heee ushanuna?nikubembele sio???lol
sio wewe ulisema kununa lazima na muhimu?
Binti kafunguka ukweli mtupu.kwa mara ya kwanza leo umeongea kitu umenigusa....
umekulia tanga weye?Nimeshakwambia naogopa maneno ya walimwengu. Maana wakikuona unawahi kurudi nyumbani wataanza kuongea 'ohhh kashampa limbwata jamaa wa watu' kumbe jamaa wa watu anawahi kupokelewa kwa mbwembwe, avuliwe mpaka viatu na kusindikizwa bafuni kabla ya kupewa msosi wa maana.
Mbu kuna kununa kawaida na kuna kununa tabia, huyu ambaye siye kawaida yake unaweza kubembeleza,ila huyu wa tabia inabidi uwe makini sana, maana mwingine atakufanya poyoyo,atatumia kununa kama silaha ya kukufanya wewe uwe humble kwake na akikustukia u mwepezi wa kuwa hambled atatumia mwanya huo kuadmit matakwa yake. Kwa wanandoa wanalifahamu sana hili. hapo ndio huwa inahitajika misimamo kwa mambo mengine hata mwanamke anune vipi.
Kwa nini na wewe usiokoke? Au unataka kumuua mwenzio kwa kiharusi na ngoma?maana we si mzee wa nyumba ndogo?
...aaahhh, sasa kama kununa ni tabia yake na ulimkubali na 'mbwembwe' zake hizo, ulitegemea ukishamuoa atabadilika?
Mtu wa namna hiyo ukishajikubalisha huo 'wazimu' wake,...mwache anune mpaka siku "wa kwao" wakishamtoka kichwani maisha yaendelea.
Haya ya kujikubalisha furaha/huzuni yako ya siku itawaliwe na mood ya mwenza wako ni kujitafutia stress bure.
Ignore him/her bana, you are The Supreme Commander of your own happiness.
wewe huwa humnunii TF?Wanawake wa hivyo ni wale wanaopenda kukaa na vinyongo rohoni. Ni watu ambao hawana ujasiri wa kuongea wanapokwazika. Halafu huwa hawanunii wapenzi wao tu, unaweza ukakuta hadi marafiki wananuniwa. Tabu sana kuishi na mtu wa hivyo.
kwa mara ya kwanza leo umeongea kitu umenigusa....
umekulia tanga weye?
na siku ukikosa wewe huwa unaomba msamaha au una unavimba tu undava undava,kama noma na iwe noma?
Nduu,mi mtaalam,i have perfected the art of cheating,nikupe tuition?
wewe huwa humnunii TF?
wapo watu wananuna mwezi na wanaishi ndani pamoja
mwendo ni majibu ya short short tu,mbaya zaidi mwanaume anakuwa hajui
haswaa kuna nini......
sasa ili mawasiliano yawepo si lazima mtu 'aongee' na sio 'kununa'?
mtu akinuna si ndo amevunja mawasiliano???????
siku nyingine huwa anaongea vepa?au?Husn unamwona ze Boss? Embu ripoti abuse fasta apigwe ban,kha!