HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
UZI HUU UTAKUWA UPDATED KWA KILA HATUA NITAKAYOPITIA KAMA MFUGAJI. KARIBUNI.
. banda la layers linashauriwa kujengwa kwa kupandisha tofali 2 then chicken wire mpaka juu.
Mkuu hongera sana. Ila huu ujenzi ni kwa maeneo ya joto. Ukifanya hivi Mbeya watakufa wote.