It is not tiptoeing. It is a matter of convictions and telling the truth. Huwezi kuuza vitu ambavyo haviko backed up na science halafu unaaminisha watu kwamba eti ni tiba nami nikae kimya. Kwa anayejua stroke maana yake nini hawezi hata kuamini kwamba kuna tiba. Kule Marekani wanakazania tu brain exercises ili kuzifanya neurons zilizo jirani na zilizouliwa na stroke ziweze kujenga synapses mpya na hatimaye kuweza ku-compensate kazi ya zile zilizoharibiwa. Na hata hapa wanakwambia sasa ni improvement tu lakini siyo kupona kabisa.you always tiptoe, keep it up!!!
It is not tiptoeing. It is a matter of convictions and telling the truth. Huwezi kuuza vitu ambavyo haviko backed up na science halafu unaaminisha watu kwamba eti ni tiba nami nikae kimya. Kwa anayejua stroke maana yake nini hawezi hata kuamini kwamba kuna tiba. Kule Marekani wanakazania tu brain exercises ili kuzifanya neurons zilizo jirani na zilizouliwa na stroke ziweze kujenga synapses mpya na hatimaye kuweza ku-compensate kazi ya zile zilizoharibiwa. Na hata hapa wanakwambia sasa ni improvement tu lakini siyo kupona kabisa.
Sasa wewe na diet supplements hizi upo hapa unatia watu matumaini ya uwongo tu. Siyo haki na kwangu mimi ni sawa na utapeli tu. On top of that hata huyo anayetengeneza hizo supplements zako hakuna mtu anayejua quality control yake na unaweza kukuta hata active ingredients za producs zenyewe hazimo au zimo kidogo sana. USA juzi juzi hapa kampuni moja lilikuwa linauza supplement ya hiyo G. Biloba watu kuja kushtuka kumbe haya hiyo Biloba haimo kabisa katika vidonge vyao.
Hebu angalia study mojawapo nzuri kuhusu hiyo Gingko Biloba yako HAPA
Kama unataka zingine kuhusu hizo supplements zako sema nikupe tena kutoka kwenye reputable peer reviewed scientific journals.
Kaka wasaidie watanzania kuwaepusha na utapeli kama huu, nimefurahishwa na majibu yako, huyu jamaa inaonyesha ni dizaini ya kina dr Ndodi
It is not tiptoeing. It is a matter of convictions and telling the truth. Huwezi kuuza vitu ambavyo haviko backed up na science halafu unaaminisha watu kwamba eti ni tiba nami nikae kimya. Kwa anayejua stroke maana yake nini hawezi hata kuamini kwamba kuna tiba. Kule Marekani wanakazania tu brain exercises ili kuzifanya neurons zilizo jirani na zilizouliwa na stroke ziweze kujenga synapses mpya na hatimaye kuweza ku-compensate kazi ya zile zilizoharibiwa. Na hata hapa wanakwambia sasa ni improvement tu lakini siyo kupona kabisa.
Sasa wewe na diet supplements hizi upo hapa unatia watu matumaini ya uwongo tu. Siyo haki na kwangu mimi ni sawa na utapeli tu. On top of that hata huyo anayetengeneza hizo supplements zako hakuna mtu anayejua quality control yake na unaweza kukuta hata active ingredients za producs zenyewe hazimo au zimo kidogo sana. USA juzi juzi hapa kampuni moja lilikuwa linauza supplement ya hiyo G. Biloba watu kuja kushtuka kumbe haya hiyo Biloba haimo kabisa katika vidonge vyao.
Hebu angalia study mojawapo nzuri kuhusu hiyo Gingko Biloba yako HAPA
Kama unataka zingine kuhusu hizo supplements zako sema nikupe tena kutoka kwenye reputable peer reviewed scientific journals.
Asante mkuu. Hawa jamaa ni biashara tu na wanakosea sana wanaposema kwamba eti hizi supplements ni tiba wakati hapo hapo kwenye kopo/chupa yao inasema "This product has not been proved to cure any disease and is not intended as a cure" Eti kweli mtu unywe supplement ya juice tu halafu upone stroke. Na kwa sisi masikini watu wetu wasivyojielewa utakuta kweli wamekazana kufakamia hizi supplements wakidhani kuwa ni tiba. Kumbe mtu angeweza kubadili life style tu mf. Kufanya vimazoezi vya hapa na pale consistently, kubadilisha ulaji na kuacha tabia hatarishi kama kunywa pombe kupindukia na kuvuta sigara kunazuia magonjwa mengi tu na hakuna hata haja ya kufakamia haya ma supplements ya bei mbaya kutoka Marekani, India na China.Safi sana mku,
Hongera mkuu, nafikiri lengo la haya makampuni (Greenworld,Forever, GNLD etc) ni biashara japoyamefunika lugha tamu tamu ndani yake. Sina tatizo kabisa na biashara mimi ninatatizwa na kumuhakikishia mtu kuwa atapona as if hizo supplement ni clinicallyproven. Anasema zimethibitishwa , je nanani? TFDA au FDA? Ni heri zitangazwe kuwa zinasaidia kurejehavitamin na madini mwilini sawia na ulaji wa kawaida wa vyakula.
vipi kuhusu GBS na CIDP? AU NI STROKE TU NYIEHabari wapendwa,
Napenda kuwapa habari kuwa sisi tunatoa matibabu ya stroke kwa wenye matatizo hayo, kwa mawasiliano zaidi wasiliana na mimi kwa 0654158574/ 0765353056.