Kuwafuga kunaitaji moyo unaweza itwa mwangaSifahamu kama ni waganga mimi kwangu ni wateja
Tobaaaaaah wee bibi ya kweli haya?Ni matumizi binafsi wengine huyala kama kifungua kinywa.
Angalia faida yako, hao wanaokuita mwanga hawawezi hata kukunulia Bima ya afya.
Mkuu umefuga bundi tufanye biashara, kwamaana nawahitaji kwa ajili ya majaribio ya kisayansiView attachment 1804547
Bundi ni ndege kama ndege wengine, wengi hawajafahamu faida zinazopatikana katika ufugaji wa ndege hawa.
Soko la bundi ni kubwa kuanzia kwenye mayai, ndege wenyewe. Soko kubwa la ndege hawa liko Afrika.
Kuna watu mna roho ngumu khaaaa!
Tumuuzie Kissendi Nyanda Ntalima MpandagoyaView attachment 1804547
Bundi ni ndege kama ndege wengine, wengi hawajafahamu faida zinazopatikana katika ufugaji wa ndege hawa.
Soko la bundi ni kubwa kuanzia kwenye mayai, ndege wenyewe. Soko kubwa la ndege hawa liko Afrika.
AKIfa mtu mtaani umati utakushambulia na kuhitajika kuhama mtaa usithubutuAngalia faida yako, hao wanaokuita mwanga hawawezi hata kukunulia Bima ya afya.