Investaa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 795
- 657
Je wanaweza kumtoa mtu kimaisha ?
Kama ndio soko lake likoje?
Njuzeni wandugu!!!
Jifunze kupitia anzishaproject .com
Je wanaweza kumtoa mtu kimaisha ?
Kama ndio soko lake likoje?
Njuzeni wandugu!!!
Sungura pori ninao. Ntafute.Inawezekana, issue ni je wapi unaweza wapata hao sungura poli?????????????? labda kama uko na mtu anafanya kazi idala ya wanyama poli anaweza kukusaidia kuwapata( kuwatega nakuwakamata)
Hiyo bei yako ni ya udalali mtu mwenye ujitahidi akitafuta wanapatikana kwa bei ya kawaida tuKwa mwenye uhitaji wa hawa viumbe ani PM ila bei ni 15,000.
Wanauzwa kuanzia Sungura kumi na kuendelea.
abexcley1990@gmail.com
Mkuu,mimi nina interest kubwa sana ya kufanya rabbit raising for meat.... na nimeshafuga sungura at a small scale..., niliwahi kufuatilia sana project ya sungura na nikapewa guidelines na FAO kuhusu funding programs under Tele food na wakanitumia vitabu viwili vinavyohusu rabbit raising ...tele food funding inaweza kutoa funds kama mtaweza ku form a gorup abayo itaweza kutoa fursa ya kukuza ufugaji wa sungura at the sme time kuzalisha sungura wa nyama kama mbadala wa chakula katika jamii
Nashauri tuwasiliane tuone tunaweza vipi tukaanzisha umoja wa ufugaji wa sungura na kushawishi umma kuhusu nyama ya sungura ili tupate soko kutoka kwa wananchi.
Hii ni tabia ya madalali kudhani kuwa kila mtu anfanya udalali, kama upo Mbeya Mjini, Kata ya Ghana Mtaa wa Upanga uliza kwa Mwakifujeje utaletwa ama sema kwa Baba Mifugo.Hiyo bei yako ni ya udalali mtu mwenye ujitahidi akitafuta wanapatikana kwa bei ya kawaida tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sungura aina gani hao?Kwa mwenye uhitaji wa hawa viumbe ani PM ila bei ni 15,000.
Wanauzwa kuanzia Sungura kumi na kuendelea.
abexcley1990@gmail.com
Hiyo makala ukiiweka hapa kwa faida ya wote itakuwa dhambi?Nitafute kupitia 0712784472 nikupe makala iliyojitosheleza lakni ni ya kiingereza....
Jako Fredy, sijawahi kufuga Sungura lakini fanya upembuzi yakinifu.Niataji ni njia ipi itumike hili sungura wapate kuzaa mimi sasa mwaka unaisha awajazaa
Nimeshaona nyumbani wakifuga sungura wakisasa uko mkoa gani nijaribu kukutumia CD ya maelezoNiataji ni njia ipi itumike hili sungura wapate kuzaa mimi sasa mwaka unaisha awajazaa
Uko pekeyako unaefuga Sungua, sasa aiweke hapa kwani sisi tunafuga Sungua mkuu?, chukua hiyo namba akupe makala ya kufuga Sungua.Hiyo makala ukiiweka hapa kwa faida ya wote itakuwa dhambi?
Niko mkoa wa njombe wilaya ya maketeNimeshaona nyumbani wakifuga sungura wakisasa uko mkoa gani nijaribu kukutumia CD ya maelezo