Amesahau kuweka na hasara za hizo junk food za WamarekaniKwa hiyo mkuu unatushauri tunaachana na chakula chetu pendwa???Achana na hao wamarekani UGALI kwetu ni kila kitu mkuu
Mkuu mm mwenyewe nashangaa watu wamepata wapi nguvu ya kuudharau ugali wakati huo wengi ndio tumekulia ugali.Kwa hiyo mkuu unatushauri tunaachana na chakula chetu pendwa???Achana na hao wamarekani UGALI kwetu ni kila kitu mkuu
acha waige marekani tu. Ama ulitaka waige kukariri hadi wapate phd feki??Shuleni sijui vijana wanasoma nini siku hizi.
Wanga(Carbohydrates) kazi yake sio kuongeza akili kwenye ubongo wako. Ina maana shuleni siku hizi watoyo hawafundishwi aina ya chakula na faida zake?
Chochote kinachofanyika marekani basi watanzania lazima wataiga tu.
Mkuu hamia marekani ukapigwe miti kama walivyo vijana wa huko.
ha ha ha ha haaa!!!Huu utafiti naukubali kwa asilimia 98, haiwezekani tuwe na akili timamu afu bado tuendelee kuichagua CCM na upuuzi wake wote toka tupate uhuru. Haya maugali ndio yanafanya tuwaone CCM watu wa maana.
Ninakwenda kwenye restaurants zao lunch time, wanapiga menu kama sisi, starter unaletewa bakuli la red kidney beans, main course rice, roasted pork, salad, unashushia na frozen yougurt.Kwa taarifa yenu ugali ulianzia mexico Kwa indigenous the mayans and aztec. Ukisoma historia ya ancient civilization. Hadi leo indigenous was mexico Honduras el Salvador wanakula ugali na wanajivunia wenyeww wanaita callito. Sisi tunaotawaliwa na mbumbumbu Sizonje et tunadharau ugali
Ndugu wewe ni hatari. Dahhhh umenifurahisha sana.Huu utafiti naukubali kwa asilimia 98, haiwezekani tuwe na akili timamu afu bado tuendelee kuichagua CCM na upuuzi wake wote toka tupate uhuru. Haya maugali ndio yanafanya tuwaone CCM watu wa maana.
Kwani mwili mzima ni ubongo tuuh..! Umekukuza afu unaudhalilisha ugali..!View attachment 556821
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% na 20% for fuel (ethanol) and for export. Inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za mahindi hupelekea akili kuwa pumbafu (kulala) hivyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo.
Chanzo: Muungwana Blog
Sent using Jamii Forums mobile app
state gani hiyo?Ninakwenda kwenye restaurants zao lunch time, wanapiga menu kama sisi, starter unaketewa bakuli la red kidney beans, main menu rice, roasted pork, salad, unashushia na frozen yougurt.
kwa statistics hizi anamaanisha kuwa usa hawatimii mahindi kabisa, huu ni uongo mweupe: kuna corn oil na cornflakes ambazo huliwa mno na age zote, je, hayo siyo matumizi ya mahindi?. mbona tittle ni ugali lakini content ni mahindi, are they interchangable?. btw, mi hula makande na bisi zaidi kuliko ugaliView attachment 556821
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% na 20% for fuel (ethanol) and for export. Inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za mahindi hupelekea akili kuwa pumbafu (kulala) hivyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo.
Chanzo: Muungwana Blog
Sent using Jamii Forums mobile app