Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,603
- 218,007
Ni hadharani mbele ya Waandishi wa Habari , Hivi huyu binti amempa nini huyu bwana hadi iwe hivi ?
😆😆😆Ngoja niweke vocha nitakuja kujionea mambo
Mwanaume mashineEbitoke na huyo dada mwingine wanagombania Mlela ama?
Kama ni hivyo kweli tunatofautiana taste ya wanaume,unalilia mwanaume anayesuka nywele??kwanza Mlela mwenyewe hana mvuto wa kiume!
Halafu inaweza kuwa kiki tu
Ni moja ya wagombea waliosusia uchaguziEti samahani hivi mlela ndio nani na anafanya nini
😀😀😀😀Mwanaume mashine
Uongo....pesa ndo kila kituMwanaume mashine
Ni hadharani mbele ya Waandishi wa Habari , Hivi huyu binti amempa nini huyu bwana hadi iwe hivi ?
😆😆😆 Eeee bhana eeee!!!Alimpa kila kitu
Dah usiniambie kwamba jamaa alipewa mpaka nanihii...dah🤔Alimpa kila kitu
Dah usiniambie kwamba jamaa alipewa mpaka nanihii...dah
Mwanaume mashine
We unasema hana mvuto wenzio wanapigana kumkosa 🤣🤣🤣 tastes zinatofautiana maamEbitoke na huyo dada mwingine wanagombania Mlela ama?
Kama ni hivyo kweli tunatofautiana taste ya wanaume,unalilia mwanaume anayesuka nywele??kwanza Mlela mwenyewe hana mvuto wa kiume!
Halafu inaweza kuwa kiki tu
Ni hadharani mbele ya Waandishi wa Habari , Hivi huyu binti amempa nini huyu bwana hadi iwe hivi ?
View attachment 1260447