Uganda yawashikilia wanyarwanda kwa tuhuma za upelelezi (spy)

Sisi tunawapokea mkuu, kitakachotokea ni mpango wa Mungu bora Uganda wameshtuka
 
Hivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.

Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.

Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz

Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.

Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.

Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo

Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.

Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi

TANZANIA IKAE VIZURI
magufuli hasiwaendekeze sana hawa watu. si watu wazuri hata kidogo
 
Magazeti ya rwanda na ya uganda yamekuwa yakilaumiana kwa jambo hilo wiki moja iliyopita.ulitaka tuongelee tusiyoyaona?sisi sio malaika hatuwezi jua kama ni maigizo au la wewe unayeona ya rohoni tujuze
Anzia hapa; Kagame aliingiaje ikulu ya Rwanda. Mengine utajaza mwenyewe, tena si mambo ya kiroho
 
Hivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.

Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.

Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz

Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.

Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.

Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo

Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.

Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi

TANZANIA IKAE VIZURI
vipi kuhusu kuhusishwa kwa na kifo cha mchungaji mtikila? kuna ukweli wowote.
 
Hahah Museveni aangalie,asije akatolewa hapo ikulu na PK kichwa chini miguu juu
Sahau hilo huyo jamaa mnampaishaga kila nnchi imejipanga na sio kwamb kagame anapawa sana hadi ya kumtoa rais mwingne kwenye nchi yake hyo africa bado
 
Baada ya kushinda vita na Marekani mwaka c1975, Vietnam aligombana na majirani wake wote; Laos na Cambodia na kusumbua sana kipindi hicho huko South East Asia. Kisha akamshambulia mchina kwa jeuri hiyo. China alijibu akamtandika Vietnam katika vita ya siku 3 hivi ambapo kila siku walikuwa wanakufa jumla ya watu 50000 pande zote. Vietnam akasalimu amri. China akasema nimemfundisha adabu. Vietnam alisahau kuwa ni China na Urusi ya Kisovieti, ndio waliomsaidia kushinda vita ile. Hakurudia tena mambo ya vita. Akageukia uchumi.Kwa hiyo ikiwa ni kweli ngoja utasikia mambo huko maziwa makuu.
 
Back
Top Bottom