moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,686
- 16,393
Shukrani sana mkuuNenda hospitali,watakufanyia upasuaji
Shukrani sana mkuuNenda hospitali,watakufanyia upasuaji
Bomba kivipi mkuu?ngiri inatibika, kama anaweza kufika nyarugusu au km anaweza pata mtu akamuagiza dawa toka Congo aweza pona. but ni kupiga bomba ila moja tu.
Mzizi mkavu una dawa ya hydrocele?Kwanza niseme kuwa kwa kiswahili bado kuna mkanganyiko wa neno Ngiri. Wapo wanoiita ngiri kwa maana ya busha (hydrocele), na wengine huita ngiri (Hernia) ambayo ni sehemu ya viungo kuingia sehemu nyingine kwasababu ya kuwa l'oose'
Kwa maelezo yako nadhani unaongelea abdomen hernia ambayo sehemu ya utumbo hutumbukia katika hasua. Hii ni kwasababu sehemu inayozuia (kiwambo) inakuwa imeachia. Utumbo huingia huko na kukuletea maumivu. Siyo maradhi yanayosababishwa na wadudu, hutokea hata kwa watoto wadogo au watu wazima ambao hufanya kazi za nguvu n.k.
Hakuna dawa inayotibu bali zinazopunguza maumivu. Mara nyingi ukilala na taratibu kusukuma hicho unachokihisi kurudi juu, basi hali inaweza kutulia. Itajirudia tena tena kwasababu umesogeza tu lakini hujazuia.
Matibabu yake ni operesheni ya kufunga sehemu hiyo. Matibabu hayo ni muhimu sana kwasababu inaweza kutokea kuwa utumbo umeingia ukajikunja na kushindwa kupitisha damu (strangulated hernia) hivyo sehemu hiyo itaoza na kuweza kuleta madhara makubwa zaidi tusiyotarajia.
Hutokea nadra lakini inapotokea hujui utakuwa sehemu gani ya huduma muhimu na za haraka hapo unaweza kujikuta katika wakati mgumu sana kimaumivu na pengine kimaisha.
Tafadhali kawaone madaktari katika hospitali kubwa kwa ushauri zaidi.
source: JF Doctor
Ndio dawa yake ninayo huo Ugonjwa wa hydrocele ukihitaji nitafute Kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavuMzizi mkavu una dawa ya hydrocele?
OkNdio dawa yake ninayo huo Ugonjwa wa hydrocele ukihitaji nitafute Kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu
Kumbe,basi ngoja nijitahidi kuoa harakaBaba daw yake n kuoa tuu
Je unaweza nisaidia na mie iyo dawaMe kuna dawa nilitengenezewa na bibi yangu mwaka wa NNE sasa Niko pouwa maana a-level ilinisumbua saana nnayo hadi Leo ni ya miti Shamba lakini
Unapatkana wapi mzee mziziNdio dawa yake ninayo huo Ugonjwa wa hydrocele ukihitaji nitafute Kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu
Naomba msaada wako mkuuMnasumbuliwa na hili tatizo nashuhudia kweli zipo dawa za kiswahili zinatoa uvimbe ule uvimbe na unajihisi kupona labisa. Mm nilinunua kwa elf 6 tu. Sifanyi marketing au promotion ukihitaji nakuagizia jina ukatafute na wewe. Sijui kuapload picha ningeweka lile box lake humu
Mnasumbuliwa na hili tatizo nashuhudia kweli zipo dawa za kiswahili zinatoa uvimbe ule uvimbe na unajihisi kupona labisa. Mm nilinunua kwa elf 6 tu. Sifanyi marketing au promotion ukihitaji nakuagizia jina ukatafute na wewe. Sijui kuapload picha ningeweka lile box lake humu