Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,951
- 23,275
Asee huu ugonjwa umenikumba pia.Ni ugonjwa hatari na vipele vinawasha sn,yaani vinawasha kwelikweli,mapaja yote Yana madoa sasa hivi na Mimi ni mweupe basi utadhani Nina ukurutu
Wiki mbili zilizopita nikaenda Kwa doctor Amir pale Gaya nikapigwa dizi ya nguvu na ukimwi nikapimwa..now ugonjwa ndy unaishia ishia Ila madoa bado hayajaisha kwenye mapaja
Wiki mbili zilizopita nikaenda Kwa doctor Amir pale Gaya nikapigwa dizi ya nguvu na ukimwi nikapimwa..now ugonjwa ndy unaishia ishia Ila madoa bado hayajaisha kwenye mapaja