Jako Fredy
New Member
- Jan 27, 2018
- 3
- 1
Sawa asanteNitafute kupitia 0712784472 nikupe makala iliyojitosheleza lakni ni ya kiingereza....
Sawa asanteNitafute kupitia 0712784472 nikupe makala iliyojitosheleza lakni ni ya kiingereza....
Umenichekesha sana ndgSasaivi hii nchi imekata ringi kabisa Tanga huko wanalalamika biashara ya kuuza eti vipepeo imeshuka sana manina kweli
Fuga labda Kwa ajili ya kuuza mbolea na mkojo wa sungura Lita moja ni elf tano, utumikia kuuliwa wadudu shambani,Salaam kwenu wadau wote wa JF!
Kama title ilivyouliza hapo juu;
kumekuwa na makundi mbali mbali yanayohamasisha ufugaji wa sungura huku yakiuza sungura kama "mbegu" ili watu watekeleze mafunzo kwa vitendo, makundi hayo hunadi sera kwamba sungura wana soko la jumla, lakini kwa bahati mbaya yale makundi huwa yanatokea sehemu tofauti.
Makundi hayo yamewaacha wafugaji wakiendelea kukutana na changamito za kazi hiyo bila kujua nani atakuja kununua bidhaa hiyo, ukuzingatia jamii haina mapokeo ya matumizi makubwa ya bidhaa hiyo
Sasa naomba kuuliza hapa jamvini, umewahi kusikia hizi habari na ama je unaweza kuwa unawajua hao wanunuzi?
Asante naomba mchango wako tafadhali
View attachment 725597
Cheki sasa ufalla huu,kwaiyo huyo Sungura utampa poti kama mtoto mdogo akojolee humo.?Fuga labda Kwa ajili ya kuuza mbolea na mkojo wa sungura Lita moja ni elf tano, utumikia kuuliwa wadudu shambani,
Mzee babah,hakuna kitu hapo ni wastage of time tu hapo,Sungura!!!!!!!!!!Umenichekesha sana ndg
Mzee babah,hakuna kitu hapo ni wastage of time tu hapo,Sungura!!!!!!!!!!
Bora ukalime dengu tu
Bora huo mzee kuliko mkojo wa sunguraMuone na huyu nae! Hivi unaujua ushuzi wa dengu wewee?
Cheki sasa ufalla huu,kwaiyo huyo Sungura utampa poti kama mtoto mdogo akojolee humo.?