OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Pambana na hali yako mkuu. Natumai utapata muongozo
ni fangasi wakali sana! ukipaka ile ya fangas ninatokaMi mwenyewe jibu sipati..nlihisi ni baadhi ya chakula nkaacha
Huku nilipo inawatokea sana watoto...nadhani unaambukiza maana unaenea sana...
Tuliwaambia chanjo hazifai
Maji mengiTiba ni nini
Atakuwa gwajibaby Bila shaka huyo.Nani kachanjwa nyau wewe
Imewatokea watu wangapi? Wa wapi hasa?Eti kuna hali mpya imeibuka inawatokea watu wanatokwa vipele kama tetekuwanga na vinawasha? Inatokea kwa baadhi ila rika zote
Chanzo ni nini?
Na tiba je?
InauzwajeIvo vipele mimi vilinitokea January ya mwaka huu,, nadhani inasababishwa na maji pia hali ya hewa..
Niliingia mjini daslama nikakaa kama wiki tatu ivi, kuna maji ya kisima niliogea ndo nikapata ivo vipele...
Unaongea usilolijuaUvivu wa kuoga tu
Kwahiyo ugonjwa upo daslama tuu!.?Nahisi inaweza kuwa shida ni dawa wanazoweka kwenye maji ya Dawasco! au hazitoshi maana ukienda hospital unaambiwa ni fangasi
NitakuuaTuliwaambia chanjo hazifai
Timia B B E ni dawa ya kujipaka maramoja kwa siku, paka asubuhi baada ya kuoga na mwili kukauka, usioge tena jioni wala usipake, zingatia ni mara moja kwa siku.Hivi unaambukiza?
Mi ni mwendo wa kujikuna tu..haviishi
Huyo Dogo yeye ni rahisi kumponya, mtumbukize kwenye maikrowevu washa kipimo cha kati juu, kwisha habari yake (usijaribu nyumbani).Itakua maji na manadiliko ya hali ya hewa. Dogo pia amepata vipele