Emmax soul
Member
- Aug 28, 2016
- 5
- 1
Mzinga 1unauzaje mkuu
Usijaliii nampostia tu jamaa kama unaswali unaweza mcheki hapo kwenye number zakeeHii imekaa vizuri,lakini ni vyema unapoleta tangazo usiwe mvivu wa kueleza kinagaubaga,atatokea mwingine hapa na kuweka tangazo lake lililo bomba zaidi
216,000/= thsMzinga 1unauzaje mkuu
JE UNATAKA KUFUGA NYUKI KWA NJIA YA KISASA NA KIBIASHARA ZAIDI
THE HIVE LTD TANZANIA WANASHUGHULIKA NA MAMBO HAYA
MPIGIE MENEJA MIRADI BW. Nicas Mbeikya 0653 930 391 au 0653242627 Kwa maelezo ya kupatikana kwa soko,mizinga na vifaa vyake vya kisasaaa.
Mmmh216,000/= ths
Mzinga m1 huo unaweza vuna zaidi ya bidhaa tano navyo sikia ikiwemo asali,chavua,sumu ya nyuki, gundi ya nyuki, na maziwa ya nyuki na vinginevyooMmmh
ofis wapi... huduma za ushauri je?JE UNATAKA KUFUGA NYUKI KWA NJIA YA KISASA NA KIBIASHARA ZAIDI
THE HIVE LTD TANZANIA WANASHUGHULIKA NA MAMBO HAYA
MPIGIE MENEJA MIRADI BW. Nicas Mbeikya 0653 930 391 au 0653242627 Kwa maelezo ya kupatikana kwa soko,mizinga na vifaa vyake vya kisasaaa.
Ofisi ipo sinza mori dar.ofis wapi... huduma za ushauri je?
Nyuki anao uwezo wa kunusa zaidi ya km 3 na kuna chambo ambayo huwekwa ndani ya mzinga kwa kuinusa nyuki huingia kwenye mzinga na kukuta mazingira bora ya kuishi. Na hivyo unakuwa umesha muweka katika imaya yako. Jambo hili hufanyika si zaidi ya siku 45.Hivi mzinga ukiweka nje tu nyuki wanauona?
Hii ni kwa nyuki wakali au wapole?Nyuki anao uwezo wa kunusa zaidi ya km 3 na kuna chambo ambayo huwekwa ndani ya mzinga kwa kuinusa nyuki huingia kwenye mzinga na kukuta mazingira bora ya kuishi. Na hivyo unakuwa umesha muweka katika imaya yako. Jambo hili hufanyika si zaidi ya siku 45.
Kwa ajili ya nyuki wakubwa, mizinga ya nyuki wadogo pia tunayo mziga mmoja unauzwa laki1 ukiwa na nyuki ndani ni laki2.Hii ni kwa nyuki wakali au wapole?
Maziwa ya nyuki? Aisee sijawahi sikia. Naomba maelezo zaidi.Mzinga m1 huo unaweza vuna zaidi ya bidhaa tano navyo sikia ikiwemo asali,chavua,sumu ya nyuki, gundi ya nyuki, na maziwa ya nyuki na vinginevyoo
Mkuu hii propolis inapatikana wapi? Nimejenga mzinga wangu mmoja mdogo najaribu kujifunza ufugaji nyukiKazi nyingine ya propolis ni kuvutia nyuki ili waingie ktk mzinga mpya,yaani ukishapata mzinga mpya,nenda shambani kwako, fungua ndani ya mzinga kisha paka ktk kuta za mzinga hiyo propolis yako,funika na uondoke. Usifanyie nyumbani kwako,kwa sababu unaweza ukasahau kupeleka shamba na nyuki wakaingia mchana, watoto wako au wa jirani wakachezea. Balaa lake si dogo.
Anayejua elimu/ujuzi wa ufugaji wa Nyuki, Mizinga bora,ulinaji asali na soko la asali atupe elimu. Natamani kufanya biashara hii.
View attachment 408472
===========
Anayejua elimu/ujuzi wa ufugaji wa Nyuki, Mizinga bora,ulinaji asali na soko la asali atupe elimu. Natamani kufanya biashara hii.
View attachment 408472
===========
We weka maujuz hapa tuyapate sasa huko ofisin tunafata nini ? Wengne wapo mbali nahapoSio lazma kusubiri nyuki waingie katika mizinga yote hamsini, ipo njia ya kuwezesha mizinga yote kuwa na nyuki kwa muda mmoja. Hayo yote utayafahamu ukifika ofisi zetu
We weka maujuz hapa tuyapate sasa huko ofisin tunafata nini ? Wengne wapo mbali nahapoSio lazma kusubiri nyuki waingie katika mizinga yote hamsini, ipo njia ya kuwezesha mizinga yote kuwa na nyuki kwa muda mmoja. Hayo yote utayafahamu ukifika ofisi zetu