Pompey
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 399
- 241
Usijidharau kupita kiasi, hata funza kule chooni hawajawahi kujishtukia,wanachunguza nini sasa mbona wote nchi masikini tu
Usijidharau kupita kiasi, hata funza kule chooni hawajawahi kujishtukia,wanachunguza nini sasa mbona wote nchi masikini tu
Hivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.
Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.
Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz
Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.
Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.
Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo
Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.
Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi
TANZANIA IKAE VIZURI
Mkiwa wachache efficiency inakua kubwa, hasara ya wengi ni kutegeanaKanchi kadogo ila mambo yake makubwa kweli
Shukrani mkuu kuna kitu nimejifunza hapoMkiwa wachache efficiency inakua kubwa, hasara ya wengi ni kutegeana
umesahau ya jenerali kombe na mtikilaHivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.
Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.
Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz
Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.
Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.
Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo
Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.
Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi
TANZANIA IKAE VIZURI
Mkuu napenda Sana kusikia taarifa za rwanda.....Hivi karibuni Uganda imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia baada ya Uganda kukamata raia wa Rwanda kwa tuhuma za uspy/upelelezi katika nchi ya Uganda.Chanzo DW juzi.
Kwa taarifa hii imenifanya kutafakari nakuanza kuamini kuwa Rwanda imedhamiria kuwa Taifa lenye nguvu katika Afrika.
Pia nimekumbuka post moja hapa jf kuwa Rwanda inatumia wanawake zao wazuri katika kufanya upelelezi wao Tz
Pia nakumbuka post hapa jf kuwa wakati wa Bunge Dodoma huonekana wanawake wengi wakinyarwanda wakijiuza.
Pia nakumbuka juu ya post moja hapa Jf kuwa inawezekana Jeshi la Rwanda ndilo lililoshambulia wanajeshi wa Tanzania nchini Congo kwa mwamvuli wa waasi wa kongo.
Lakini pia nakumbuka kuwa Congo amewahi kuwashutumu Rwanda kuwa inafadhili waasi wa Congo kwaajili ya kuvuna rasilimali madini ya Congo
Lakini pia nakumbuka kuuwawa kwa mpinzani wa Kagame nchini Afrika kusini Hotelini jinsi mataifa mengine walivyoinyooshea mkono Rwanda kuwa imehusika.
Mwisho nchi hii imetangaza wazi kuwa wao ni rafiki wa Israel na wanashirikiana kwa karibu.Hii inaonyesha Rwanda ni nchi inayojizatiti sana katika maswala ya usalama na udukuzi
TANZANIA IKAE VIZURI
You have no idea ...bro...Ila kwa Tz Kagame atahangaika na kumaliza muda wake mwaka 2034 na kutuacha kama tulivyo.
Afu we Aya mapost yako huwa nadhan Mimi ndo nimejibu daaahUsiwe mwepesi wa kutekwa na maigizo ya mashosti wawili. Museveni - Kagame - Kabila ni umoja imara usioyumba. Wenye ufahamu tunaelewa lengo la kiini macho hicho.
Aya majibu yanauzi ila ndo ukweliMagazeti ya rwanda na ya uganda yamekuwa yakilaumiana kwa jambo hilo wiki moja iliyopita.ulitaka tuongelee tusiyoyaona?sisi sio malaika hatuwezi jua kama ni maigizo au la wewe unayeona ya rohoni tujuze
mkuu mimi mkongwe humu ujueAfu we Aya mapost yako huwa nadhan Mimi ndo nimejibu daaah
At least for now,!!!... Israel beats Egypt.....kushinda Vita syo tu millitary personnel s tu....PK hajawahi kushinda vita ya One on one. majeshi ya mseveni walikuwa ambushed na RPF(majeshi ya kagame). ilikuwa mwaka 2000 wakati huo nikiwa Bujumbura. yes, Uganda suffered major casualties...lakini, ni uzembe kufikiri kuwa PK can beat Museveni...Hell No! tuache ushabiki, tujikite kwenye uchambuzi unaobebwa na tafiti.
At least uchambuz wako unaleta senseHahah aisee hapa naweza nikaandika hata page 100 lkn ngoja ila ngoja niongee kidogo tu.
Unasemaga Kagame ye ni bingwa kuvizia sio?Na mimi nikauuliza kwenye thread moja huko nyuma.
Hivi nini maana ya investment in intelligence?Hivi mtu anayekufanyia Ambush anakua hajakufanyia intelligence ya kutosha sio?
Kagame ni former CMI wa Uganda,what does that tell you?
Hivi OPERATION TURQUOISE unaifahamu?Kagame alimvizia nani pale?
Na for your information wkt Rwanda inapigana Na uganda huko Congo,tayari RPF walikua wameshaanza mipango na mahandaki yao kwenye border yao na Uganda kwennda kumshughulikia Museveni huko huko Uganda kama ulikua huna taarifa.
Sawa mkuu ngoja tuendelee kufanya"uchambuzi" unaobebwa na "tafiti".
Nikweli....spy n hatari kuliko anaekua randomly bila lengo kuu...spy anapeleka taarifa za udhaifu wako na plan so n easily kuzitumia kama advantageYaani watanzania wakisikia spy wanawaza wakudukua habari za kijeshi,usalama au kuua tu.spy wanaweza kuwa wa mambo mbalimbali sio lazima iwe katika usalama
Rwanda is overrated mkuu, Slim kweli Kichwa kimechangamka ila nikuambie tu hana ubavu wa Kufanya chochote katika ukanda huu anashindana na hao waganda na wakongo walio lala, Nkuambie tu Rwanda hana ubavu wa kupiga chafya hata kwa Kenya achilia mbali giant state kama The United republic of Tanzania, We are strong fatilia operation kimbunga time ya mkwere ndo utajua huu ukanda sisi tukiamua watu walale saa kumi jioni tunaweza kabisaMkuu napenda Sana kusikia taarifa za rwanda.....
Actually Kagame is something else
Nafikir unaona hata wakulu wetu wakiiga baadhi ya mbinu kutoka kwa huyu jamaa......
Mind you Kuna kipnd nilikua nasikia watu wanauwawa mto kagera mpakan na rwanda but ckuckia mrejesho upande wapili walitangaza cjui ITV....skumbuki vizur
BUT nimesikia Sana kuhusu uvunaji wa mali za Congo na reason ya Rwanda fast growth....nafikir hapa wengi wanajua....so nimesikia kwako Tena
Nimekua nikifuatilia mgogoro wa rwanda na Uganda ...aisee haka kainch n balaaa kanajaribu kutake over millitary control over Uganda ....ukifuatia ununuzi wa fighters helicopters ( nimesahau majina yake) ili kupata leverage.....
Actually be tusipojiangalia pamoja na udogo inaweza kua regional power ya Africa mashariki......hasa na huo mpango wake wa nyuklia ....Kuna wengine wanabeza wanasema sababu n udogo but nikifikilia how Israel inatamba middle East siamini udogo kama sababu kama kutakua na extra advancement katka teknology against their opponent
Kuna kipndi nilisikia anawadukua had wapinzani wake walioko nje ya Africa akishilikiana na Israel....wanadukuliwa kupitia wasap.....source BBC nilisoma....
So kama unataarifa za ivi ....mkuu zishushe
Kifo cha nkurunzinza pk alitaka kuchukua advantage ya kuweka mtutsi,yule spika wangejaribu kumuweka pale ndio ingekua imetoka hiyo,fasta wazee wa kazi TZ tukaingilia kati,burundi ilikua inaingia kwenye machafuko tena km si kumuapisha ndayishimiye fastaRwanda is overrated mkuu, Slim kweli Kichwa kimechangamka ila nikuambie tu hana ubavu wa Kufanya chochote katika ukanda huu anashindana na hao waganda na wakongo walio lala, Nkuambie tu Rwanda hana ubavu wa kupiga chafya hata kwa Kenya achilia mbali giant state kama The United republic of Tanzania, We are strong fatilia operation kimbunga time ya mkwere ndo utajua huu ukanda sisi tukiamua watu walale saa kumi jioni tunaweza kabisa
Mimi nimfatiliaji mzuri wa siasa na Maisha ya Rwandese haswa national level, Slim nimuoga sana ndio mana Cabinet yake Wanawake ndio wame dorminate. Lakini Karma huwa haipotezi adress damu ya Fred inamlilia sana Paka
Haya nambie actions zilizochukuliwa na kipnd kile watz mto kagera wanapgwa risasi....au wamtwara vs msumbuji insurgentsRwanda is overrated mkuu, Slim kweli Kichwa kimechangamka ila nikuambie tu hana ubavu wa Kufanya chochote katika ukanda huu anashindana na hao waganda na wakongo walio lala, Nkuambie tu Rwanda hana ubavu wa kupiga chafya hata kwa Kenya achilia mbali giant state kama The United republic of Tanzania, We are strong fatilia operation kimbunga time ya mkwere ndo utajua huu ukanda sisi tukiamua watu walale saa kumi jioni tunaweza kabisa
Mimi nimfatiliaji mzuri wa siasa na Maisha ya Rwandese haswa national level, Slim nimuoga sana ndio mana Cabinet yake Wanawake ndio wame dorminate. Lakini Karma huwa haipotezi adress damu ya Fred inamlilia sana Paka