papag JF-Expert Member Jul 31, 2009 1,137 1,609 Dec 5, 2022 #1 Habari wakuu? Nimepatwa na hali ya kutokwa na vipele vidogo mwilini na vinawasha sana. Je ni nini tatizo na ipi tiba yake? Ahsanteni.
Habari wakuu? Nimepatwa na hali ya kutokwa na vipele vidogo mwilini na vinawasha sana. Je ni nini tatizo na ipi tiba yake? Ahsanteni.
fundi bishoo JF-Expert Member Jun 26, 2018 12,955 22,654 Dec 5, 2022 #2 Nenda hospital au pharmacy mkurugenzi