jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,597
Hii thread ndiyo kama ile ya SUNGURA KWA 50,000/- - 65,000/-, hapa wajinga ndiyo waliwao watanunua na kuwafaidisha matapeli, kwani kuku wa laki 2 na wa alfu 20 tofauti iko wapi hasa?! Ladha, ukubwa?!
UTAPELI uliokubuhu kutokana na hali mbaya ya uchumi tuliyonayo, UJINGA KABISA HUU...
UTAPELI uliokubuhu kutokana na hali mbaya ya uchumi tuliyonayo, UJINGA KABISA HUU...