Wana jf,
naamini kuwa binadamu huwa tunapenda kujiuliza maswali kulingana na mazingira na matukio.
Leo nilikutana mtu ambaya anaonekana kuwa na "ungojwa wa akili" basi nikajikuta najiuliza, ni kwa nini mtu anapokuwa na haya matatizo anakuwa violent(sio wote)?
Unakuta anataka kupiga watu,anakimbiza/fukuza magari, wengine wanaua au kijiua, kujipiga makofi na vitu kama hivyo.
Kwa wenye ufahamu, mnaweza kuniambia nini hasa kinatokea kwenye ubongo na part gani hasa ya ubongo inapelekea yote haya?
Usisite kutoa detailed information i will be ready to comprehend.
Asanteni.
naamini kuwa binadamu huwa tunapenda kujiuliza maswali kulingana na mazingira na matukio.
Leo nilikutana mtu ambaya anaonekana kuwa na "ungojwa wa akili" basi nikajikuta najiuliza, ni kwa nini mtu anapokuwa na haya matatizo anakuwa violent(sio wote)?
Unakuta anataka kupiga watu,anakimbiza/fukuza magari, wengine wanaua au kijiua, kujipiga makofi na vitu kama hivyo.
Kwa wenye ufahamu, mnaweza kuniambia nini hasa kinatokea kwenye ubongo na part gani hasa ya ubongo inapelekea yote haya?
Usisite kutoa detailed information i will be ready to comprehend.
Asanteni.