misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,643
- 9,339
Kwani walishawahi kugombana uko nyuma?Hahah hao jamaa hata sijawahi kuelewa kama kweli ni washkaji au wanachorana tu.
Wao kugombana na kupatana ni sehemu yao ya maisha hahah.
Kwani walishawahi kugombana uko nyuma?Hahah hao jamaa hata sijawahi kuelewa kama kweli ni washkaji au wanachorana tu.
Wao kugombana na kupatana ni sehemu yao ya maisha hahah.
Aisee waliendaga huko Kongo kwenye madili yao, Mseveni akajifanya kumdindia Kagame ikapigwa vita ,museveni akapoteza mamia ya wanajeshi wake mpk ikabidi aselende tu.Kwani walishawahi kugombana uko nyuma?
Hujui kinachoendelea. Endelea kuamini maigizoBila shaka hufahamu kama walishawahi kupigana kongo huyo Mseveni na Kagame mpk wakaenda kusuluhishwa na Malkia Elizabeth.
magufuli hasiwaendekeze sana hawa watu. si watu wazuri hata kidogoHivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.
Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.
Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz
Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.
Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.
Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo
Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.
Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi
TANZANIA IKAE VIZURI
Anzia hapa; Kagame aliingiaje ikulu ya Rwanda. Mengine utajaza mwenyewe, tena si mambo ya kirohoMagazeti ya rwanda na ya uganda yamekuwa yakilaumiana kwa jambo hilo wiki moja iliyopita.ulitaka tuongelee tusiyoyaona?sisi sio malaika hatuwezi jua kama ni maigizo au la wewe unayeona ya rohoni tujuze
Kwa hiyo unadhani huko Rwanda hakuna spy wa Uganda,hayo mambo ni kawaida tu kwa nchi zotemagufuli hasiwaendekeze sana hawa watu. si watu wazuri hata kidogo
vipi kuhusu kuhusishwa kwa na kifo cha mchungaji mtikila? kuna ukweli wowote.Hivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.
Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.
Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz
Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.
Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.
Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo
Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.
Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi
TANZANIA IKAE VIZURI
wapo, hata rwanda wapo tz hata TZ ndo wengi sana rwanda. Kama Tanzania tungeamua kumteka kagame ni siku moja tu mchezo unaishaKwa hiyo unadhani huko Rwanda hakuna spy wa Uganda,hayo mambo ni kawaida tu kwa nchi zote
Na rafiki yangu ni mhutu wa rwanda,kuna cku aliniambia imani yao kubwa ipo kwa Tanzania iwapo itaamua kumtoa pk madarakaniwapo, hata rwanda wapo tz hata TZ ndo wengi sana rwanda. Kama Tanzania tungeamua kumteka kagame ni siku moja tu mchezo unaisha
Bwn mdogo nimekuuliza unajua walishawahi kupigana huko Congo?Hujui kinachoendelea. Endelea kuamini maigizo
You know nothing. Na kwa kuwa umeleta dharau, nakupisha endelea kama ulivyo.Bwn mdogo nimekuuliza unajua walishawahi kupigana huko Congo?
Sahau hilo huyo jamaa mnampaishaga kila nnchi imejipanga na sio kwamb kagame anapawa sana hadi ya kumtoa rais mwingne kwenye nchi yake hyo africa badoHahah Museveni aangalie,asije akatolewa hapo ikulu na PK kichwa chini miguu juu
Hili bara liwahi tu kugawanyika, Mungu anachelewesha Sana sijui kwannUganda ninayoisikia mimi chini ya M7 iingie mgogoro na Slim nitakuwa wa mwisho kuamini