Ugiligili

Ugiligili

Dah! Wewe jamaa 🤣🤣🤣
Archimedes principle Kwa kiswahili " kama kitu kikizama chote au nusu kwenye ugiligili kinapata kani mnyenyuo ambao ni sawa na uzito wa ugiligili uliomwagika"
hivi kuna uwezekano masomo ya sayansi yangefundishwa kwa lugha ya kiswahili, wanafunzi wengi wangeweza kufaulu na kuyaelewa vizuri tofauti na ilivyo sasa ?
 
hivi kuna uwezekano masomo ya sayansi yangefundishwa kwa lugha ya kiswahili, wanafunzi wengi wangeweza kufaulu na kuyaelewa vizuri tofauti na ilivyo sasa ?
Hell no! Tungeongeza kukaririshana. Misamiati ya sayansi migumu sana mfano neno dogo tu Dorsoventral flattening kuliweka kama msamiati mmoja wa kiswahili ni kimbembe
 
Hell no! Tungeongeza kukaririshana. Misamiati ya sayansi migumu sana mfano neno dogo tu Dorsoentral flattening kuliweka kama msamiati mmoja wa kiswahili ni kimbembe
Kuna nadharia kwamba vijana wetu hawafanyi vizuri kwa sababu wanafundishwa kwa lugha wasiyoielewa vizuri
 
Hata najua sasa shoga chochote tu🤣🤣
Toka kwa dad
9861ccfc-7745-453f-ad71-7b85372c2518.jpeg
0070dd14-7466-49b9-92ce-b834369cacb2.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom