Ufugaji kuku sio mwanzo wa utajiri pekee, unaweza ukawa mwanzo wa umasikini wa uhakika. Zingatia yafuatayo ili upate mema kupitia kuku

Kizuri kinajiuza.Hakuna muuzaji wa chakula aliweza kusindika kumzidi silver land.Wengine huuza vumbi ukalishe kuku.Kama we we ni mfugaji na hukipendi chakula cha sulverland basi namashaka na wewe. That food is one of the best invention in poultry industry.Kama unacho mbadala nijuze, mi napenda vitu bora has a ktk mifugo. Hizo formula za sua na mitandaoni ninazo nyingi sana.

Mkuu watu wapo maabara kuja na vitu bora sio bla bla za wabongo.
Kama una formula bora tengeza chakula uza watu watapima ubora sio maneno.
 

Sio kweli, uliza mfugapi yeyote wa Dar, pwani, morogoro, zanzibar, tanga. Utapata majibu. Kampuni zinazofanya vizuri kwa sasa katika hiyo mikoa kwa mpangilio
1. Backbone
2. Hill feed
3. Falcon.
4. Irvine’s (amadori ya zamani)

Silverland ni kuwa alijitanua sana mikoani lakini chakula chake sasa hivi kimekutana na ushindani mkubwa, hii mikoa hauzi kitu. Silverland nawafaham hadi sales Manager wao ni kijana huwa tunapeana changamoto za haya mambo
 
Inawezekana mkuu, Nina miaka 2 nje ya industry ntaporudi mwakani ntajaribu hicho chakula.Ila kama kweli hivyo vyakula ni bora basi vingesambaa na mikoani.
 
Inawezekana mkuu, Nina miaka 2 nje ya industry ntaporudi mwakani ntajaribu hicho chakula.Ila kama kweli hivyo vyakula ni bora basi vingesambaa na mikoani.

Wafugaji wengi wako mjini hivo ukishashika hiyo mini nliyokutajia ndo ina market kubwa kwa broiler feeds kwa sababu walaji ni wengi, transportation cost ni ndogo utauza kwa profitable price
 

Exactly kwa njombe huna option nyingine. Silverland ye yupo iringa. Kuleta hapo kwa bei rahisi inampa faida. Kuliko hizi kampuni nyingine za dar ambazo mara zote bei ya chakula ipo juu kwa silverland, ilete hadi njombe bei itaingezeka soko ni dogo na bei pia kubwa haiwezi kuuza
 
Hivi unaweza jitengenezea chakula bora kama cha silverland.Hats ufanyeje ile formula ni noma.Labda uende SUA ukafanyie PhD. Aisee ilw formula sijaona mbongo alieiweza.Piga UA chakula cha silver land hukikwepi kama kweli wewe in mfugaji.
Mm.nimeweza...kuku wangu nawapa.chakula.cha silverland mwezi 1 tuu then natengeneza changu na wanakua vuzuri sana
 
Hapo mwisho pameonyesha wewe unatafita fursa ya kuuza vyakula vya mifugo,.ungetoa tuu majina ya hizo materials za kuchanga ili mtu akatafute mwenyewe popote alipo hapa Tanzania.Kuanza kuwasiliana tena na wewe labda kama ulimaanisha hapa hapa Jf
 
Narudia tena ulevi wa brand name ni ulevi mbaya sana.Nasisitiza mwisho wa siku kinachohitajika ni jinsi gani utapata faida maradufu.
 
nilich
Hapo mwisho pameonyesha wewe unatafita fursa ya kuuza vyakula vya mifugo,.ungetoa tuu majina ya hizo materials za kuchanga ili mtu akatafute mwenyewe popote alipo hapa Tanzania.Kuanza kuwasiliana tena na wewe labda kama ulimaanisha hapa hapa Jf
okifanya ni kutengeneza awareness kwa public na matokeo ni watu kuwa na interest, lakini kumbuka sio kila mtu atakuwa na hiyo interest, hivyo atakaye kuwa na interest basi sijamkataza kunitafuta ili nimpe hayo mengine atakayohitaji kama ulivyotaka nitaje, hata mwalimu hafundishagi vyote lakini, tunajengeana njia tu ya kutambua uhalisia wa jambo
 
Kwa nini unawapa huo mwezi mmoja,si uwalishe chakwako usevu money.
Ufugaji ni mbinu mkuu kwa wafugaji wazoefu wana mbinu za kufuga ambazo huwasaidia kupunguza garama na kuongeza faida...silverland chakula chao ni kizuri ila ukiwalisha kuku wa kienyeji sana faida itakua ndogo sana....hivyo nawalisha mwezi 1 baada ya hapo natengezeza changu..
Mwisho wa siku natumia garama kidogo kwa malengo yale yale na yule aliyetumia chakula cha silverland
 
Falcon
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…