Ufuska na udharilishaji Bongo Movie Club

WISDOM SEEDS

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
841
282
Bongo Movie Club wanajiandaa kwenda Dodoma kwa ajili ya mechi yao na Wabunge
hapo Ijumaa, lakini tayari kuna kashfa imeikumba club hiyo na viongozi wanajitahidi kuzima
kashfa isijulikane kwenye vyombo vya habari kabla hawajacheza na wabunge.

Jana kutwa nzima na hata leo wana kikao cha kuweka mambo sawa hasa. Nimebahatika kuipata
meseji iliyotumwa na Msani mmoja wa kike kwenda kwa viongozi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF)
akiwalalamikia, meseji yenyewe ni hii (sijaongeza neno):
Ni msg yenu VIONGOZI kabla ya safari ya Dodoma; Kumekuwepo unyanyasaji mkubwa kwenye
CLUB, ngono, majungu na ufisadi. msanii wa kike aitwaye SNURA kagaragazwa sana na Stieve Nyerere
walipokwenda Mwanza. Hartmann (mwenyekiti wa club) kawagaragaza JACK na WEMA, na bado kuna
wengine anawahitaji, tena kwa nguvu, nyie mmekaa kimya!
Huyo Stieve na Chiki wamegeuza CLUB sehemu ya kujipatia pesa kwa mapedeshee. ONYO hatukuja
kugarazazwa tuheshimiwe la sivyo tutaripoti kwenye vyombo vya habari.


*Hapo kwenye RED nimeamua kubadili maneno yaliyokuwa yameandikwa kwa sababu za kimaadili
 
.....huwa nikiangalia kile kipindi chao cha Bongo Movies, EATV, nabaki kucheka tu.
ni kulalamikiana wenyewe kwa wenyewe na kung`ang`ania madaraka mwanzo mwisho. Sijui tatizo ni Elimu
 
.....huwa nikiangalia kile kipindi chao cha Bongo Movies, EATV, nabaki kucheka tu.
ni kulalamikiana wenyewe kwa wenyewe na kung`ang`ania madaraka mwanzo mwisho. Sijui tatizo ni Elimu
 
Kwani kuna mtu kabakwa si wameelewana ? au ni kwa sababu huyu aliyeandika sms hajatongozwa yeye ?
 
Kwani kuna mtu kabakwa si wameelewana ? au ni kwa sababu huyu aliyeandika sms hajatongozwa yeye ?

Aliyeandika ni mmoja wa waliogaragazwa, ndiye aliyegaragazwa huko Mwanza.
Sasa itanishangaza kama wameelewana halafu akaongoza timu ya wasanii wa kike
wanaolalamika na kuwafanya viongozi wa club kutumia nguvu kubwa kuifunika kashfa
hii isiende kwenye vyombo vya habari.

Anyway, sijui undani wake vizuri, nitalifuatilia suala hili
 
Sielewi malengo ya hao watu wenye hio club ya Bongo movies,
ila ukweli unabaki kua i am not surprised tokana na ukweli kua waigizaji
wengi wa kike ni warembo na wanavutia - na wabunge wetu wana kashfa
ya kuendekeza ngono wakiwa huko au hata wasipokua huko..

Bila hata hio message ni dhahiri kua kutongozana na kupo saana ila
kugalagazwa ni mtu mwenyewe uanaamua kua ulale na woote au lah!
Siwezi walaumu saana wabunge, which man in TZ hatapenda hio nafasi ya
kua na hao wadada hasa kama ukiwatokea wanakubali???
 
Wanasahau ya kwamba ukipanda mahindi utavuna maindi,sasa wanalalamika nini wakati huku nje sie wananchi tunawatambua hvyo?ama leo ndo wanaelewa maana ya kusudi zima la bongo muvi na muvi zao za umalaya zilizojaa ulimbukeni na ujuha

mimi nikimuona mtu anazishabikia hzo muvi huwa nampima uwezo wake wa uelewa na uchambuzi wake kimtazamo,they just accerelate the killings our beloved brothers,students,fathers,uncles et.
 
.....huwa nikiangalia kile kipindi chao cha Bongo Movies, EATV, nabaki kucheka tu.
ni kulalamikiana wenyewe kwa wenyewe na kung`ang`ania madaraka mwanzo mwisho.
Sijui tatizo ni Elimu

twangia mstari hapo kaka!interlectuals kama kina R.M.D ,OMO SEXY na wengine kama hao wenye shule zao na kujitambua,wakajiamini na vipaji vyao hawawezi kugaragazwa hovyo tu kwa kuonewa eti sababu wanapewa nafasi kutokea kwenye maigizo haya ambayo yana makosa yaleyale miaka yote!wale wanawake wao ni kama wako pale 'kuuza' tu!!
 
Back
Top Bottom