mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
M7 huyu huyu huyu ambaye out of 21 founding members wa jeshi lake NRA 11 walikua hao wanya rwanda ambaoni ni wakina PK&Rwigema etc.
Huyu huyu M7 aliyepewa kichapo na RDF pale kisangani akabaki kulia lIa eti wameniwahi huku maelfu ya UPDF soldiers wakifa vitani.
Huyu huyu M7 ambae kagame alikua CMI(Chief of Mikitary Intelligence) wa jeshi la Uganda mpk M7 akaambiwa nakujua mpk unapolala.
Rwanda walikua wanamtumia huyu Mkuu wa jeshi la polisi IGP(Kaihura) kwa inshu zao kuja kushtuka it's too late.
Yule CDF wa Uganda Gen. Katumba walimshtukia kiaina lkn hao wakina PK walikua washafanya mambo yao.
M7 akikohoa kidogo tu wanakomaa tu khs Buganda kingdom kutawala Uganda anaanza kulia lia ukiangalia ashakua mtu mzima sasa(more than 70 years) hawezi kurudi msituni tena,ni shiiiiida.,huku akijua yule mtoto wake anayempandisha vyeo vya kijeshi kila siku Gen. Muhooza hana uzoefu wowote wa vita ya maana zaidi ya kujua kuoongoza kikosi cha ulinzi cha babaake.
Msimamo wangu uko pale pale anayeweza kuithibiti Rwanda kwa hapa East Aftica ni mbabe bongo land(TPDF) only na sio nchi nyingine yoyote ile.
Huyu huyu M7 aliyepewa kichapo na RDF pale kisangani akabaki kulia lIa eti wameniwahi huku maelfu ya UPDF soldiers wakifa vitani.
Huyu huyu M7 ambae kagame alikua CMI(Chief of Mikitary Intelligence) wa jeshi la Uganda mpk M7 akaambiwa nakujua mpk unapolala.
Rwanda walikua wanamtumia huyu Mkuu wa jeshi la polisi IGP(Kaihura) kwa inshu zao kuja kushtuka it's too late.
Yule CDF wa Uganda Gen. Katumba walimshtukia kiaina lkn hao wakina PK walikua washafanya mambo yao.
M7 akikohoa kidogo tu wanakomaa tu khs Buganda kingdom kutawala Uganda anaanza kulia lia ukiangalia ashakua mtu mzima sasa(more than 70 years) hawezi kurudi msituni tena,ni shiiiiida.,huku akijua yule mtoto wake anayempandisha vyeo vya kijeshi kila siku Gen. Muhooza hana uzoefu wowote wa vita ya maana zaidi ya kujua kuoongoza kikosi cha ulinzi cha babaake.
Msimamo wangu uko pale pale anayeweza kuithibiti Rwanda kwa hapa East Aftica ni mbabe bongo land(TPDF) only na sio nchi nyingine yoyote ile.
Wana uzoefu gani Hao rwanda?vita ya kupigana na wahuni wa mstuni ambao hawana vifaru ndege nk hizo huwa ni operesheni tu sasa mwambie ajichanganye kwa mseveni ambaye nchi yake ilishaonja uchungu wa vita[
/QUOTE]
Sent using Jamii Forums mobile app

