hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,910
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% na 20% for fuel (ethanol) and for export. Inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za mahindi hupelekea akili kuwa pumbafu (kulala) hivyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo.
Chanzo: Muungwana Blog
My take
Wengi wanapenda kuishi maisha kukalili hata bila kufikiri.
Kama watu wanasema kwa sababu marekani mahindi zinakula ng'ombe.
na kukimbilia kusema ugali hauna faida yoyote mwilini hiyo inakuwa sio pointi.
Kwa sababu kunawatu mchele wanazilushia njiwa kwa sababu hiyo hauwezi kusema wali hauna vitamini yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app