Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,597
Kwanza pole. Naona mumeo anaukarimu wa Kisukuma. Sisi watu wa kabila hili tunaukarimu wa ajabu sometimes unapita mipaka. Mtu wa kabila lamgu yaani home boy wangu tukikutana tunataka tunywe sana muziki kelele sana tunaongea kwa sauti kubwa sana na ili kumthibitishia huyu ndugu yake kuwa mimi ndiyo mwenye hii nyumba na ndioi menye sauti nitamwambia feel at home hata kulala.
Inawezekana wewe ndio uliijua London mapema na ukamiliki appartment. Mume akakujoin kwako. Ili asionekane ameolewa inabidi ajikweze sana na kukaribisha sana watu ili kuproovu yeye ndiye final say.
On the other hand nyie dada zetu. Mkipata wakati mwingine mnaishia kutupa manyanyaso.
Wife wangu alitangulia London mimi nikaja kuishi apprtmet yake. Sharia kibao. Alipohamia Maryland US. Nilienda na amini usiamini nilifika hotelini mpaka nilipopata apprtment mimi. Mama usije ukawa na wewe ndio hivyo tena ikawa kazi yake kipato kikubwa ndio usiseme hata kachupa ka wine eti kamalize wiki! Kisa unamaliza pesa!. Wakati tunakutana mimi nalaza nyagi moja kwa jioni moja tuu.
Kama sababu zote nyie hammo baasi dada ndoa yako inanyemelewa na ugonjwa mbaya sana unaitwa kuchokana. Unapoona mmeo anaprefer sana company ya watu baki jua he is bored dalili utaziona hadi kitandani. In this case do something ...makungwi watamalizia.
Inawezekana wewe ndio uliijua London mapema na ukamiliki appartment. Mume akakujoin kwako. Ili asionekane ameolewa inabidi ajikweze sana na kukaribisha sana watu ili kuproovu yeye ndiye final say.
On the other hand nyie dada zetu. Mkipata wakati mwingine mnaishia kutupa manyanyaso.
Wife wangu alitangulia London mimi nikaja kuishi apprtmet yake. Sharia kibao. Alipohamia Maryland US. Nilienda na amini usiamini nilifika hotelini mpaka nilipopata apprtment mimi. Mama usije ukawa na wewe ndio hivyo tena ikawa kazi yake kipato kikubwa ndio usiseme hata kachupa ka wine eti kamalize wiki! Kisa unamaliza pesa!. Wakati tunakutana mimi nalaza nyagi moja kwa jioni moja tuu.
Kama sababu zote nyie hammo baasi dada ndoa yako inanyemelewa na ugonjwa mbaya sana unaitwa kuchokana. Unapoona mmeo anaprefer sana company ya watu baki jua he is bored dalili utaziona hadi kitandani. In this case do something ...makungwi watamalizia.