poona nitafute mimikwa kubonyeza hapa.MawasilianoMimi ni mwanaume tumbo langu linaniuma upande wa kusho kwa chini na kende la kushoto linauma na kuvima.
ss hvi hyo yakwako sio tatizo kubwa sna maana inarudi lkn eventually utakuja kufanyiwa operation maana complications km strangulation, ischemia au obstruction ( kuziba kwa utumbo hpo kwny tundu la hernia) zinaweza kutokea. Woga usikugarimu afya yako mkuu, ukiambiwa operation we piga tu..
Dawa yake ni kisu mkuu.Dawa ya ngiri ni nini?