Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
Anaestahili lazima abembelezwe kwa kila namna.
Hapo nimekusoma kiutu uzima lizzy.pamoko.
Anaestahili lazima abembelezwe kwa kila namna.
hanywi,nimem frustrate mpaka ameokoka.Umefanya mistake,ulitakiwa na wewe umbebee kileo akichape vema usiku huo akiamka asubuhi anakuwa amesahau maana wote mnakuwa na hangover.hapo sasa kila mtu atakuwa anawaza kuzimua au kupata supu.
Mbu kuna kununa kawaida na kuna kununa tabia, huyu ambaye siye kawaida yake unaweza kubembeleza,ila huyu wa tabia inabidi uwe makini sana, maana mwingine atakufanya poyoyo,atatumia kununa kama silaha ya kukufanya wewe uwe humble kwake na akikustukia u mwepezi wa kuwa hambled atatumia mwanya huo kuadmit matakwa yake. Kwa wanandoa wanalifahamu sana hili. hapo ndio huwa inahitajika misimamo kwa mambo mengine hata mwanamke anune vipi.
Ndo nnachoogopa. Unaweza ukadata zaidi watu wakaanza kuniita mchawi kumbe uchawi wangu ni maneno na sauti laini tu.
halafu in real life unaweza ukute ka Lizzy ni kapooooooole,omwana enfura,wanasema wahaya.
sogea basi karibu.
Bila ya nia ya kuwajumuisha wanaawake wote katika kapu moja la "wanunaji", ukweli ni kuwa asilimia kubwa wako hivyo. Lakini kama walivyosema wengine, mtu hanuni tu ovyo ovyo bila ya kuwa na sababu ya msingi. Hata ukiona umenuniwa, iwe kwa muda mfupi au mrefu, ujue kuna jambo au tabia unafanya/umefanya na kununa ni njia moja ya kuvuta hadhira yako kuwa kuna kitu hakiko sawa. Pengine njia nzuri zaidi ingekuwa kuelezana ukweli hapo hapo, lakini tukubali kuwa wanaume wengi au tuseme hata baadhi yao, ni "wakoloni" katika mahusiano, kila wanalosema/wanalofanya limeenda shule na kupingwa, kushauriwa au hata kuulizwa hawataki.Hiki kiti kinaniudhi na bahati mbaya zaidi naamini kila mwanamke anacho.....
ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo.....
mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima,mpaka ukahisi
labda love ishakufa na sasa ufanye 'maamuzi' mengine.....kumbe makusudi tu
unakuja kumuuliza utasikia 'ahhh unajua siku ile iuliniita mjinga uliniuudhi sana'...
na hapo anaezungumza hivyo sio mtoto mdogo ni mama wa watoto na wajukuu...
swali ninaouliza hapa hivi kuna wanawake ambao hawanuni wala kususa?
na why mwanamke hata awe above 50 na wajukuu na phd juu
bado still huu ugonjwa wa kununa nuna na kususa hawaauachi????
tena mara nyingi mwanaume unakuwa hujui haswaa umenuniwa kwa sababu gani...
si ajabu ukiuuliza unaambiwa 'aah hamna kitu',while mtu hayuko sawa...
kwa nini wanawake wako hivi????
Sasa unaona kazi/ugumu/ubaya gani kuwa mnyenyekevu(humble) kwa mwenzi wako? Ndivyo inavyotakiwa iwe mara nyingi na sio akinuna pekee. Mdekeze mwenzio usisubiri hata hicho tu usaidiwe.
Bishanga kiukweli nna pande zote mbili. .
Mhusika mwenyewe ndie anaechagua upande upi aonyeshwe.
hanywi,nimem frustrate mpaka ameokoka.
na mimi nina sura mbili ,ya uaminifu na ya cheating,inshallah tukioana you stick na ya upole i stick na ya uadilifu,as long as both tutakubaliana katika hilo ndoa itadumu!
Mbu kuna kununa kawaida na kuna kununa tabia, huyu ambaye siye kawaida yake unaweza kubembeleza,ila huyu wa tabia inabidi uwe makini sana, maana mwingine atakufanya poyoyo,atatumia kununa kama silaha ya kukufanya wewe uwe humble kwake na akikustukia u mwepezi wa kuwa hambled atatumia mwanya huo kuadmit matakwa yake. Kwa wanandoa wanalifahamu sana hili. hapo ndio huwa inahitajika misimamo kwa mambo mengine hata mwanamke anune vipi.
Wanawake wa hivyo ni wale wanaopenda kukaa na vinyongo rohoni. Ni watu ambao hawana ujasiri wa kuongea wanapokwazika. Halafu huwa hawanunii wapenzi wao tu, unaweza ukakuta hadi marafiki wananuniwa. Tabu sana kuishi na mtu wa hivyo.
Wanawake wa hivyo ni wale wanaopenda kukaa na vinyongo rohoni. Ni watu ambao hawana ujasiri wa kuongea wanapokwazika. Halafu huwa hawanunii wapenzi wao tu, unaweza ukakuta hadi marafiki wananuniwa. Tabu sana kuishi na mtu wa hivyo.
i know that
but someimes ni kero aisee...
Njoo hapa kaunta ya juu uchukue mkono wa pongezi
kwa mara ya kwanza leo umeongea kitu umenigusa....