Mathiaskei
Member
- Mar 6, 2016
- 20
- 3
Hii haina tofauti na thamani fikirivu za sarafu za zamani. Kuna wakati nikiwa mdogo nilikuwa naona watu wanatafuta sarafu za zamani enzi za mkoloni kwa taarifa eti wataziuza kwa fedha nyingi zisizo na idadi. Kifaranga shs 50,000 na yai shs 15,000? Mimi naona kama kuna kundi la watu wanadanganya wenzao. Sioni uhalisia zaidi ya matarajio tu.Mkuu kuna Jamaa alikataa milioni 3 hajauza jogoo la kuchi maeneo Ya kigamboni. Wahindi Na. Waarabu ndio wanapeda Kununua Sana hii Aina Ya kuku.lkn kuna faida kwani Hata kifaranga tu cha mwezi ni elfu 50.na yake ni elfu 15 moja