Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Kizuri kinajiuza.Hakuna muuzaji wa chakula aliweza kusindika kumzidi silver land.Wengine huuza vumbi ukalishe kuku.Kama we we ni mfugaji na hukipendi chakula cha sulverland basi namashaka na wewe. That food is one of the best invention in poultry industry.Kama unacho mbadala nijuze, mi napenda vitu bora has a ktk mifugo. Hizo formula za sua na mitandaoni ninazo nyingi sana.Hivi kwa hizi akili zako hata kama utapewa formula ambayo ni bora kuliko silva land utaamini?Kwani hawa jamaa wametoa mbinguni?Wandugu tuache fikra mbovu kama hizi tunajichelewesha.
Ulevi wa brand name ni mbaya sana,kwa wewe kama mtu akichukua kiroba cha silver land akaweka humo chakula cha falcon utaendelea tu kusifia silver land kumbe kilichomondani sicho.
Jifunze kwa kuuliza wengine itakusaidia sana kwenye ufugaji kuliko kuendelea kukariri.
Wanakomaa baada ya miaka miwilichakula cha kuku kivipi ? au mnamaanisha makuku ya kizungu.mbona kuku wa kienyeji alfajiri tu wanafunguliwa wanaingia mitaani jioni wanarudi wenyewe wakiwa wameshiba au mimi ndio sielewi
Kipo madukani?
Kizuri kinajiuza.Hakuna muuzaji wa chakula aliweza kusindika kumzidi silver land.Wengine huuza vumbi ukalishe kuku.Kama we we ni mfugaji na hukipendi chakula cha sulverland basi namashaka na wewe. That food is one of the best invention in poultry industry.Kama unacho mbadala nijuze, mi napenda vitu bora has a ktk mifugo. Hizo formula za sua na mitandaoni ninazo nyingi sana.
Mkuu watu wapo maabara kuja na vitu bora sio bla bla za wabongo.
Kama una formula bora tengeza chakula uza watu watapima ubora sio maneno.
Inawezekana mkuu, Nina miaka 2 nje ya industry ntaporudi mwakani ntajaribu hicho chakula.Ila kama kweli hivyo vyakula ni bora basi vingesambaa na mikoani.Sio kweli, uliza mfugapi yeyote wa Dar, pwani, morogoro, zanzibar, tanga. Utapata majibu. Kampuni zinazofanya vizuri kwa sasa katika hiyo mikoa kwa mpangilio
1. Backbone
2. Hill feed
3. Falcon.
4. Irvine’s (amadori ya zamani)
Silverland ni kuwa alijitanua sana mikoani lakini chakula chake sasa hivi kimekutana na ushindani mkubwa, hii mikoa hauzi kitu. Silverland nawafaham hadi sales Manager wao ni kijana huwa tunapeana changamoto za haya mambo
NjombeWe uko wapi nkudirect kilipo
Inawezekana mkuu, Nina miaka 2 nje ya industry ntaporudi mwakani ntajaribu hicho chakula.Ila kama kweli hivyo vyakula ni bora basi vingesambaa na mikoani.
Njombe
Mm.nimeweza...kuku wangu nawapa.chakula.cha silverland mwezi 1 tuu then natengeneza changu na wanakua vuzuri sanaHivi unaweza jitengenezea chakula bora kama cha silverland.Hats ufanyeje ile formula ni noma.Labda uende SUA ukafanyie PhD. Aisee ilw formula sijaona mbongo alieiweza.Piga UA chakula cha silver land hukikwepi kama kweli wewe in mfugaji.
Kwa nini unawapa huo mwezi mmoja,si uwalishe chakwako usevu money.Mm.nimeweza...kuku wangu nawapa.chakula.cha silverland mwezi 1 tuu then natengeneza changu na wanakua vuzuri sana
Hapo mwisho pameonyesha wewe unatafita fursa ya kuuza vyakula vya mifugo,.ungetoa tuu majina ya hizo materials za kuchanga ili mtu akatafute mwenyewe popote alipo hapa Tanzania.Kuanza kuwasiliana tena na wewe labda kama ulimaanisha hapa hapa JfKwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuweka ndoto za mafanikio kwenye swala zima la ufugaji kuku, swala ambalo watu wengi wanakosea kuingia kwenye ufugaji bila tathmini za kina HASA juu ya gharama na changamoto za ufugaji huo. Mara nyingi huwa tunaingia na mawazo chanya ya kufanikiwa haraka sana mara tu tunapoanza kufuga.
Ukweli ni kwamba hakuna kitu chenye faida kisichopitia hasara wala changamoto.
Changamoto kubwa ambayo wengi tunaisahau ni gharama za kuwatunza hao viumbe na kama tunazifahamu basi hatuzitafakari kwa kina na mwisho wa siku tunapoanza kufuga tunajikuta tunaanza kutumbukia kwenye utumwa wa kutoa pesa za chakula na madawa ya kuku bila kupenda ama kutarajia. Kuku ni viumbe na wanahitaji chakula bora pamoja na afya njema.
Changamoto kubwa mbili ni:
1) Gharama ya chakula ambayo huwa ni asilimia 75 ya gharama ya ufugaji kuku.
2) Gharama ya matibabu na kinga ambayo hufikia karibu asilimia 5 ya ufugaji wako.
Gharama hizo ni za matunzo ukitoa gharama za ujenzi wa banda pamoja na miundo mbinu.
Naomba nikupe mbinu za kupambana na changamoto hizo nilizo zitaja:
Kwa changamoto ya chakula; Unaweza ukatengeneza chakula cha aina yoyote ya kuku unayefuga kwa kutumia malighafi zilezile zinazotumika kutengenezea chakula kiwandani, kwa kufanya hivi utaokoa gharama karibu asilimia 60, yaani kama ulitakiwa ulishe kuku wako chakula cha sh 1,000,000 basi utajikuta kwa kutengeneza mwenyewe utatumia sh 400,000 kutengeneza chakula chenye ubora uleule wa chakula cha milioni 1.
Kwa changamoto ya maradhi pamoja na kinga unashauriwa uzingatie sana usafi wa jumla kwenye ufugaji wako, usafi huo ni kuanzia wewe mwenyewe, mazingira ya ndani na nje ya banda hasa uhakikishe banda liwe kavu, chakula pamoja na maji safi. Hii ni pamoja na vyombo vya chakula na maji kuwa safi muda wote, cha mwisho ni kuzingatia chanjo kwa wakati.
Kumbuka: Kutozingatia chakula bora cha kuku ni kujihakikishia ukosefu wa kuku bora wasiofaa sokoni na kuwa mzembe dhidi ya afya za kuku ni kujihakikishia msiba wa kuku wako wote.
UKIZINGATIA HAYO UTAJIKUTA UNAIFIKIA ILE HAZINA KUBWA SANA YA UTAJIRI ILIYOJIFICHA KWENYE UFUGAJI AMBAYO WENGI WAMEINGIA HUKO BILA UTASHI na KUIKOSA NA KUJIKUTA WANATAJIRISHA WENGINE NA WAO WAKIISHIA KUWA WATUMWA.
Kwa ushauri na pia malighafi za kutengeneza chakula cha kuku aina yoyote basi tuwasiliane.
Narudia tena ulevi wa brand name ni ulevi mbaya sana.Nasisitiza mwisho wa siku kinachohitajika ni jinsi gani utapata faida maradufu.Kizuri kinajiuza.Hakuna muuzaji wa chakula aliweza kusindika kumzidi silver land.Wengine huuza vumbi ukalishe kuku.Kama we we ni mfugaji na hukipendi chakula cha sulverland basi namashaka na wewe. That food is one of the best invention in poultry industry.Kama unacho mbadala nijuze, mi napenda vitu bora has a ktk mifugo. Hizo formula za sua na mitandaoni ninazo nyingi sana.
Mkuu watu wapo maabara kuja na vitu bora sio bla bla za wabongo.
Kama una formula bora tengeza chakula uza watu watapima ubora sio maneno.
okifanya ni kutengeneza awareness kwa public na matokeo ni watu kuwa na interest, lakini kumbuka sio kila mtu atakuwa na hiyo interest, hivyo atakaye kuwa na interest basi sijamkataza kunitafuta ili nimpe hayo mengine atakayohitaji kama ulivyotaka nitaje, hata mwalimu hafundishagi vyote lakini, tunajengeana njia tu ya kutambua uhalisia wa jamboHapo mwisho pameonyesha wewe unatafita fursa ya kuuza vyakula vya mifugo,.ungetoa tuu majina ya hizo materials za kuchanga ili mtu akatafute mwenyewe popote alipo hapa Tanzania.Kuanza kuwasiliana tena na wewe labda kama ulimaanisha hapa hapa Jf
Sasa nimefaham sababu,njombe ni nje ya dunia kiongozi,nasisitiza penda sana kuuliza sio kufanya conclusion kwamba hakuna kama silver landNjombe
Ufugaji ni mbinu mkuu kwa wafugaji wazoefu wana mbinu za kufuga ambazo huwasaidia kupunguza garama na kuongeza faida...silverland chakula chao ni kizuri ila ukiwalisha kuku wa kienyeji sana faida itakua ndogo sana....hivyo nawalisha mwezi 1 baada ya hapo natengezeza changu..Kwa nini unawapa huo mwezi mmoja,si uwalishe chakwako usevu money.
Chakula cha kuku kivipi ? au mnamaanisha makuku ya kizungu.mbona kuku wa kienyeji alfajiri tu wanafunguliwa wanaingia mitaani jioni wanarudi wenyewe wakiwa wameshiba au mimi ndio sielewi
Unafuga wa kienyeji?Chakula cha kuku kivipi ? au mnamaanisha makuku ya kizungu.mbona kuku wa kienyeji alfajiri tu wanafunguliwa wanaingia mitaani jioni wanarudi wenyewe wakiwa wameshiba au mimi ndio sielewi
FalconSio kweli, uliza mfugapi yeyote wa Dar, pwani, morogoro, zanzibar, tanga. Utapata majibu. Kampuni zinazofanya vizuri kwa sasa katika hiyo mikoa kwa mpangilio
1. Backbone
2. Hill feed
3. Falcon.
4. Irvine’s (amadori ya zamani)
Silverland ni kuwa alijitanua sana mikoani lakini chakula chake sasa hivi kimekutana na ushindani mkubwa, hii mikoa hauzi kitu. Silverland nawafaham hadi sales Manager wao ni kijana huwa tunapeana changamoto za haya mambo