Ugomvi katika mahusiano ni afya

Ugomvi katika mahusiano ni afya

kweli kabisa aisee mimi na wife tunagombana mara kibao kwa maneno, minuno na ngumi lakini baadae huisha na tunaendelea kama kawaida

na ngumi tena jaribuni kutafuta suluhisho kabla hatua ya ngumi haijafika
 
dahhh umenikumbusha mbali sana mkuu,kuna rafiki yangu alinisimulia walipokuwa na ugomvi wa maneno mumewe alimwambia ushukuru nilikuoa nisingekuoa unafikiri nani angekutaka? daaahhh kiukweli niliumia mno kama mimi ndo mwambiwaji,na ukweli ni kwamba licha ya msamaha alioumba mume wa huyo rafiki yangu na machozi juu anasema sikuzote hayo maneno yamekuwa ni makovu moyoni mwake na anashindwa kuyatoa maana kila wakati yanamrudia kichwani mwake,kwa hivyo kwa kweli ugomvi mwingine una madhara ya kuendelea.
Ugonvyi si kitu cha kuendekeza maana wengine huwaachia makovu moyoni just imagine ugonvyi unatokea halafu mme anamtamkia "mwanamke yaani wewe mwanamke wa hovyo kwanza ulijipendekeza kwangu ndo nikakuoa wala sikuku penda".
Hata wakisamehana hayo maneno atayakumbuka hata baada ya siku nyingi.
 
dahhh umenikumbusha mbali sana mkuu,kuna rafiki yangu alinisimulia walipokuwa na ugomvi wa maneno mumewe alimwambia ushukuru nilikuoa nisingekuoa unafikiri nani angekutaka? daaahhh kiukweli niliumia mno kama mimi ndo mwambiwaji,na ukweli ni kwamba licha ya msamaha alioumba mume wa huyo rafiki yangu na machozi juu anasema sikuzote hayo maneno yamekuwa ni makovu moyoni mwake na anashindwa kuyatoa maana kila wakati yanamrudia kichwani mwake,kwa hivyo kwa kweli ugomvi mwingine una madhara ya kuendelea.

Mkuu naogopa ugonvyi kama njaa mimi ugonvi sioni kama ni kipimo cha upendo.
 
kuna ugomvi ambao ni kipimo cha upendo,ugomvi unaokuja mara baada ta kupigiwa simu usiku,kuonekana una mazoea makubwa jinsia tofauti na hivyo ugomvi kutokea,hapo ni wazi kuwa ugomvi huo una afya kwa mahusiano yenu,ina maana mwenzio anataka sana uwe wake peke yake,sema ugomvi unapotokea ni vizuri kujitahidi kujizuia vinginevyo hasira hasara itakuhusu baada ya ugomvi huo.
Mkuu naogopa ugonvyi kama njaa mimi ugonvi sioni kama ni kipimo cha upendo.
 
Dah! jukwaa lingekuwa hivi tungepata elimu sana juu ya haya mahusiano,lakini nina swali kwa mtoa maada au kwa yeyote aliyeisoma maada husika Ugomvi wa kila siku nao huimarisha au hubomoa maana kuna wengine maugomvi hayaishi leo simu kesho hiki yaani unakuta hata majirani mnahusishwa kwa namna moja ama nyingine maana inakuwa kama kero vipi kwa wahusika huwa inaimarisha hii?

^^
Ndoa ni kama chupa kabatini, kugongana ni kawaida. Ugomvi wa mara kwa mara utakuwa wa kiafya iwapo tu kuna kujishusha kwa zamu. Si lazima kila mara mume au mke awe mshindi la! Busara itawale
^^
 
dah jaman ni kwel?mana mim sa hiz npo kwene ugomv siku ya pil naumia mpaka basi

^^
Mahusiano yako yanakua, yanakujenga, yanatafuta ukomavu.
Kuumia ni kawaida hata kupenda ni kuumia pia. Yatapita
^^
 
Ugonvyi si kitu cha kuendekeza maana wengine huwaachia makovu moyoni just imagine ugonvyi unatokea halafu mme anamtamkia "mwanamke yaani wewe mwanamke wa hovyo kwanza ulijipendekeza kwangu ndo nikakuoa wala sikuku penda".
Hata wakisamehana hayo maneno atayakumbuka hata baada ya siku nyingi.

^^
Hapa nitaleta mada inayojadili namna ya kuchagua maneno ya kutumia wakati wa ugomvi ambayo kwa wale wanaojitetea kuwa ilikuwa hasira, wayaepuke. Kwa kifupi sana ugomvi unaojenga ni ule unaoshambulia tatizo sio mtu
^^
 
kweli kabisa aisee mimi na wife tunagombana mara kibao kwa maneno, minuno na ngumi lakini baadae huisha na tunaendelea kama kawaida

^^
Hongera kwa ugomvi unaoisha
^^
 
^^
Ehee tunaomba uzoefu wako Mkuu
^^

Ha ha ha, kwa uzoefu wangu mdogo tu, mapenzi matamu ni yale ambayo hayana kuzinguana ndani yake,,, mkianza mambo ya kununuana tena na kukaribisha stress ndio mwanzo wa kuchokana na kila ktu kumpuuza mwenzake. Ni hayo tu


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Ha ha ha, kwa uzoefu wangu mdogo tu, mapenzi matamu ni yale ambayo hayana kuzinguana ndani yake,,, mkianza mambo ya kununuana tena na kukaribisha stress ndio mwanzo wa kuchokana na kila ktu kumpuuza mwenzake. Ni hayo tu


Sent from my iPhone using JamiiForums app

^^
Ha ha ha si unaona kuzinguana ndio kulinda penzi, sasa we unataka kuwa na mtu ambae uwe nae usiwe haimhusu chochote? Kwa taarifa yako, hata huyo girlfriend wako anahitaji mwanaume anamchesha akili, wanawake hawapendi mahusiano yaliyopoa.

^^
 
^^
Ha ha ha si unaona kuzinguana ndio kulinda penzi, sasa we unataka kuwa na mtu ambae uwe nae usiwe haimhusu chochote? Kwa taarifa yako, hata huyo girlfriend wako anahitaji mwanaume anamchesha akili, wanawake hawapendi mahusiano yaliyopoa.

^^

Duu, kweli hii ni theory mzee, kama inverse square law.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom