kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
Hapo rais kadhalilika na hajatunziwa heshima!
Kwa hili huhitaji expatriates from Uganda. Kwa hili, our very own, the Nkamias, wapo wa kutoshaTunaomba tu asije akajaribu kumfundisha rais wetu tabia yake mbaya ya urais wa milele!
Naogopa uchochezi but honestly speaking! Inavunja moyo when you look at the capacity to dialogue your national issues! Siwezi taja score!..what made u laugh?
..hebu kuwa specific.
Duuu!! Pole kwa kujitoa ufahamuKama ngoyai lowasa alivyosema "mwandishi naona unanionea" hapo alikuwa akihojiwa na BBC swahili na mtangazaji zuhura yunus
Na yeye angesema mwandishi naona unanionea ilhal unajua kabisa sipo vizurKama ngoyai lowasa alivyosema "mwandishi naona unanionea" hapo alikuwa akihojiwa na BBC swahili na mtangazaji zuhura yunus
Kingereza wito. Aktuare is cancer if You deal with it slow slowDaa nimecheka sana aisee!
Hiyo kozi mbona alishaianza siku nyingi? Hapo ameenda fieldTunaomba tu asije akajaribu kumfundisha rais wetu tabia yake mbaya ya urais wa milele!
Hii inonyesha ulivyo mpuuzi kama huwezi kugundua kejeri ndani ya andiko lake. Pole huenda uko chatto airportNdo maana mliitwa WAPUMBAVU NA MALOFA na mzee Mkapa., jana ulikuwa unamnanga M7 pamoja na Kagame na Nkurunziza kuwa ni madikteta, leo unadai laiti kungekuwa na wazee kadhaa kama M7 East Africa, ndo maana huwa hatushangai kwanini mlizungusha mikono na kudeki barabara pamoja na kutangaziwa miaka zaidi ya saba na viongozi wenu kuwa lile ligombea lenu ni FISADI papa.
Mbona mnyeti hata police hajafikaCorruption is a Cancer
..mtoa mada ulitakiwa utuletee video clip.
..sasa hebu tuwasikilize Magufuli na Museveni hapa chini.
..
Swali la kifundi sanaThe question was so tricky na hiyo ni perception tayari ya wazungu kwake -naangalua mbali zaidi
..mtoa mada ulitakiwa utuletee video clip.
..sasa hebu tuwasikilize Magufuli na Museveni hapa chini.
..