MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,362
- 1,619
Ndio mkuu ikitokea huwa natumia cetrizen. Kama kuna dawa nzuri mkuu pia nisaidie. Kwa vyakula hivyo najitahidi mkuu.histamine level zipo juu mkuu, epuka misosi yenye histamie kwa wingi na pia tumia anti histamine