i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
huu ndo ujasiriamali sasa namiye ngojea nifanye namna nikaweke maskani kwangu kwa Babu.huhitaji kuingia gharama kubwa kwenye kutengeneza mizinga. mi nimetumia hizi box za pikipiki nikazibadili kidogo na nyuki wameshaingia. View attachment 1680549View attachment 1680551