Ufoo aapa kiapo cha kuficha siri

Ufoo aapa kiapo cha kuficha siri

Siri ya mauaji ni ngumu sana kuiweka siri na ipo siku Mungu ataufunua ukweli hata kama yeye hataki iwe hivyo

Lakini hata ndugu wa Mushi bado wapo na wanayasikia anayoyasema muuaji wa ndugu yao kwahiyo akae mkao wa kula pia
Wewe una uhakika gani kama kamuua Mushi? Wabongo kwa umbea. Acheni vyombo vya dola vifanye kazi kwani kusikiliza maneno ya mitaani na kutoa hukumu siyo vizuri.
 
Hivi msongo wa akili si sawa na wazimu?
Si angetumia sheria na mabaraza? Japo umenishangaza leo kumtetea 'mzinzi' huyu alieishi na mwanamke bila kumuoa kwa miaka yote hiyo. Labda bidada ndo alijilipa mahari kwa mali?

Usihukumu kama hayajakukuta.Hujafa hujaumbika.Who are we to judge others?! Tumwachie Mungu hiyo kazi.Yeye anajua yaliyoko sirini
 
Hakuna cha siri, mlimzika fedha na mali zake alizokuwa akituma umjengee nyumba wewe ukajijengea mwenyewe na mama'ko. Na ukamsaliti na kutembea na wengine nae akitegemea u wake pekee.

Umemuumiza moyo. Kuna uwezekano mkubwa ni wewe uliyemuuawa na kisha ukajipiga risasi mwenyewe, hawa polisi wanatakiwa wafanye uchunguzi wa kina. Itakuwaje aliyejiua awe na risasi mbili sehemu tofauti?

Mali uliyomzika huto ila kwa raha, itakutesa maisha yako yote.
Hauko mbali na ukweli. Haki ya mtu haipotei
 
Wewe una uhakika gani kama kamuua Mushi? Wabongo kwa umbea. Acheni vyombo vya dola vifanye kazi kwani kusikiliza maneno ya mitaani na kutoa hukumu siyo vizuri.

Nadhani wachangiaji wanamaanisha kuwa Ufoo alisababisha Mushi afanye alichofanya
 
Hakuna cha siri, mlimzika fedha na mali zake alizokuwa akituma umjengee nyumba wewe ukajijengea mwenyewe na mama'ko. Na ukamsaliti na kutembea na wengine nae akitegemea u wake pekee.

Umemuumiza moyo. Kuna uwezekano mkubwa ni wewe uliyemuuawa na kisha ukajipiga risasi mwenyewe, hawa polisi wanatakiwa wafanye uchunguzi wa kina. Itakuwaje aliyejiua awe na risasi mbili sehemu tofauti?

Mali uliyomzika huto ila kwa raha, itakutesa maisha yako yote.
Faiza Faiza Faiza mswalie mtume we binti! Una uhakika gani na maneno uliyoandika hapa? Au kila linalosemwa na watu unalichukua na kulibebaba jinsi lilivyo?
 
Ushahidi wa kutumiwa fedha ni rahisi sana kuupata ukitakikana.

Uliona au ulisoma au kusikia wapi mtu anajiua kwa kujipiga risasi mara mbili sehemu tofauti?
Hata kama alidhulumiwa nyumba, solution ilikuwa kumuua mama mkwe na kutaka kumuua Ufoo ambaye ni mzazi mwenzie? Hivi kama kudhulumiwa nyumba ingekuwa ni sababu ya mtu kujiua, tujiulize ni WANAWAKE wangapi ambao waume zao wamefariki na ndugu za mume wamewanyang'anya nyumba na mali nyingine ambazo wanawake hao walichuma na waume zao lakini mbona hawakujiua???? Kuna njia mbalimbali za kudai haki hata kama itacheleweshwa kutokana na mfumo wa mahakama uliopo hapa nchini lakini siyo uamuzi wa kujiua au kuua!!! Kama ingekuwa ukidhulumiwa tu basi unaamua kuua au kujiua basi hizo kesi zingekuwa ni nyingi sana hapa TZ!!!Halafu kuqoute majirani ambao wamesikia tu kutoka nje siyo sahihi
 
CHA UMUHIMU ATUELEZE TU,KWA NiNi MAREHEMU ALIKUA NA MAJERAHA MAWILI YA RISASI. MAANA ANAE JIUA HAJINYONGI MARA MBILI WALA KUJIPIGA RISASI MARA MBILI. NANI ALIANZA KUMPIGA MWENZAKE RISASI??????
Mushi alianza kumpiga Mama yake Ufoo, akampiga Ufoo na akijipiga yeye
 
Swali la kwanza nimekuuliza wewe sababu unalazimisha kwamba ufoo alimtapeli mushi nyumba! Na wengne wenye mawazo kama yako mtoe majibu yakuthibitisha hizo acussations toward ufoo!

Kwan wewe si mmachame? Wewe ni wa wap? Nadhan nimeshakujibu hilo!

Wewe kila kinachotokea chumbani na mumeo huo unapeleka kwenye press? Kwanin unalazimisha mambo binafsi ya ufoo ayaweke hadharani? Na hata aliyosema ushasema ni uongo so hata akisema utamuamin kwa hiyo attitude uliyomjengea?
Bahati mbaya kuna nafasi moja tu ya kusema LIKE!!! Sielewi kwanini watu wameacha mambo mengine na kutafuta umbea wa kujua kilichowagombanisha hawa watu utadhani wao wakikorofishana na wake au waume au wapenzi wao wanaweka hapa JF!!! Kama kuna lolote polisi watataka kujua kuhusu mkasa huo sharia na taratibu zitafuatwa na siyo kumlazimisha Ufoo aseme hapa JF
 
Mh!!!!! Ufo sema dear me natafura mchumba.
 
Kitu nashindwa kuelewa Mushi alijipiga risasi chapu chapu bila kuwa na hakika kama UFO zimempata alizompiga?!!! au ufo lishambuliwa na nani? maana nashindwa kuelewa kwamba Mushi ajipiga mbili bila ya kuwa na hakika kwamba aliyompiga Ufo imefanya kazi.
Huyo dada wamuweke kwenye kiti cha UMEME atasema tu kilichotokea, nchi nyingine zote huyo dada asingekuwa mtaani ili MIKONONI mwa polisi mpaka pale atakapo safishwa na upelelezi. kwanza ni nani alitoa habari kwamba shambulizi lilifanywa na MUSHI? na kwa nini imeaminika kwamba ni Mushi ndiye alifanya shambulizi?
Vipi kuna polisi report ya ili tukio? ni vyema tulio hali tukaipigia upatu hii kesi kama haujawa mchezo wa kila siku, hii habari ya polisi kutofanya kazi kwa makini na kutoa report ndio matokeo yake haya,
Mushi alikutwa na hiyo sihala je hakuna finger print za mtu mwingine kwenye hiyo siraha? kuna maswali yaulizwe majibu yatapatikana tu
 
Buyuni Kwetu

Naona thread nzima unamtetea huyu MA.LA.YA. na mzulimishi na muuaji who is she to you? Kwanini ubadilishe rangi ya njano kuwa nyekundu wakati inaonekana kabisa kuwa ni njano.HUYO UFOO DESERVED HELL ,No matter she is healthier but she must be perished away from this universe thoroughly.

Mushi alianza kumpiga Mama yake Ufoo, akampiga Ufoo na akijipiga yeye
 
Hayo majibu ya maswali yako ata mdogo wangu wa std 1 anaweza akatoa majibu kuwa Ufoo ni muuaji na akajibu mashtaka kama akiachwa ndugu wa Mushi wamshughulikie hadi afe.

Kitu nashindwa kuelewa Mushi alijipiga risasi chapu chapu bila kuwa na hakika kama UFO zimempata alizompiga?!!! au ufo lishambuliwa na nani? maana nashindwa kuelewa kwamba Mushi ajipiga mbili bila ya kuwa na hakika kwamba aliyompiga Ufo imefanya kazi.
Huyo dada wamuweke kwenye kiti cha UMEME atasema tu kilichotokea, nchi nyingine zote huyo dada asingekuwa mtaani ili MIKONONI mwa polisi mpaka pale atakapo safishwa na upelelezi. kwanza ni nani alitoa habari kwamba shambulizi lilifanywa na MUSHI? na kwa nini imeaminika kwamba ni Mushi ndiye alifanya shambulizi?
Vipi kuna polisi report ya ili tukio? ni vyema tulio hali tukaipigia upatu hii kesi kama haujawa mchezo wa kila siku, hii habari ya polisi kutofanya kazi kwa makini na kutoa report ndio matokeo yake haya,
Mushi alikutwa na hiyo sihala je hakuna finger print za mtu mwingine kwenye hiyo siraha? kuna maswali yaulizwe majibu yatapatikana tu
 
Mwenzenu halali siku hizi anaamkaga usiku anapiga kelele m.ushi anamtokeaga
 
Mushi alianza kumpiga Mama yake Ufoo, akampiga Ufoo na akijipiga yeye
Soma swali uliloulizwa vizuri! Alijipigaje risasi mbilna kujiua? Kwa kawaida na kwa risasi jinsi zilivyoingia kwenye mwili ambao ni kichwa cha Mushi,alivyojishuti risasi ya kwanza tu,ilitakiwa aanguke na bastola yake iangukie mbali na mwili wake! Sasa umeulizwa risasi ya pili alijipigaje?
 
Faiza Faiza Faiza mswalie mtume we binti! Una uhakika gani na maneno uliyoandika hapa? Au kila linalosemwa na watu unalichukua na kulibebaba jinsi lilivyo?

Hivi wewe hufikirii mwenyewe hata kidogo? kuna anaejiua akajipiga risasi mbili?
 
Back
Top Bottom