Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Story za Wajasiliamali wa Kibongo huwa mara nyingi ni za kuingizana Chaka, Mwishowe unabaki unawaya waya na bidhaa zako!!!
Kuna jinga limemuingiza mjini boss wangu eti alime michai chai soko lake ni noma duniani.Bossi wangu kalima heka kumi kwa sasa jamaa halionekani boss wangu kawa mwehu kila siku na majani ya michai chai kwenye gari lake tunapewa ofisini na siku hizi tumembadili jina tunamuita BOSS MICHAI CHAI
 
Watanzania wengi ni wavuvu wa kuchanganua mambo na hili ndo linawacost watu.

Dunia nzima.watu hufanya vile.vitu wanavyo penda.

Wafu hufanya passion zao.

Huku bongo ni fullu kufutana mikumbo tu.

Yaani huku utasikia.
1. Nimesimuliwa nilime nifuge hiki.

2. Nimeona kwenye TV

3.Nimesikia kwenye Radio.

4.Tumeshauriwa

5. Tumehakikishiwa.

Yaani mtu hana passion bali yeye kashuariwa na mtu mwingine tu.

Fanya kile unacho.penda kufanya.

Fanya utafiti wako binafisi kabisa achana na uvivu wa kuuliza nifanye nini.

Kila kinacho itwa biashara basi kina faida yake ila kwa juhudi.
 
Fursa ni sawa na miluzi ya wapiga debe au wauza mitumba, ukiisikiliza lazima uchanganyikiwe.
Furusa inayoka kwako mwenyewe. Wavumbuzi woye walioana furusa mbele yao. Wala hawakuhutubiwa furusa.

Huku bongo ndo eti kuna mikutano ya kuelezea furusa.

Hahaaa huwa nacheka sana eti watu wanaenda kwenye mikutano ya kuelezwa wafanye nini.

Hii ni baada ya wao kuwaza kwao kufika mwisho
 
Story za Wajasiliamali wa Kibongo huwa mara nyingi ni za kuingizana Chaka, Mwishowe unabaki unawaya waya na bidhaa zako!!!
Kwa nini ukubali kushiliwa akili? Haya ni kwa sababu ya kushikiwa akili.

Watu wanapenda sana kushikiwa akili na watu wengine
 
Kuna jinga limemuingiza mjini boss wangu eti alime michai chai soko lake ni noma duniani.Bossi wangu kalima heka kumi kwa sasa jamaa halionekani boss wangu kawa mwehu kila siku na majani ya michai chai kwenye gari lake tunapewa ofisini na siku hizi tumembadili jina tunamuita BOSS MICHAI CHAI
Duuuh, huyo boss nae kilaza, hakuwaza hata kufanya utafiti kwanza??? Hiki ndio kinatuponza wajasiriamali wengi wa kitanzania, tunapenda kusukia vitu vya kututoa kirahisi sana bila kufanya utafiti, boss angechunguza kwanza uhataji wa michachai kuanzai soko la ndani na nnje, mpe pole boss michachai
 
Kwa nini ukubali kushiliwa akili? Haya ni kwa sababu ya kushikiwa akili.

Watu wanapenda sana kushikiwa akili na watu wengine
Mkuu hakuna yeyote anaependa kushikiwa akili..,
Mara nyingi hali hii inatokana na ukweli kuwa uwezo wa Mtu wa kufikiri ndo umeishia hapo na anahitaji kujikwamua, hivyo njia pekee iliyobaki ni kupata Mawazo mbadala ambayo ndo yatamuongezea maarifa..,
Tatizo ni aina ya Washauri wengi wa siku hizi porojo ni nyingi kuliko uhalisia kutokana na ukosefu wa Tajiriba ya Kisayansi!!!
 
Mkuu hakuna yeyote anaependa kushikiwa akili..,
Mara nyingi hali hii inatokana na ukweli kuwa uwezo wa Mtu wa kufikiri ndo umeishia hapo na anahitaji kujikwamua, hivyo njia pekee iliyobaki ni kupata Mawazo mbadala ambayo ndo yatamuongezea maarifa..,
Tatizo ni aina ya Washauri wengi wa siku hizi porojo ni nyingi kuliko uhalisia kutokana na ukosefu wa Tajiriba ya Kisayansi!!!
Shida iko hapo. Hivi wewe mfano unaishi Songea then kuna timu inatika Dar inakuja Songea kuwaelezea watu wa Songea furuda zilizopo pale songea.

Hii ni hatari ni kwamba mtu uwezo wake wa kuwaza umeisha kabisa.

Je huko Songea yeye haoni furusa? Yeye akiamka akitemvea au akilala anaona nini?.
 
Imeishia wapi kivipi? Hapa ni kuto kuwaamsha walio lala
Watu waliaminishwa kuwa hiyo ni scheme ya kumtajirisha mtu kwa haraka....wakaivamia kwa wingi sana...

...walioingia mwanzo wakapiga hela mfano wa desi lakini waliokuja baadae wakakuta biashara imedoda wakaliwa....
 
njia rahisi ya kufanya marketing research ya bidhaa za mifugo na kilimo.

amri ya kwanza.
wewe ndio mteja wa kwanza. kama unataka kuingia kwenye ufugaji labda wa sungura.
1. jiulize wewe ni mlaji wa sungura?
2.mara ya mwisho umekula sungura ni lini?
3. huwa unakula wakati gani na maeneo yapi. (hotelini, nyumbani, bar etc.)

amri ya pili.
angalia consumption pattern ya iyo bidhaa kwa majirani zako wa mtaani na ndugu zako wa karibu.
waulize maswali hayohayo hapo juu.

ukiona wewe binafsi si mtumiaji wa kwanza wa iyo bidhaa basi achana nayo.

fanya iyo analysis kwenye sungura, bata, bata mzinga, kuku, kanga, bukini, punda, ng'ombe etc... ukipata insight then wekeza.
 
Mikutano ya Fursa imeharibu kabisa kwa sababu huyo Mzungumzaji anaongea Fursa alizosoma kwenye kitabu, Baada ya mkutano yeye binafsi haendi kufanya anachoongea anaenda zake kulima mahindi sasa ww unaichukua fursa ya ufugaji sungura
hahahhah labda kama utawatumia kama sehemu ya mazoezi ya mbio kwa mbwa wako tuu basi
 
Kuna jinga limemuingiza mjini boss wangu eti alime michai chai soko lake ni noma duniani.Bossi wangu kalima heka kumi kwa sasa jamaa halionekani boss wangu kawa mwehu kila siku na majani ya michai chai kwenye gari lake tunapewa ofisini na siku hizi tumembadili jina tunamuita BOSS MICHAI CHAI
alafu unakuta uyo jamaa ndio alimuuzia boss mbegu za mchaichai
 
njia rahisi ya kufanya marketing research ya bidhaa za mifugo na kilimo.

amri ya kwanza.
wewe ndio mteja wa kwanza. kama unataka kuingia kwenye ufugaji labda wa sungura.
1. jiulize wewe ni mlaji wa sungura?
2.mara ya mwisho umekula sungura ni lini?
3. huwa unakula wakati gani na maeneo yapi. (hotelini, nyumbani, bar etc.)

amri ya pili.
angalia consumption pattern ya iyo bidhaa kwa majirani zako wa mtaani na ndugu zako wa karibu.
waulize maswali hayohayo hapo juu.

ukiona wewe binafsi si mtumiaji wa kwanza wa iyo bidhaa basi achana nayo.

fanya iyo analysis kwenye sungura, bata, bata mzinga, kuku, kanga, bukini, punda, ng'ombe etc... ukipata insight then wekeza.
Umeongea vema mkuu....sina la kuongeza...
 
Cheki sasa ufalla huu,kwaiyo huyo Sungura utampa poti kama mtoto mdogo akojolee humo.?
Hawekewi poti,huwa mfugaji anatengeneza miundombinu nzuri ya kuvuna huo mkojo kwa kuweka bati na bomba la kukingia mkojo kama unavyovuna maji ya mvua picha nimeweka chini hapo unaweza kuona
IMG_20180327_115358.JPG
IMG_20180327_115310.JPG
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom